Hivi kweli Azam FC timu iliyokuwa inategemewa kuleta mapinduzi ya soka inazidiwa point 23 na Yanga inayoongoza ligi?

Litimu la hovyo sana hilo unashabikia timu inafukuza wachezaji waliowapa ubingwa mna akili nyinyi
 
Ukitaka kujua ushindi wa yanga huwa umepangwa mezani,subiri waende kimataifa ndio utajua tunachoongea.

Kifupi huo ni ubingwa wa GSM na siyo wa yanga.
Utaona jinsi atakavyoumbuka kimataifa
 
Ukitaka kujua ushindi wa yanga huwa umepangwa mezani,subiri waende kimataifa ndio utajua tunachoongea.

Kifupi huo ni ubingwa wa GSM na siyo wa yanga.
Utaona jinsi atakavyoumbuka kimataifa
Kwani nyie Makolo huko kimataiga mmechukuwa kombe gani zaidi ya kulitia Taifa letu aibu kwa vipigo vikali..
Yanga tunaweza dadeq Dunia yote inafahamu hvyo.. Timu pekee ambayo haijafungwa kwenye ligi, nyie Makolo mnaweza haya..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…