Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

Hivi kwanini Yesu hakuoa wala kuwa na mchumba miaka yote hiyo?

Kuna yesu wengi.. waislam wa kwao wakristo nao wa kwao
wayahudi nao wanao wa kwao..

Ila katika hao yesu mmoja Tu ni wa kweli alioa na ana sijui vitukuu mpaka leo hii wapo.
TRUST ME!
 
Kuna yesu wengi.. waislam wa kwao wakristo nao wa kwao
wayahudi nao wanao wa kwao..

Ila katika hao yesu mmoja Tu ni wa kweli alioa na ana sijui vitukuu mpaka leo hii wapo.
TRUST ME!
Unachagua unachotaka kuamini, na unachoamini kinabeba uzito gani.. Lakini katika maisha ya ukristo tunafata muongozo wa biblia kujua ni ni ni kweli nini si kweli.. Kwenye biblia hakuna mahali inaonyesha Yesu alioa labda ipo ila mimi sijaisoma.. Sasa kwa ni ni nikubali kitu ambacho hakipo kwenye neno la Mungu
 
Wangeandika kila ktu iyo biblia ingekuaje?? Mana hata kitabu unachotumia kumchambua na kumjua yesu akionyesh wap alifua akaoga Nk kwaio jua waliandika vile vlvyokua vya msng tu il kukuza iman zenu
 
Kwa kujua na kwa kutokujua.. Yesu alikuja ulimwenguni kulikuwa ni kwasababu ya kumsaidia mwanadamu na dhambi..


Hapo mwanzo shida kubwa ya mwanadamu ilikuwa ni dhambi na dhambi ikasababisha uadui wa mtu na Mungu wake..

Kwahiyo Bwana Yesu alikuja kuabolish dhambi kwa kuna kaka na kufufuka kwake.. Mshahara dhambi ni mauti..

Ili mpasa mtu afe kwasababu ya dhambi na kukosa ushirika na Mungu.. Lakini Bwana Yesu(hakufanya dhambi huyu wala hakuwa na asili ya dhambi) akatulipia hilo deni(adhabu ya watu wote ilikuwa juu yake), akafa yeye na kwa kufufuka kwake akaishinda mauti na kuzimu..

Kwa uzima huo uliomo ndani yake ndio wanatakuwa nao wote watakao amini hicho nilichoandika hapo juu..

Sasa unaweza ukasikia ukachagua kutokuamini na unaweza ukasikia ukachagua kutokuamini lakini haimanishi ni uongo..

Tatizo la dhambi limefutwa ukiamini unafanyika kiumbe kipya ambacho hakiongozwi na mwili bali na Roho wa Mungu..

Ila usipoamini ni lazima tu mwili ukutawale na mwili ukikutawala ndio inaleta hapo matokeo ya dhambi kama wizi, uzinzi chuki na mengineo
Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kutenda dhambi?

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?

Kama huyo Yesu alikuja duniani kumsaidia binadamu na dhambi, Kwa nini ukifa unahukumiwa dhambi zako?

Kama ukifa unahukumiwa dhambi zako, Huyo Yesu alikomboa nini?
 
Yesu alizungumza mara nyingi kuhusu ufalme wa Mungu, na ni wazi kwamba maisha yake yalilenga kuhubiri ujumbe huo badala ya kujenga familia ya kimwili.
 
Early Latter Day Saints Apostle Orson Hyde taught that Jesus was a polygamist who was married to Mary Magdalene, Martha, and Mary of Bethany, and fathered children with them. He also taught that the marriage at Cana was Jesus' own wedding.[19][20][21][22] This idea is not official LDS doctrine,[23] although it has certainly entered into Mormon folklore.[24][25][26]-tuliosoma advanced theology tulipitia hayo maandiko, hayapo kwenye biblia mnazozisoma nyinyini mafundisho ya uwongo kabisa:

Huo ni uwongo mkubwa. Kumbukumbu zote zinaonesha Bwana wetu Masiha Yesu Kristo, hakuwahi kuoa wala hakuwahi kutenda dhambi yoyote. Alifanana nasi wanadamu kwa umbile lakini hakuwahi kutenda dhambi.
 
Back
Top Bottom