Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Viongozi wa Azam ni kama walifanikiwa kuingizwa kwenye mtego wa U Yanga na U Simba hususani kulalamikia hujuma timu inayofanyiwa dhidi ya mabeberu hao wa soka hapa nchini na kupelekea wao kutokufanya vizuri.
Wakati mwingine wakaenda mbali zaidi na kuhisi pia chama cha soka kimewakumbatia zaidi huyo Kurwa na Doto Jambo ambalo ukilitazama vizuri ni kama linaukweli. Lakini licha ya hayo yote nimejaribu kufuatilia mechi za Azam hususani mechi ya karibu dhidi ya Yanga.
Hivi kweli game kama ile utajiuliza kweli kunahujuma au Azam imefikia kikomo na imebaki na tabia za Kurwa na Doto ambapo msimu Kurwa anashinda Doto anawaaminisha washabiki zao kuwa Kurwa anabebwa na yeye anahujumiwa same to Doto akishinda Kurwa naye hulalama the same.
Azam kwa hatua mliyofikia haiendani na matokeo yenu, nilitegemea muwe mnatoa ushindani kwa hizi timu mbili lakini sio leo mmecheza mechi 19 sawa na Yanga lakini tayari mnatofauti ya point 23.
Wakati mwingine wakaenda mbali zaidi na kuhisi pia chama cha soka kimewakumbatia zaidi huyo Kurwa na Doto Jambo ambalo ukilitazama vizuri ni kama linaukweli. Lakini licha ya hayo yote nimejaribu kufuatilia mechi za Azam hususani mechi ya karibu dhidi ya Yanga.
Hivi kweli game kama ile utajiuliza kweli kunahujuma au Azam imefikia kikomo na imebaki na tabia za Kurwa na Doto ambapo msimu Kurwa anashinda Doto anawaaminisha washabiki zao kuwa Kurwa anabebwa na yeye anahujumiwa same to Doto akishinda Kurwa naye hulalama the same.
Azam kwa hatua mliyofikia haiendani na matokeo yenu, nilitegemea muwe mnatoa ushindani kwa hizi timu mbili lakini sio leo mmecheza mechi 19 sawa na Yanga lakini tayari mnatofauti ya point 23.