Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Sasa utashangaa unavyokuwa kimya ye ndio ana enjoy. Anavo take control of the talk basi anakuwa comfortable, pia wanafeel more safe kuwa na mtu mkimya.

Kwa mujibu wao wanaamini mtu mkimya haingiliki kirahisi na opposite sex hivyo anajihakikishia 'kupita bila kupingwa'[emoji23][emoji23]
Kiredio atakimbia mwenyewe kwani sitampa ushirikiano kabisa
 
Babe hapa hujatoa maana bali umetoa sifa za wapole na wakimya
 
Kuna wapole na wakimya. Wengi wanadhani wakimya ni wapole na waongeaji ni machakaramu ila wakishashangazwa ndio akili inarudi

Japo wakimya hata mimi nawaogopa maana unaweza fanya jambo na asitoe any reaction kumbe ushawekwa kwenye plan za mbeleni
Hapo kwenye wakimya nipo mimi, kwa hiyo unatuogopa bwana..
 
Kupita bila kupingwa haha.
Mimi napenda mwanamke mwenye kiasi.
Priii nyingi sipendi kabisa...na siwezi kumpa moyo wangu mtu wa namna hiyo.
 
Nahisi ni bora kutokua na deni na mtu yoyote kwa usalama wangu kwa sababu unapokua na shughul nyingi na watu wengine ndio unakaribisha watu ambao watakufanya ujute kwanini uliwaruhusu wakawa karibu yako, Unaweza kuona kuwa mtu hajichanganyi ukajiukiza maswali mengi,Kumbe anachpepuka ni ile mikwaruzano inayotokea baada ya wengine kuanza attackpersonal kwa kuzungumza ama kwa vitendo hivyo ni bora kutokua na deni na mtu yoyote, hata usiponiona nikishirikiana na wewe hujajaji kwa sababu sina ukaribu na wewe.
 
Kupita bila kupingwa haha.
Mimi napenda mwanamke mwenye kiasi.
Priii nyingi sipendi kabisa...na siwezi kumpa moyo wangu mtu wa namna hiyo.
Ok nimekuelewa, akiwa smart akajua hilo mapema huwa wana adjust ili muweze kucope nae, all in all as an introvert I prefer an extrovert couple.

Pia kwa afya ya familia nakushauri uoe extrovert, otherwise familia inaweza kuwa kituko mzee hasa kwenye issue ya malezi nadhani it is a good idea to have a combination of these personalities.
 
Ni kweli...ukiwa smart kichwani unaweza kuji adjust
 
Ni kawaida kwa JF ... Members wa platform hii kila member ana gari .. Kila member hatumii tecno ..kila member ni muhitimu wa chuo kikuu and the likes
Mnakosea sana kuwa na fikra za aina hii...maudhui ya uzi ndio huamua aina ya wachangiaji, ukianzishwa uzi wa magari automatically watakuja kukomenti wenye magari, ukianzishwa uzi wa watu warefu, wafupi, wenye chura hivyo hivyo
 

Kwa maono ya watu wengi husema kuwa mimi ni mpore sana, mwenye aibu, mpenda fashion, lakin pia ni mtu mwenye dharau sanaa

Mimi binafsi sijioni humo kama Wao wanionavyo kwa sababu
1; naweza kuingia kwenye mahusiano na mDada mpaka tunaachana muhusika hajui
2; nikikasirika huwa nacheka sana nikiwa mbele za watu lakin nkiondoka mbele ya upeo wa macho yangu naenda kujitibu
3; huwa siwezi kuongea sana niwapo na watu zaidi ya wawili mala nyingi huwa najibu tena kwa mKato lakin nikiwa mwenyewe au nikiwa na mtu ambaye nimemwelewa huwa nageuka mc
4; sijawai kuwa kwenye mahusiano yaliyodumu kwa hata miEzi miwili kwa kuwa nmejiteņenezea kanuni yangu nimeipa jina la F4 (yaani F exponent 4) ikiwa na maana ya Find, Fuvk, and Forget kwa kuwa sipendi watu wanijue sana
5; nafeel ovyo na nakuwa mkorofi sana nnapoona mtu anashusha my self-esteem
hivyo mimi Siko kama wanionavyo au wanijuavyo ila Nipo kama nijijuavyo
 
Wapole na wakimya ni kundi moja ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…