Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Yesu mbali sana, anza kwanza na hapahapa duniani wapo wengi tu hawajui huo mtaa una maumbile ganiZipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Kwahiyo alikuwa anamuunga mkono dondrake.Wakati anajiandaa kuoa, ndipo alipotekwa na maadui
Hili hata mi limenikuta nilipataga nafas ya kazi lakini Dah nikazama mazimaMwanamke ana uwezo wa kuua ndoto ya mwanaume. Hujawahi kuona wachezaji au makocha wanakataa kwenda kufanya kazi na baadhi ya timu kisa wake zao hawaipendi miji zilizoko hizo timu?
Pia kutokana na ubize aliokuwa nao, hakupata muda wa ziada wa kutongoza wadada.Kwahiyo alikuwa anamuunga mkono dondrake.
Kina FaizaFoxy baada ya kujifunza kwangu kuhusu dini zao ..siku hizi kapoteza tumaini la kuingia peponi na kupewa mabasha 70 baada ya kugundua kuwa mudi boy ni muongo .. mudi boy wala siyo mtume wa mungu wala yeye mwenyewe alikuwa ajui utume ni kitu gani... waislamu niombeni kwa kububujikwa na machozi nizidi kuwafunulieni upumbavu uliopo ndani ya hizo dini zenu za ukristo na uislamu...mtakuja kunishukuru sanaWakina FaizaFoxy wanasema atarudi kuja kupata mchumba na kuoa!
kwani kusekesa demu, unahitaji kutenga muda wa ziada ? hiyo issue ni extracurricular activity!Pia kutokana na ubize aliokuwa nao, hakupata muda wa ziada wa kutongoza wadada.
Wengi tunaotongoza wadada ni kwa sababu tuna muda wa ziada.
Dan Brown kwenye kitabu chake Cha The Da Vinci Code anasema Maria Magdalena ndiye alikuwa mke wa Yesu na walizaa mtoto mmoja wa kike.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Kuna Movie moja hivi ya Yesu inamuonesha alivyoyashinda mauti alirudi akaoa na akawa na watoto kabisa akaendelea na maisha kama kawaida. Ila Yesu wa kwenye ile movie kachangamka sana. Ni vile nimeiangalia siku nyingi hata jina nimeisahau.Dan Brown kwenye kitabu chake Cha The Da Vinci Code anasema Maria Magdalena ndiye alikuwa mke wa Yesu na walizaa mtoto mmoja wa kike.
Aliona mapenzi ni kupoteza muda kabisa. Kwanza yaweza kufanya upoteze ufanisi wakoYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Yeye mwenyewe ulimuuliza akakujibu nini?Mambo ya Yesu wajibu wana JF kweli?Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.