Hivi kwanini watoto nje ya ndoa wanakuwa na mafanikio sana kuliko wale walio ndani ya ndoa?

Hivi kwanini watoto nje ya ndoa wanakuwa na mafanikio sana kuliko wale walio ndani ya ndoa?

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kwa wale ndugu zangu wapenda imani mtasema yule sio mtoto halali sababu ni dini.

Leo tunaona mtoto wa nje ya ndoa kila upande kutaka kuwa ndugu yake sababu kafanikiwa.

Tumeona wasanii, vigogo na mitaani visa hivi.

Nakumbuka kisa kimoja: Mzee X baada ya kufariki wakati wa mirathi dogo hakupata hata kidaso cha kufuta jasho sababu ni mtoto wa nje ya ndoa. na huyu mzee alikuwa kaenda hija na dini inavosema basi ndio ikawa hukumu yake.

Sasa dogo ana maisha mazuri na maduka ya kutosha mkoani hapa. Ndugu wamejazana na kujimwambafai mpaka kaka zake utazani wakina Sufiani Juma

Kiukweli tubadilikeni watoto wa nje ni damu zetu zitakuja kutuponza.

Tena watu wa imani na makabila mnatakiwa mbadilishe haya mambo.
 
  1. Comfort zone ya watoto walio na baba(Someone to look at them. Wanakua na kauzembe fulani hivi coz Baba will provide and inherit ou fortune
  2. Mungu akikupa kilema anakupa na mwendo. Ndio maana anasema Ndege wa porini hawalimi wala hawavuni ila anawalisha vyema tu....So Bastard wakijitambua Mungu huwazidishia baraka zaudi wakatunze mama zao.
NB: Bastard sio tusi ni kielezi cha watoto waliozaliwa nje ya ndoa!
 
Ni tajiri gani anaefahamika Tanzania ambae ni mtoto wa nje ya ndoa (Mwanaharamu)?
 
Sio wote sisi tunae mmoja huyo anatusumbua balaa kazi yake yeye kututapeli tu kila kukicha

Juzi hapa kanitapeli mpka nimefuta namba yake na kumpiga marufuku
 
Kwa hivyo Bill Gates ni mtoto wa nje?

Kuna utajiri wa kutambulika mbele ya watu,kuna utajiri wa kijitangaza kulingana na kazi yako.
alafu kuna utajiri wa maisha yetu tukijuana huku tunapoishi.

Sio kila mtu anajitangaza kaka. Na jilani hapa account inasoma bilioni 50 na wala uwezi kumzania na wala sio maarufu wala sio mwanasiasa. hawa tunawaita nani
 
Kuna utajiri wa kutambulika mbele ya watu,kuna utajiri wa kijitangaza kulingana na kazi yako.
alafu kuna utajiri wa maisha yetu tukijuana huku tunapoishi.

Sio kila mtu anajitangaza kaka. Na jilani hapa account inasoma bilioni 50 na wala uwezi kumzania na wala sio maarufu wala sio mwanasiasa. hawa tunawaita nani
Sawa Mkuu, mimi nimekuelewa kwa upesi
 
Wakwetu bhna kafanana na sisi balaa nilikuwa nampenda aseme nini nisimpe baada ya kuoma mjanja wadar nimemfuta ase

Mimi sipendagi ujinga wa kutapeliwa ovyo ovyo tu hela ngumu

Kuna mtu anafanana mimi mpaka kuongea kwangu ila yupo cuba.nikajua ni ndugu yangu wakati baba ajawai kufika hata kibera kenya.
 
Kwa wale ndugu zangu wapenda imani mtasema yule sio mtoto halali sababu ni dini.

Leo tunaona mtoto wa nje ya ndoa kila upande kutaka kuwa ndugu yake sababu kafanikiwa.

Tumeona wasanii, vigogo na mitaani visa hivi.

Nakumbuka kisa kimoja: Mzee X baada ya kufariki wakati wa mirathi dogo hakupata hata kidaso cha kufuta jasho sababu ni mtoto wa nje ya ndoa. na huyu mzee alikuwa kaenda hija na dini inavosema basi ndio ikawa hukumu yake.

Sasa dogo ana maisha mazuri na maduka ya kutosha mkoani hapa. Ndugu wamejazana na kujimwambafai mpaka kaka zake utazani wakina Sufiani Juma

Kiukweli tubadilikeni watoto wa nje ni damu zetu zitakuja kutuponza.

Tena watu wa imani na makabila mnatakiwa mbadilishe haya mambo.
"Amini kwamba Mzee wa Bwax hapa mtoto wa nje ya ndoa."
 
Back
Top Bottom