Hahaha pole mkuu[emoji23] [emoji23]mnapiga sana mizinga...
naomba elfu amsini mama amelazwa ntumie kwenye tigo yangu# ukipewa unaenda kukoboa minywele saluni hakuna cha mgonjwa wala maiti
yes mnapenda mpaka mnaweza kusingizia mama kalazwa mochwaliYan kama wamerogwa hivi kweli mtu uniambie nije kwako na nauli nijilipie looh,,so papuch nkuletee bure tu hiyo kitu Hamna,,wanaume nawaambia tena kila mwanamke ana chembe chembe hai za kupenda pesa hata mkeo wa ndani asikufmdanganye mwanamke yeyote kuwa hajakupendea pesa that's a big liar wanawake tumeumbwa kupenda pesa jamani msitushutumu
Mkuu Huyo anaekosa hadi buku tano jua kuwa hajui hesabu kama sehemu unaenda kwa buku 2 unarudi na hamsini ai faida hyo sema kujiongeza nako ndo shda ila wengi wanaoomba nauli kabla ya meeting wanaingiaga mitiniUnajua mwanamke kama kweli una busara na unatumia akili huwezi kusema huna elfu mbili ya nauli kwanza unanionyesha ni jinsi gani huna hata uwezo wa kuchangamka kutafuta hela.Na ukiona hivyo unaweza kutumia akili mpaka ukaja na ukatumia akili vile vile ukaondoka na pesa ya kutosha toka kwangu...ila sio kuji dharaulisha kukosa elfu mbili..acheni hizoo wenye nazo.Nauli za mbali au mikoani au flight mtu unaeza elewa lakini mtu anaomba buku asa nkikutumia buku jero na kutolea si aibu tupu hyo hata kibanda cha mpesa hahahahahah
Nini mama hata mtu mwenyew anaweza jisingizia kalazwa akaupanga uongo saaf na ela akapatayes mnapenda mpaka mnaweza kusingizia mama kalazwa mochwali
Ndo ukweli huo mkuu sisi tunapenda pesa nyie mnapenda papuch bas ndo wanasema hakuna alokamilika[emoji23] [emoji23]
Hahaha nmecheka eti amefura na hupewiNdo maana siku hizi unaweza kukaa na mpenzi wako halali na wa muda mrefu umeshikwa na hamu kidogo ya tendo unashangaa anakuuzia papuchi hapo hapo...eti ooooh nipe hela ya saluni kwanza...kwani huwez kunipa alafu uniombe hyo hela...ukisema huna tuu amefura na hupewi...
Enheee sasa tupo pamojaaaa.....hapo ulipo kunywa unachotaka alafu nikutumie hela ulipie....hahahahMkuu Huyo anaekosa hadi buku tano jua kuwa hajui hesabu kama sehemu unaenda kwa buku 2 unarudi na hamsini ai faida hyo sema kujiongeza nako ndo shda ila wengi wanaoomba nauli kabla ya meeting wanaingiaga mitini
Nilitaka nikutumie ili usipate kisingizio baby[emoji6]Naanzaje sasa kukosa nauli ya kukufuata uko uliko
Hahaha haya bhanaEnheee sasa tupo pamojaaaa.....hapo ulipo kunywa unachotaka alafu nikutumie hela ulipie....hahahah
[emoji3][emoji3][emoji3] ikikosekana nitakuja kwa miguuNilitaka nikutumie ili usipate kisingizio baby[emoji6]
Hahaha nmecheka eti amefura na hupewi
Basi nitakufata na [emoji116][emoji3][emoji3][emoji3] ikikosekana nitakuja kwa miguu
Haya ya kawaida sana ndo maana nashangaaga nikiona wanaume mnalalamika kuhusu kuombwa ela,sema vizinga vikizidi ni noma piaUmecheka kwa sababu unajua ndio zenu
Utakua umefanya jamabo la mbolea..ila uvumilie tu nitakavyokukumbatiaBasi nitakufata na [emoji116] View attachment 754453
Kikubwa sitaki uchoke..nataka unibakishie nguvu zangu?
Duh!Haswaa
Khe kwani mawe yameisha??? We rusha tu likitua kwenye bati lao atakuja kwan sh ngapi kurusha jiwe kwenye nyumba ya mpenzi wakoZamani walikuwa hawatumiani nauli kwa kuwa walikuwa wanakaa karibu sio siku hizi mtu unakutana nae insta au facebook yuko zake Arusha unataka aje Dar lazima utume nauli. Zamani tulikuwa tunarusha jiwe juu ya bati mtu anaelewa anatoka mnaongea. Siku hizi mtu unachat na mdosho mpk saa tisa usiku kwa simu.
AsanteYan kama wamerogwa hivi kweli mtu uniambie nije kwako na nauli nijilipie looh,,so papuch nkuletee bure tu hiyo kitu Hamna,,wanaume nawaambia tena kila mwanamke ana chembe chembe hai za kupenda pesa hata mkeo wa ndani asikufmdanganye mwanamke yeyote kuwa hajakupendea pesa that's a big liar wanawake tumeumbwa kupenda pesa jamani msitushutumu