Anaanza na nauli, mkimaliza apewe posho, akiwa kwao ni mwendo wa mizinga. Wanaweke wa miaka hii wengi wao ni kama wanajiuza tu, ila wengi wenu hamjashtukia kama mnauziwa penzi kwa kisingizio cha huduma. Poleni msio na wake
Unataka kusema wanaume wa zamani ealikua eanawatumia nauli wenzi wao? Je walitumia njia gani kufanya transactions...na pia je nikiea na wewe kwenye mahusiano ina maanisha ntagharamiA mahitaji yako yote ndo ujue nakupenda?