Hivi kweli ATM huwa zinahesabu hela vizuri?

Hivi kweli ATM huwa zinahesabu hela vizuri?

Daktari wa Meno

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2019
Posts
509
Reaction score
1,610
Kuna kazi nimepata hivi karibuni sasa nikaambiwa malipo yanafanyika kupitia benki na nikatakiwa kuwa mteja wa benki hiyo ambayo ofisi imetaka ili niwe nawekewa mshahara wangu.

Sasa kutokana na ugeni wangu katika kazi na kulipwa kupitia benki je ni kweli ATM hizi haziibi pesa maana naogopa mshahara wangu unaweza kuibiwa na ATM ambazo mimi siziamini.

Baada ya kuwaza sana nimefikiria ninunue mashine ya kuhesabia pesa ya kwangu mwenyewe ili nione kama naibiwa na ATM naomba pia kujua bei ya hizo mashine za kuhesabu hela ni shilingi ngapi.

Sijajua mshahara ni shilingi ngapi ila wamesema ni kati ya laki 3 hadi 5.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhahahhahhahaa bei tu ya hiyo machine mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]! Then ulipwe laki 5[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]!
Bei gani mashine nataka kadogo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najibu tu swali la thread yako, je ATM huwa haikosei kuhesabu hela?
Jibu ni ndio, haikosei kuhesabu. Ila yanaweza kufanyika makosa hela ikahesabiwa na ikakwama kutoka. Kuna siku nishawahi kutoa hela, nikasikia mashine inahesabu lakini haikutoka ingawa nilipata msg kuwa nimetoa hela.
Kwahiyo zisipotoka nakuwa sina mshahara, basi bora wanilipe kwa mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom