Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye alikuwa ana umbo la kibinadamu lakini ndani yake alikuwa na uMungu kwahiyo tamaa za kimwili hazikuwa tatizo lakeAliona mapenzi ni kupoteza muda kabisa. Kwanza yaweza kufanya upoteze ufanisi wako
Soma kuhusu trinity mkuuYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu..... Wewe ulisomea wapi theolojia yaani yeye ni Mungu aje kuifanya kazi ya Mungu serious???????????????????????
Acha mambo Yann double standard wewe mvaa rozari
Hiyo ya trinity haina mashiko kiroho yaani Mungu kwenye Mungu mwana Mungu roho na Mungu neno ni mambo ambayo ukimwambia mtu ajustify beyond doubt huwa ni mwendo wa kung'atang'ata meno tuSoma kuhusu trinity mkuu
Duuh eti yesu mungu toa andikoYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Alikuwa anakula nyeto kimya kimya labda hawawezi kujuaYeye alikuwa ana umbo la kibinadamu lakini ndani yake alikuwa na uMungu kwahiyo tamaa za kimwili hazikuwa tatizo lake
Lakini hilo ni kusudi la kimwili kama alivyo zaliwa na akanyonyeshwa akala akanywa akakojoa akanya..Hakuja kwa kusudi hilo
Muuni tangia lini akaoa!!?Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Ku- Kiss ni mila na tamaduni za mashariki ya kati. Na kuna taratibu zake which means kufuatana na uhusiano wenu utam- kiss wapi. Could be on the cheek, mouth, forehead, hand etc.Maria kutoka Magda alikuwa 'best' wake na Injili ya Thomas inasema alikuwa ana m kiss 😘
Uzi ufungwe. Umehitimisha mtumishi.Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Ingekuwa hivyo asingetahiriwa!Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Mkuu unanitafutia ban hayo maswala yakuitana kipenzi yametokea wapi!!!!Hapana kipenzi mawaheshimu na nawapenda sana, Ukitaka Kuishi na mwanamke lazima kichwani usiishi kwa logic
Sababu ni nyingi kuoa si lazima ni hiari.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Izi Imani za majahazi basi tuuYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu..... Wewe ulisomea wapi theolojia yaani yeye ni Mungu aje kuifanya kazi ya Mungu serious???????????????????????
Acha mambo Yann double standard wewe mvaa rozari