chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
KWA NINI MTUME ALICHUKUA KITOTO KIDOGO NA KAKUMBATIA MAJINI MIAKA YOTE.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA NINI MTUME ALICHUKUA KITOTO KIDOGO NA KAKUMBATIA MAJINI MIAKA YOTE.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
NakaziaWanawake vimeo walikuwepo tangu enzi hizo
Bw Muddy alikuwa sahihi kwa misingi ukomavu na utayari wa kuzaa upimwa kwa kuvunja ungo.KWA NINI MTUME ALICHUKUA KITOTO KIDOGO NA KAKUMBATIA MAJINI MIAKA YOTE.
Miguu sio yeye tu kwamba alimuosha miguu kwa machozi na kumpaka mafuta yeye aliwaosha Miguu na kuwakiss wanafunzi wake wote 12Maria kutoka Magda alikuwa 'best' wake na Injili ya Thomas inasema alikuwa ana m kiss 😘
Mnaokomenti Uzi huu mnatumia "moshi wa Arusha kukomenti ".Alikuwa Hanithi.
Ukisoma stori za Yesu alikuwa na kimada anaitwa Mariam magdalena.Alikuwa Hanithi.
kwani aliishi miaka mingapi hapa duniani mkuuZipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Muhammad alioa, hakuwa genius?1.Yesu…....... Hakuoa Wala kua na Mchumba.
2. Isaac Newton......... Hakuoa.
3.Nicole Tesla.........Hakuoa.
NOTE: Watu Genius huwa Hawana muda na Wanawake.
Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Alikuwa team KATAA NDOA !😅😅😅Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Ila anakula, kunya, lala, analia!Mungu wa kweli huwa haowi,isipokuwa mungu mwenye herufi ndogo zote ndiye alioa na bado anazichakata bikra72 kwenye pepo ya kufiklika.
Tazama watu Wengi genius huwa awaoi maana kua na mwanamke lazima utasitisha mambo yako kwa ajiri yake, pia lazima ufanye mambo ya kijinga Ili mueze kwenda sawa na mwanamke,pia mwanamke naishi kwa hisia, sio Akili au LogicMuhammad alioa, hakuwa genius?
Mbona kuoa na kuolewa imeandikwa kwenye biblia yaani kutaja yesu kama alioa au la ndiko kuingeijaza biblia?Inawezakana alisha wahi kuwa na demu sema ndo hivyo biblia haikuandika kila kitu,maan ingeandika kila kitu sijui biblia ingekuwa ni kitabu cha namna gani walikuwa wanaandika mambo ya muhimu tu.
Kwanza, Yesu Kristo hakuja duniani kwaajili hiyoZipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.