Hata wazazi wako hawakuwa sahihi kweny e mahusiano yao ?Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi [emoji2] Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
Tuteseke woteNimewakosea nini jamani watanzania wenzangu😁😁。
Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
Nadhani ni mfumo wa muumba mwenyewe au ni wivu wa shetani!Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu akiwa negative atakutana na positive , akiwa north atakutana na south
Kupendwa na mwingine infinitively siyo tatizo, tatizo lipo hivii?:Tatizo linaanziaga hapa👇
Unayempenda, kampenda mwingine
Huyo mwingine naye ana mwingine
Mwingine naye kapendwa na mwingine
Mfumo wa dunia hauwezi kurekebishwa na wewe mtu mmoja.kwasababu mnaoa haraka amna subira, mimi bado namtafuta ☺。
Utachagua wew umtake au uwe takataka😃Kwahiyo ili nimpate ninayemtaka nijifanye simtaki
bora mimi niwe na furaha wewe uteseke ili niwe nakufariji na kukushauri..Tuteseke wote
Tafuta tafutabora mimi niwe na furaha wewe uteseke ili niwe nakufariji na kukushauri..
Yote ni bure tu, mapenzi yanaimarika popote penye heshima, kujitoa na uaminifu. Hayo yakikosekana tu yanabakia mazoea ama maslahi tu.Shida iko kwenye tafsiri ya mtu sahihi, utulivu kabla ya kuamua kuingia kwenye mahusiano na tamaa kutangulia mbele.
Kabla ya kujiuliza huyo mtu sahihi unayemtaka wewe, je yeye naye anakuona wewe ni mtu sahihi kwake?
Kuna tofauti kati ya mtu sahihi na mtu mzuri. Kama wewe huna pesa na maisha yako yana mtazamo wa kuhitaji pesa zaidi ili kuwa yenye furaha basi mtu sahihi kwako huenda akawa ni yule mwenye pesa lakini hiyo haimaanishi huyo mtu atakuwa mzuri kwako kimaisha.
Yote kwa yote, mpaka watu wanaamua kuoana basi ujue wazi wamekutana na kujiridhisha kuwa wao ni watu sahihi waliokutana. Simamia hapo hapo.
sawa mkuuTafuta tafuta
Kufupisha tu mtu hawezi kuwa perfect kwa 100% lazma kuna room ya corrections. Ishu inakuja kwamba unakutana na mtu perfectionist ambaye yeye hataki kufanya corrections ina maana upande mmoja utapaswa kuishi kwa kuvumilia udhaifu wa upande mwengine. Kwa vijana wa kileo hilo haliwezekani kwao solution ni replacement.Mtu sahihi ni nadharia tu kwenye dhana nzima ya mahusiano
Binadamu sio mashine kusema amepangwa kufanya hivi na hivi, ni kiumbe complex sana na hatabiriki kabisa
Mara nyingi sana wale tunao waona wamekutana sahihi huwa ni wale wanaoweza kuvumiliana na kuchukuliana tofauti zao
Tatizo kubwa ni kwamba watu wanaingia kwenye mahusiano wakiwa na matarajio yasio halisi kwasababu ya simulizi au kuona sinema tamthilia vitabu vya simulizi nzuri za mahusiano
Mkuu mimi nadhani tatizo hapa sio kiwango cha upendoKupendwa na mwingine infinitively siyo tatizo, tatizo lipo hivii?:
Ukimpenda mtu kwa dhati, yeye huwa hakupendi kwa kiwango unachompendea wewe na huo ni mfumo!
Kwa hiyo ukimpenda mtu sanaa, elewa yeye hawezi na hakupendi kwa kiwango hicho, kwa hiyo mkifanikiwa kuanzisha mahusiano, lazima wewe utakuwa ni 'slave' katika penzi hilo.
Nadhani hali hiyo iliumbwa ili kulipa thamani penzi, awepo wa kuringa na awepo wa kubembeleza.
Kungelikuwa na 50/50 katika penzi ku break up ingelikuwa ni rahisi sana maana pasingelikuwepo wa kujali.
Ni kweli mkuuKufupisha tu mtu hawezi kuwa perfect kwa 100% lazma kuna room ya corrections. Ishu inakuja kwamba unakutana na mtu perfectionist ambaye yeye hataki kufanya corrections ina maana upande mmoja utapaswa kuishi kwa kuvumilia udhaifu wa upande mwengine. Kwa vijana wa kileo hilo haliwezekani kwao solution ni replacement.
Eeh vitoto vya buku 2 havijui uvumilivu. As long as hapati anachotaka atakitafta kwengine tu mwisho ni kufumaniana na kuachanaNi kweli mkuu
Na hii uvumilivu wa upande mmoja huwa unawa favor sana wanaume wanao oa mama wa nyumbani ambao 100% anamtegemea mumewe kwa kila kitu na anaona ni kama ndoa ikifa atakwenda wapi na ana watoto na umri umesogea
Sasa couple kama hii ukiiona Jumapili wanakwenda kanisani wamependeza wanacheka na watoto unaona hii ndio couple sahihi ina miaka 20 na wako poa
Kumbe nyuma ya pazia ni balaa
Ila vijana wa 2000 hawaogopi kabisa usingle mother mkizinguana kidogo hakuna kuvumilia anasepa