tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
hahhaahahahaa unanikumbusha boss wangu hapa ni anaongea huyo akikasirika utapenda yaani akifika tu ofisini hata kama hajaulizwa ashaongeaWalio wengi wana roho mbaya iliyojificha, maana ni ngumu kumtambua amekasirika au la, wanaficha mengi kwenye upole wao.
Sisi waongeaji hatufichi hisia zetu hata mtu hajakuuliza ushasema.
Nb sio wote.
Yaani upole unafungamana kwa kiasi kikubwa na matendo ya mtu...kwa maana ukimya upo katka matendo ya mtu mpole Ila mtu mkimya huwa tu mchache wa maneno Ila mwingi wa fujoUmeweka sawa kabisa hapo.
Kuna watu wanafikiri mkimya ndo mpole...tofauti kabisa.
Kuna lifala limoja likimya hilo lakini likatili kwenye anga zake balaa
Mimi mpole tena sanaaa...We upo kundi gani?
Wewe ni mpole au mkimya?Hatutaki mambo mengi
Ni kweli kabisa na tunajihami balaa, huwezi kufuatilia mtu mda mrefu ni dharau kwanza.Tuko pamoja huwa ni kama moyo wa kisasi na hatuwezi mfuatilie demu eti mtu anatongoza weee utafikiri anasaka utajiri
Huwa tunaweza predict tabia au matukio yajayo so tunajihami mapema Sana maana hatupendi magomvi
Lips .. kwa dp.. Hatari sana. Nije kusema Hi kwa box lako? πΉπΏWatu wapole ni mafia hatari aise..
Lakin ndio ugonjwa wanguππhuwa nawapenda huniambii kituπ€£π€£
Nipo hapa umenipata mwenyekiti wa watu wapole. Mbona utafurahi mwenyewe! Mkimya sana kiasi kwamba hata kutype na kupost tu naona uvivu. Karibia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole
[emoji28][emoji28]Upole wao unanivutiaga ni kinyama. Sipendi mtu anaeongea sana[emoji85]
Hatimaye leo umenipata πππWatu wapole ni mafia hatari aise..
Lakin ndio ugonjwa wanguππhuwa nawapenda huniambii kituπ€£π€£
Wacha bhanaππHatimaye leo umenipata πππ
Udenda unanitokaWacha bhanaππ
Weeeee....usiniambieπ π πNipo hapa umenipata mwenyekiti wa watu wapole. Mbona utafurahi mwenyewe! Mkimya sana kiasi kwamba hata kutype na kupost tu naona uvivu. Karibia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] yaani mimi ukimya wangu nahisi umepitiliza aisee! Mabinti wengi wanasema kuwa mimi nina dharau za kutosha. Hata mtandao ninaotumia ni jf tu!Weeeee....usiniambie[emoji28][emoji28][emoji28]
Uache ukutoke tu hakuna namnaUdenda unanitoka View attachment 1691750
Vizuri.tuma salam sasa[emoji23][emoji23] yaani mimi ukimya wangu nahisi umepitiliza aisee! Mabinti wengi wanasema kuwa mimi nina dharau za kutosha. Hata mtandao ninaotumia ni jf tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
B O T HWewe ni mpole au mkimya?
Hao ndo wazuri kufanya nao kazi hawanaga hasira za muda mrefuhahhaahahahaa unanikumbusha boss wangu hapa ni anaongea huyo akikasirika utapenda yaani akifika tu ofisini hata kama hajaulizwa ashaongea