Hivi kwanini watu wana moyo mgumu sana wa kusaidia??? (Na sijaomba hata pesa)

Hivi kwanini watu wana moyo mgumu sana wa kusaidia??? (Na sijaomba hata pesa)

Mikhail Tal

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
421
Reaction score
778
Hii kitu imenikuta sana tena mda mwingine inakutokea kwa mtu wa karibu au uliyedhani kwamba ni rafiki au hata classmate.

Yaani kwa mfano, unaweza kuwa na mtu unamfahamu kabisa na ambaye huwa mnawasiliana labda yupo kwenye shirika fulani mfano labda world vision.

Halafu inatokea ghafla unahitaji taaarifa fulani au kujulishwa kitu fulani, labda kuna tender imetangazwa na ungetaka kupata maelezo zaidi. Unaamua ngoja umchek jamaa yako wa world vision akupe hata baadhi ya taarifa.

To my surprise, na mara zote nashangaa kwamba, huwa inatokea tu sipati msaada ninaoutaka. Kuna saa unamchek mwana anakuambia ooh sijui nipo busy na vikao, bla bla nyingi.

Lakini unashangaa at the same time, mnawasiliana tu vizuri kama ni wasap, mambo safi kabisa. Ila inavotokea unataka akusaidia jambo fulani, excuses zinaanza.

Mwaka fulani, kuna opportunity kubwa sana ilinipita, just kwa niliyeamini ni rafiki yangu kushindwa kuniambia taarifa muhimu ambayo ingeweza kunisaidia kwa wakati huo.

Baadae ndo anakuja kunieleza hiyo taarifa, na baada ya kukaa na kufikiria, nikawaza sasa mbona hakuniambia mapema???

I don't know labda nipo kwenye circle of wrong people, or ni kwamba tu tabia inawakuta watu wengi.
 
Hii kitu imenikuta sana tena mda mwingine inakutokea kwa mtu wa karibu au uliyedhani kwamba ni rafiki au hata classmate.

Yaani kwa mfano, unaweza kuwa na mtu unamfahamu kabisa na ambaye huwa mnawasiliana labda yupo kwenye shirika fulani mfano labda world vision.

Halafu inatokea ghafla unahitaji taaarifa fulani au kujulishwa kitu fulani, labda kuna tender imetangazwa na ungetaka kupata maelezo zaidi. Unaamua ngoja umchek jamaa yako wa world vision akupe hata baadhi ya taarifa.

To my surprise, na mara zote nashangaa kwamba, huwa inatokea tu sipati msaada ninaoutaka. Kuna saa unamchek mwana anakuambia ooh sijui nipo busy na vikao, bla bla nyingi.

Lakini unashangaa at the same time, mnawasiliana tu vizuri kama ni wasap, mambo safi kabisa. Ila inavotokea unataka akusaidia jambo fulani, excuses zinaanza.

Mwaka fulani, kuna opportunity kubwa sana ilinipita, just kwa niliyeamini ni rafiki yangu kushindwa kuniambia taarifa muhimu ambayo ingeweza kunisaidia kwa wakati huo.

Baadae ndo anakuja kunieleza hiyo taarifa, na baada ya kukaa na kufikiria, nikawaza sasa mbona hakuniambia mapema???

I don't know labda nipo kwenye circle of wrong people, or ni kwamba tu tabia inawakuta watu wengi.
ipo hivyo but dont take it personal
 
Nanukuu
Ukiwa Mjinga Mjinga ni rahisi kusaidika lakni ukiwa Highly competent ni ngumu kidogo watu kukupa msaada maana wataon huyu mwamba anaeza pindua meza at any time so wanakua wana sita sita.
Labda usikute mkuuu... maana watu wengine mbona wanapeana misaada ... na hapa hata sijapata pesa...

Yaaani ni ile ukiwa mjini kuna ile umepewa taarifa fulani.. ukipata taarifa fulani unapata ili michongo inyoke.. hivo tu
 
Unataka upewe taarifa za tenda?? Hiyo ni kinyume na maadili ya maafisa ugavi, utaondoa maana ya fair competition. Ukitaka taarifa zaidi/ufafanuzi juu ya tenda husika unaweza kuwasilisha maombi yako ki ofisi na sio kisela kisa unajuana na mtu fulani. Tujifunze kuzingatia maadili na miiko ya kazi
 
Back
Top Bottom