Hivi kwanini watu sahihi hawakutani kwenye mahusiano

Hivi kwanini watu sahihi hawakutani kwenye mahusiano

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
 
Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
Labda wewe ndio una tatizo hilo jaribu kuwa makini unapomtafuta mwenza wako
 
Opposites do attract each......

Na ni asili ya binadamu kutafuta Yale tusokuwa nayo ili kuleta hisia za ukamilifu......ndo utaona mpole anataka muongeaji, kicheche anataka mtulivu
Sheikh/ Mchungaji anatamani mdangaji......yote ni kusaka hisia za ukamilifu.
 
Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
Roho Mtakatifu asiposhirikishwa na watu kwenda kwa akili zao za kutaka matiti yaliyo simama, hips, rangi nyeupe, mguu wa chupa etc!
 
Kwani uliruka somo la Sumaku zinavyofanya kazi, South pole inavutana na North pole. Ule ulikuwa mfano tu wa maisha ya huko duniani... Ndo maana misemo nayo imekuwa mingi utasikia , "Mungu anakupa stahili hakupi unachotaka" we ishi tu
 
Back
Top Bottom