Kama huna roho mtakatifu ndani yako basi huwezi kuelewa lolote.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Endelea Kumsujudia shetwaini aliyeoa mabikra 70.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna roho mtakatifu ndani yako basi huwezi kuelewa lolote.Zipi zilikuwa sababu za msingi za yeye kutooa wala kuwa na mchumba?
Mje mtupe darasa kwa kweli.
Hapo kwenye mnafiki ndo unakoseaUkisoma stori za Yesu alikuwa na kimada anaitwa Mariam magdalena.
Kwa ufupi Yesu alikuwa mnafiki kiaina.
Ukifa haukumiwi kwa dhambi la sivyo Yesu angekuwa amekufa bure..Huyo Mungu aliumbaje binadamu wenye uwezo wa kutenda dhambi?
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wasio na uwezo wa kutenda dhambi?
Kama huyo Yesu alikuja duniani kumsaidia binadamu na dhambi, Kwa nini ukifa unahukumiwa dhambi zako?
Kama ukifa unahukumiwa dhambi zako, Huyo Yesu alikomboa nini?
Sijameza haya mambo , ndio ninayaishi ninaona.. Kumuamini kumenifanya niwe hii nilivyo leoUsipende kuamini tu umepewa akili jaribu kudadisi mambo..
chimba!
Kwa hiyo ukimwamini tu Yesu halafu ukaendelea kufanya dhambi kama kawaida, haina shida kabisa?Ukifa haukumiwi kwa dhambi la sivyo Yesu angekuwa amekufa bure..
Ukifa una hukumiwa kwa kutokumuamini Yesu
Ndio wachache tu hivyo1.Yesu…....... Hakuoa Wala kua na Mchumba.
2. Isaac Newton......... Hakuoa.
3.Nicole Tesla.........Hakuoa.
NOTE: Watu Genius huwa Hawana muda na Wanawake.
Ee Munguu nisaidie tangia ulogwe unaropoka tuWakati anajiandaa kuoa, ndipo alipotekwa na maadui
Alioa hadi bint wa miaka 9Muhammad tangia abalehe yeye ni ni kuoa tu mpaka anakufa
Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Inawezekana alikuwa anavinajisi vitoto akanogewa akaona aoe japo hata kimoja jamaa alikuwa anapenda sana downAlioa hadi bint wa miaka 9
Sijui kama unaona unachokitype..Kwa hiyo ukimwamini tu Yesu halafu ukaendelea kufanya dhambi kama kawaida, haina shida kabisa?
Giza limekukamata na naona unalikumbatia. Shetani ni kiumbe cha kiroho, hakifagi. Shetani hafi na hatokufa atateseka milele pamoja na wale ambao majina yao hayatoonekana katika Kitabu cha Uzima cha Mwana-kondoo. Hukumu ya mwisho inakuja ambapo shetani na wafuasi wake watatupwa katika hilo ziwa la moto na kuteseka milele.Kumtoa mwanao wa pekee badala ya kumuua yule adui mwovu Shetani, Ni upumbavu na unafiki.
Huyo Mungu kama aliupenda Ulimwengu, Angemuua shetani.
Huyo Mungu kama anaupenda ulimwengu, Amuue Shetani.
Kumuua mwanao wa pekee badala ya kumuua huyo muovu shetani muhusika mwenyewe. Ni unafiki, ujinga na upumbavu.
Shetani alipata wapi uwezo wa kuwa muovu?Giza limekukamata na naona unalikumbatia. Shetani ni kiumbe cha kiroho, hakifagi. Shetani hafi na hatokufa atateseka milele pamoja na wale ambao majina yao hayatoonekana katika Kitabu cha Uzima cha Mwana-kondoo. Hukumu ya mwisho inakuja ambapo shetani na wafuasi wake watatupwa katika hilo ziwa la moto na kuteseka milele.
Wewe ndio mpumbavu wa mwisho,hapo hapo wakataa dini,na hapo hapo huyajui majina ya Mitume wa hizo dini.Ni sawa kukataa science,na kutojua halisi, majina ya wagunduzi wa science.Kina FaizaFoxy baada ya kujifunza kwangu kuhusu dini zao ..siku hizi kapoteza tumaini la kuingia peponi na kupewa mabasha 70 baada ya kugundua kuwa mudi boy ni muongo .. mudi boy wala siyo mtume wa mungu wala yeye mwenyewe alikuwa ajui utume ni kitu gani... waislamu niombeni kwa kububujikwa na machozi nizidi kuwafunulieni upumbavu uliopo ndani ya hizo dini zenu za ukristo na uislamu...mtakuja kunishukuru sana
mtu aliyemwamini Yesu hawezi kutenda dhambi kwa makusudi. Anapewa nguvu ya kuzishinda dhambi maana Yesu anaingia mzima-mzima katika moyo wa mwamini.Kwa hiyo ukimwamini tu Yesu halafu ukaendelea kufanya dhambi kama kawaida, haina shida kabisa?
Sasa si tayari Yesu alishazifia dhambi zangu?Sijui kama unaona unachokitype..
Huwezi kumuamini Yesu alafu ukaendelea kutenda dhambi..
Sasa usipotenda dhambi kifo cha huyo Yesu hakina maana yeyote.Kumuamini Yesu inamaana unaamini alikufa kwaajili ya dhambi zako sio zake..
Na yoyote anaelewa hili hawezi kutaka kutenda dhambi na hata hiyo asili ya kutenda dhambi haimo ndani yake