Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

Stiki kwenye point naona unajizungusha tu mala jb mala celin and we are here kuongelea swala la mmakonde kushuka kimuziki kua ata iyo 1m ya YouTube ambayo ni moja ya mafanikio kwa wasanii kwake imekua shida sasa wewe sijui unazungukia wapi nimekuona haujui ndo mana nimetumia ka energy kidogo kujaribu kukueleza lakini bado upo na matope yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ww sio mueleea toka lini YouTube ikawa kipimo cha msani kuwa ndio mwisho wake?

Ndio maana nikakuambia JB ana sub wengi mbona hafikishi hata 1B nyimbo zote anazotoa inamaana ajukuimba na ndio mwisho wa maisha yake kimuziki?

Unamjua mtu anaitwa Alan Walker ww ana average ya nyimbo nyingi kufikisha viewers 100M mara ngapi ww Ulishawahi kumuona akiwa katika chat za Billboard inamaana hajui kuimba kama hajui anapataje viewers mpaka 2.5B huko mbona hawi kwenye chart kubwa hata kwenye tuzo hayumo!

Vp kuhusu Davido mbona kazidiwa sub na Daimond lakini kwenye mafanikio ya muziki nani ni mkubwa?

Huwezi kutoa data za msanii kushindwa kwa kutumia YouTube mbona uno hamkusema kuwa kondeboy kapotea? Huyo Alan Walker pamoja na kuwa viewers wengi YouTube lakini kuna ngoma anaviewers 7M utasema hajua au ni nn?

Sitaandika tena ndio nimemaliza hivyo kwenye huu uzi kubishana na ww.
 
"Ndio maana nikakuambia JB ana sub wengi mbona hafikishi hata 1B nyimbo zote anazotoa inamaana ajukuimba na ndio mwisho wa maisha yake kimuziki?"

 
Huu ndio kweli lakini watu hawajui haya
Sent using Jamii Forums mobile app
 
YouTube watu wanatafuta viewers kijanja kwahiyo kuwa na viewers wengi kwenye nyimbo si ubora wa nyimbo,mwingine anatangaza insta au facebook title ya uongo au kaweka picha nusu uchi ila ukiingia youtube unakutana na kitu kingine,mwishoni views zinakuwa nyingi kwa matangazo ya kijanja.

Je hit song aliyotoa Darasa-mziki kwa wakati huo ilivyohit mtaani na redioni kila mtu anarequest je kungekuwa na tuzo kwa wakati huo angepata ngapi?ila angalia huo wimbo youtube una views ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpumbavu
 
Mfano Nick wa Pili ana Followers milioni 3.6 Instagram lakini kwanini ngoma zake hajawahi kufikisha hata views milioni 1 ?
 
Well Ellaborated.
 
Mmhh.. Mkuu umeniacha hapooo.

Em nieleweshe vizuri.. Viwers na Views!?!??? What's the difference????
 
Tatizo ni dogo sana.
Mashabiki wengi wa Harmonize walitengenezwa na Diamond, hivyo hii inamΓ anisha mashabiki wa Diamond walikuwa ni mashabiki wa Harmonize pia.
Hivyo basi kwakuwa Harmo ameondoka WCB kufanya hivyo ameaiacha sehemu kubwa ya watu (mashabiki wa Diamond) waliokuwa wakimfutilia na kumshabikia.
 
Huyo jamaa ni kima anachana naye
 

Big no Viewerz wanatokana pia na fanbase brother uyo marioo n msanii mzuri ila mpaka sasa nyimbo ya Aya ina watazamaji sio zaidi ya laki 4 na 50 na inamasiku kazaa
Whats matter kwenye game saizi ni fanbase na diehard fans ata ukiimba ngonjela wata tizama tu sasa Mmakonde mwenzangu Fanbase hana zaidi ya watu wa Mbagala wamakonde wenzetu ambao wengi hawana smartphone na kama wanazo hawawezi risk kupoteza bando waingia kutazama kazi mpya wao wanachojua kwenda vibandani waburn Cd wapate nyimbo zao umondani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe hauna tofauti na wale wauza chupa za chai akufate PM ya nini. Next time utakuja kutuambia upo makao makuu ya Youtube,tafadhali naomba usitupeleke huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…