MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 5,747 Reaction score 2,977 Sep 23, 2023 #41 My Sons Legacy said: Nanukuu Ukiwa Mjinga Mjinga ni rahisi kusaidika lakni ukiwa Highly competent ni ngumu kidogo watu kukupa msaada maana wanaon huyu mwamba anaeza pindua meza at any time so wanakua wana sita sita. Click to expand... Nimeshajua kwanini hawakusaidii. Wewe ni jeuri!
My Sons Legacy said: Nanukuu Ukiwa Mjinga Mjinga ni rahisi kusaidika lakni ukiwa Highly competent ni ngumu kidogo watu kukupa msaada maana wanaon huyu mwamba anaeza pindua meza at any time so wanakua wana sita sita. Click to expand... Nimeshajua kwanini hawakusaidii. Wewe ni jeuri!
princess ariana JF-Expert Member Joined Aug 19, 2016 Posts 9,245 Reaction score 18,347 Sep 23, 2023 #42 hee kumbe watu mna marafiki na hamsemi
TheForgotten Genious JF-Expert Member Joined Jan 18, 2014 Posts 2,087 Reaction score 3,156 Sep 23, 2023 #43 Gentlemen_ said: Nyie si MWILI mmoja? Au ni Slogan ya Kitapeli na kinafki ile kwa nyinyi WANANDOA. Click to expand... Tulivyo anzisha kampeni ya kataa ndoa ulikuwa wapi?
Gentlemen_ said: Nyie si MWILI mmoja? Au ni Slogan ya Kitapeli na kinafki ile kwa nyinyi WANANDOA. Click to expand... Tulivyo anzisha kampeni ya kataa ndoa ulikuwa wapi?
Gentlemen_ JF-Expert Member Joined Nov 24, 2019 Posts 4,431 Reaction score 13,876 Sep 23, 2023 #44 AIMENTER said: Tulivyo anzisha kampeni ya kataa ndoa ulikuwa wapi? Click to expand... Mimi ni MENEJA wa ITIKADI na UENEZI. Ndio maana nilikuwa nakujaza UJAE.
AIMENTER said: Tulivyo anzisha kampeni ya kataa ndoa ulikuwa wapi? Click to expand... Mimi ni MENEJA wa ITIKADI na UENEZI. Ndio maana nilikuwa nakujaza UJAE.