Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
LIpi ni tatizo?Yesu kama ni Mungu basi hili ni tatizo tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIpi ni tatizo?Yesu kama ni Mungu basi hili ni tatizo tayari
Msikilize,,,,,Mhubiri 7:20Kwa ufupi Yesu alikuwa mnafiki kiaina.
Unachagua unachotaka kuamini, na unachoamini kinabeba uzito gani.. Lakini katika maisha ya ukristo tunafata muongozo wa biblia kujua ni ni ni kweli nini si kweli.. Kwenye biblia hakuna mahali inaonyesha Yesu alioa labda ipo ila mimi sijaisoma.. Sasa kwa ni ni nikubali kitu ambacho hakipo kwenye neno la MunguKuna yesu wengi.. waislam wa kwao wakristo nao wa kwao
wayahudi nao wanao wa kwao..
Ila katika hao yesu mmoja Tu ni wa kweli alioa na ana sijui vitukuu mpaka leo hii wapo.
TRUST ME!
🤣🤣🤣 Kwa hiyo sisi wengine hamnazo?1.Yesu…....... Hakuoa Wala kua na Mchumba.
2. Isaac Newton......... Hakuoa.
3.Nicole Tesla.........Hakuoa.
NOTE: Watu Genius huwa Hawana muda na Wanawake.
Pendelea zaidi kusikiliza kuliko kusikilizwaNDIO
Daah kuna namna coment yako inadikirishaKwa sababu alijua mahusiano ya kimapenzi ni ukuda tu
Leo kataa ndoa wanachukua point 3 kwa jizaziKwa sababu alijua mahusiano ya kimapenzi ni ukuda tu
🤣🤣🤣HatariiLeo kataa ndoa wanachukua point 3 kwa jizazi
Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kutenda dhambi?Kwa kujua na kwa kutokujua.. Yesu alikuja ulimwenguni kulikuwa ni kwasababu ya kumsaidia mwanadamu na dhambi..
Hapo mwanzo shida kubwa ya mwanadamu ilikuwa ni dhambi na dhambi ikasababisha uadui wa mtu na Mungu wake..
Kwahiyo Bwana Yesu alikuja kuabolish dhambi kwa kuna kaka na kufufuka kwake.. Mshahara dhambi ni mauti..
Ili mpasa mtu afe kwasababu ya dhambi na kukosa ushirika na Mungu.. Lakini Bwana Yesu(hakufanya dhambi huyu wala hakuwa na asili ya dhambi) akatulipia hilo deni(adhabu ya watu wote ilikuwa juu yake), akafa yeye na kwa kufufuka kwake akaishinda mauti na kuzimu..
Kwa uzima huo uliomo ndani yake ndio wanatakuwa nao wote watakao amini hicho nilichoandika hapo juu..
Sasa unaweza ukasikia ukachagua kutokuamini na unaweza ukasikia ukachagua kutokuamini lakini haimanishi ni uongo..
Tatizo la dhambi limefutwa ukiamini unafanyika kiumbe kipya ambacho hakiongozwi na mwili bali na Roho wa Mungu..
Ila usipoamini ni lazima tu mwili ukutawale na mwili ukikutawala ndio inaleta hapo matokeo ya dhambi kama wizi, uzinzi chuki na mengineo
🤣🤣🤣 Ndiyo ukweliDaah kuna namna coment yako inadikirisha
Yeye ni mungu alikuja kuifanya kazi ya mungu🤔🤔🤔 huyo mungu mwengine ni yupi sasa?Uzi ufungwe. Umehitimisha mtumishi.
Mtake radhi...
Hiyo technolojia ya Sheria mkononi walikua bado hawajafunuliwa...
Alishtukia mchongo mapema sana🤣🤣🤣Hatarii
KabisaAlishtukia mchongo mapema sana
Hebu fafanunua kwanza 🤣🤣🤣Watu mmeona kukimbilia kwenye dini kutafuta mabachelor wa enz hizo
Early Latter Day Saints Apostle Orson Hyde taught that Jesus was a polygamist who was married to Mary Magdalene, Martha, and Mary of Bethany, and fathered children with them. He also taught that the marriage at Cana was Jesus' own wedding.[19][20][21][22] This idea is not official LDS doctrine,[23] although it has certainly entered into Mormon folklore.[24][25][26]-tuliosoma advanced theology tulipitia hayo maandiko, hayapo kwenye biblia mnazozisoma nyinyini mafundisho ya uwongo kabisa:
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo kataa ndoa wanachukua point 3 kwa jizazi