Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Uwiiiii hapa ndo mnaponiachaga hoi ndugu zangu kusema Yesu ni Mu-nguYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiiii hapa ndo mnaponiachaga hoi ndugu zangu kusema Yesu ni Mu-nguYeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
hiyo mungu ulioandika hapo (ya herufi ndogo) hiyo ni ya kwako hiyo. mjibu hoja hakumaanisha huyoYeye ni mungu alikuja kuifanya kazi ya mungu🤔🤔🤔 huyo mungu mwengine ni yupi sasa?
Yeye ni mungu alikuja kuifanya kazi ya mungu🤔🤔🤔 huyo mungu mwengine ni yupi sasa?
Uwiiiii hapa ndo mnaponiachaga hoi ndugu zangu kusema Yesu ni Mu-ngu
Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kutenda dhambi?
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?
Kama huyo Yesu alikuja duniani kumsaidia binadamu na dhambi, Kwa nini ukifa unahukumiwa dhambi zako?
Kama ukifa unahukumiwa dhambi zako, Huyo Yesu alikomboa nini?
Sasa mtu anachukulia mfano Yesu kwann hakuoa Ili nayeye maisha yake yawe kama yesuHebu fafanunua kwanza 🤣🤣🤣
Binaadamu anakuaje Mungu?Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Maria Magdalena alikuwa mama mzee mwenye Fedha nyingi alizozitumia kuwezesha injili ya YesuHakuoa ila alikuwa na mwanamke aliyekuwa karibu yake sana hata jamii ikamshuku kuwa huenda ni wapenzi, hata miongoni mwa wafuasi wake.
Hata baada ya kuondoka kwake yule mwanamke alisema kaachiwa maagizo na hayo maagizo yalikuwa tofauti na aliyoachiwa Petro na wanafunzi wengine.
Petro akaona mambo yasiwe mengi akaelekea.zake Roma ambapo baadae sana kukazaliwa catholic.
Ila Maria wa Magdala alipewa kipaumbele cha kipekee san na Yesu, kuanzia mwanzo hadi mwisho wa uwepo wake.
Kuna kitu tumechukua hapo wakuu wa kataa ndoa.
Hakua na upwiru!Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Kumjua baba yako muulize mama! Hata wew usikute huyo baba yako sio baba yakoBaba yake alikuwa nani ?
The man kwa wakati ule alikuwa outcast. Akivunja karibu taratibu zote za wale wanaojiita wastaarabu wa zama hizo hivyo kwao alionekana msela fulani hivi huenda ingekuwa hata sasa watu wangemkataa.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Kwahyo Maria Magdalena alikuwa mshangazi wa yesuMaria Magdalena alikuwa mama mzee mwenye Fedha nyingi alizozitumia kuwezesha injili ya Yesu
Mama baba yangu ni nani ?Kumjua baba yako muulize mama! Hata wew usikute huyo baba yako sio baba yako
Mungu nini kwanza. Tuanzie hapoYeau ni Mungu kuanzia lini? come on
Wewe unaweza kuwaoa binti zako?Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Nadhan Biblia kuna vitu iliacha kuandika tusingeweza kusomaMtu ana miaka 30 hajawai kuoaa Wala kusex na mtu alafu alikuwa mfano wa binadamu.
Imani ni Bora kuliko dini
Wakina Mary Magdalene . Wamejiuza wamechoka biashara hailipi wakaamua waache waende kwa yesuWanawake vimeo walikuwepo tangu enzi hizo