Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
😂😂😂 vijana wana mahaba sana alafu vitu hawapendi kufuatilia nimewaambia waje nahoja tuendeleze mdahalo wao siwanajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 vijana wana mahaba sana alafu vitu hawapendi kufuatilia nimewaambia waje nahoja tuendeleze mdahalo wao siwanajua.
Stiki kwenye point naona unajizungusha tu mala jb mala celin and we are here kuongelea swala la mmakonde kushuka kimuziki kua ata iyo 1m ya YouTube ambayo ni moja ya mafanikio kwa wasanii kwake imekua shida sasa wewe sijui unazungukia wapi nimekuona haujui ndo mana nimetumia ka energy kidogo kujaribu kukueleza lakini bado upo na matope yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hv umenielewa nilichosema hapo mwanzo kwamba sio kila muziki ambao haukufanya vzr YouTube wa msanii fulani ndio kipimo cha maisha yake ya music unawajua wakina Celine Dion ww hawana nyimbo nyingi YouTube lakini unajua show yake moja ni dolla ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23] usikurupuke acha na mahaba ya kijinga. [emoji23][emoji23][emoji23] na ndio maana nikasema kuwa JB ana sub wengi lakini hayupo hata kwenye top 10 ya most viewed song kwahiyo JB ajui kuimba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli ww sio mueleea toka lini YouTube ikawa kipimo cha msani kuwa ndio mwisho wake?Stiki kwenye point naona unajizungusha tu mala jb mala celin and we are here kuongelea swala la mmakonde kushuka kimuziki kua ata iyo 1m ya YouTube ambayo ni moja ya mafanikio kwa wasanii kwake imekua shida sasa wewe sijui unazungukia wapi nimekuona haujui ndo mana nimetumia ka energy kidogo kujaribu kukueleza lakini bado upo na matope yako
Sent using Jamii Forums mobile app
"Ndio maana nikakuambia JB ana sub wengi mbona hafikishi hata 1B nyimbo zote anazotoa inamaana ajukuimba na ndio mwisho wa maisha yake kimuziki?"Kweli ww sio mueleea toka lini YouTube ikawa kipimo cha msani kuwa ndio mwisho wake?
Ndio maana nikakuambia JB ana sub wengi mbona hafikishi hata 1B nyimbo zote anazotoa inamaana ajukuimba na ndio mwisho wa maisha yake kimuziki?
Unamjua mtu anaitwa Alan Walker ww ana average ya nyimbo nyingi kufikisha viewers 100M mara ngapi ww Ulishawahi kumuona akiwa katika chat za Billboard inamaana hajui kuimba kama hajui anapataje viewers mpaka 2.5B huko mbona hawi kwenye chart kubwa hata kwenye tuzo hayumo!
Vp kuhusu Davido mbona kazidiwa sub na Daimond lakini kwenye mafanikio ya muziki nani ni mkubwa?
Huwezi kutoa data za msanii kushindwa kwa kutumia YouTube mbona uno hamkusema kuwa kondeboy kapotea? Huyo Alan Walker pamoja na kuwa viewers wengi YouTube lakini kuna ngoma anaviewers 7M utasema hajua au ni nn?
Sitaandika tena ndio nimemaliza hivyo kwenye huu uzi kubishana na ww.
Huyu jamaa ashakwisha.
Cheki wcb wanamtumia rayvanny kuprove harmonize hakuwa sawa. Kwenye subscribers harmonize alikua anampiga range ndefu tu rayvanny lkn sshv naona wanazidiana points tu. Harmonize ana subs 1.47 M lkn rayvanny ana 1.36 M. Soon jamaa anaangushwa na hilo jeshi lake huwe
yaan sijui watu huwa mnashindwa vipi kuelewa hii concept. Kuna viewers na views na unachooneshwa ww mfazamaji pale ni views wala sio viewers. WCB ni kati ya kundi lenye mashabiki damdam na wao wako tayar kurudia video hata mara 100. Ukiwa unaangalia comment zao kule youtube ndo utaelewa, yaan wanahamasishana hata kuangalia hadi mara 20
Video inaweza kuwa na views bilion moja lkn viewers wakawa ni milioni 100 tu.
Na unaweza kuta mtu mwenye video yenye views 500k anaingiza hela zaidi ya mwenye views 800k coz inategemea umefikia audience ipi.
Na ndio maana youtube kukuruhusu kuweka matangazo wanaangalia idadi ya subscribers wako kwanza
Kweli ww sio mueleea toka lini YouTube ikawa kipimo cha msani kuwa ndio mwisho wake?
Ndio maana nikakuambia JB ana sub wengi mbona hafikishi hata 1B nyimbo zote anazotoa inamaana ajukuimba na ndio mwisho wa maisha yake kimuziki?
Unamjua mtu anaitwa Alan Walker ww ana average ya nyimbo nyingi kufikisha viewers 100M mara ngapi ww Ulishawahi kumuona akiwa katika chat za Billboard inamaana hajui kuimba kama hajui anapataje viewers mpaka 2.5B huko mbona hawi kwenye chart kubwa hata kwenye tuzo hayumo!
Vp kuhusu Davido mbona kazidiwa sub na Daimond lakini kwenye mafanikio ya muziki nani ni mkubwa?
Huwezi kutoa data za msanii kushindwa kwa kutumia YouTube mbona uno hamkusema kuwa kondeboy kapotea? Huyo Alan Walker pamoja na kuwa viewers wengi YouTube lakini kuna ngoma anaviewers 7M utasema hajua au ni nn?
Sitaandika tena ndio nimemaliza hivyo kwenye huu uzi kubishana na ww.
Wewe ni mpumbavuHuwa mnajidanganya Tu viewer ni mhimu Sana kuhit worldwide , akina davido wanagonga mpak viewers 💯 mil , Justin Bieber anagonga viewers mpak 3bill , YouTube wenyewe huwa wanazipush Ngoma zinazotambaa sana watu weng wanawekewa kama recommend ...
Endeleeni Kujidanganyana sasa na view zenu laki tatu , konde boy Hana platform ya kufanya Ngoma zake ziende , yupo alone , Hana much support , anatoa Ngoma back to back ambazo ni normal Sana na nying zinakuwa ignored , mastermind wa hv vitu bongo nzima na Africa anajulikana ni salaam sk huko aliko konde boy hamna kitu , aendelee Tu kucheza twist japo kipaji anacho...
Mfano Nick wa Pili ana Followers milioni 3.6 Instagram lakini kwanini ngoma zake hajawahi kufikisha hata views milioni 1 ?Ujuaji mwingi afu mbele kiza leo hii despacito ndo nyimbo yenye views nyingi lakini Luis fons hana subscribers wengi compared to jb hivyo basi kwenye swala la malipo huwezi wa compare pamoja harmo ana subscribers wengi kuliko reyvan lakini kwenye fact ya mafikio ya kutazamwa na wengi YouTube kwenye nyimbo zao za sasa you can see the difference
Sent using Jamii Forums mobile app
Dimpoz alisemaga ujanjaujanja(jamaa wako sana na Minigeria)
Well Ellaborated.wakuu bila kupoteza muda nomba niweke mtazamo wangu hapa naruhusu kukosolewa
Huyu kijana toka ametoka kundini kabadilika kwa Mambo mengi sana ambayo kimsingi yanaua mziki wake
Ipo ivi alipo kua anatoka WCB alishawishiwa na watu wenye nia ya kufanya nae kazi wakiwa na imani watafaidika kulingana na umaarufu na mafanikio aliyo jozolea mwaka 2019 hapa kilicho tokea ni yeye kujiona mkubwa sana na hiki ndicho kilichopo kwenye habari za chini chini kua anakiburi na dharau kwa manager wake uyu anae jiita jembenijembe na uyo mwingine anae jiita mjerumani ni mtu wa kupenda ubinafsi sana hapa tayari anatengeneza mkanganyiko kwa watu muhimu walio nyuma yake na hii kitu inashusha muziki wake
Mapenzi ya mashabiki alivyo ondoka Cristian Ronald real Madrid aliondoka na kundi kubwa sana la mashabiki walio unfollow page ya real Madrid na ku follow page ya Juventus hii ni kwasababu ya mapenzi na ushawishi wa Ronald nirudi kwa msanii HARMONIZE yeye Kama yeye hakuwa na ushawishi mkubwa sana kuliko diamond plutnumz ko kuondoka kwake kundini si kwamba kaondoka na idadi kubwa sana ya mashabiki hapana hivyo yy Kama yy kapoteza idadi kubwa ya watu waliokua wanampenda diamond na mapenzi yao kuhamishia kwa wasanii wake akiwemo HARMONIZE ko kijana kapoteza kundi kubwa mno hivyo kusababisha kuyumba kimziki
Matarajio clouds tv & radio efm radio &etv walitarajia kua ndio wamefanikiwa kupata mtu wakumpoteza diamond plutnumz hivyo wakaanza kuhamishia majeshi kwa HARMONIZE ili amshushe mondi Kama mjuavyo clouds ni wazee wakusoma upepo wameona kwa mmakonde akuna kipya cha kumtingisha mondi wamepunguza majeshi yao ata yule dada wa ala za roho atapoa tu na yeye
Efm wenyewe sizani Kama wataendelea kutumia nguvu nyingi tena kwa mamakonde Kama walizo tumia kwenye show yake ya mtwara kwao
WCB wao wanajitahidi sana kusaport wasanii wao na ku wa brand leo hii ndo matokea haya tunayo yaona
Diamond plutnumz
Reyvan
Mbosso
Lavalava
Qeen dareen
Mama dangote
Esma
Na wengine wengi sana wana support kazi za wasanii wao
Uje kwa HARMONIZE
Yeye anao
Jembe ni jembe
Mjerumani
Clouds
Efm
Josemipango
Chopa na wengine wengii
Ukiangalia kwa HARMONIZE clouds bado wanataka utawala hivyo awawezi muacha awe mtawala
Efm wako busy na singeli zao
Mjerumani jembe ni jembe chopa Jose wa mipango sio wakubwa sana kusema wana mchango mkubwa sana kwa HARMONIZE
Mwazo alipo jitoa ametembelea nyota aliyo toka nayo saizi anarudi kwenye uhalisia wa maisha yake bila WCB
Maisha yake ndo aya 1m anatafuta kwa wiki moja adi miezi na collaboration na mtu Kama mr izy View attachment 1356650View attachment 1356651
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmhh.. Mkuu umeniacha hapooo.Huyu jamaa ashakwisha.
Cheki wcb wanamtumia rayvanny kuprove harmonize hakuwa sawa. Kwenye subscribers harmonize alikua anampiga range ndefu tu rayvanny lkn sshv naona wanazidiana points tu. Harmonize ana subs 1.47 M lkn rayvanny ana 1.36 M. Soon jamaa anaangushwa na hilo jeshi lake huwe
yaan sijui watu huwa mnashindwa vipi kuelewa hii concept. Kuna viewers na views na unachooneshwa ww mfazamaji pale ni views wala sio viewers. WCB ni kati ya kundi lenye mashabiki damdam na wao wako tayar kurudia video hata mara 100. Ukiwa unaangalia comment zao kule youtube ndo utaelewa, yaan wanahamasishana hata kuangalia hadi mara 20
Video inaweza kuwa na views bilion moja lkn viewers wakawa ni milioni 100 tu.
Na unaweza kuta mtu mwenye video yenye views 500k anaingiza hela zaidi ya mwenye views 800k coz inategemea umefikia audience ipi.
Na ndio maana youtube kukuruhusu kuweka matangazo wanaangalia idadi ya subscribers wako kwanza
Drake anapiga hela youtube[emoji23][emoji23][emoji23] au unazani drake ni millard ayodrake hauzi cd anapiga pesa huko YouTube
kanye west. amekiri kwamba era hii si ya kuuza cd,,watu wanatumia social network
dunia ya sasa ukifeli mitandaoni ,umefeli kimuziki
Sasa unavyo sikia kendrick au drake ameuza copy million moja inakuaje?CD hata wenye maduka hawaziweki tena, utasikilizia wapi, magari hayana CD player, nyumbani ni mambo ya Alexa na Siri hakuna CD players
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni taahiraWewe ni mpumbavu
Huyo jamaa ni kima anachana nayeKama kukariri we jamaa ni mshamba wa mwisho ko ili nyimbo ionekane inamafanikio kwako we unaangalia nn mana saizi kila kitu ni mtandao
Boom play walitoa list ya wasanii walio fuatiliwa zaidi uo ni mtandao
Sportfy walitoa takwimu za wasanii wolio kua streamed sana
Audio mark
YouTube
Apple music
Tidal nk
Wote hufanya ivyo na ndio wasanii hupata kipato uko mean na ngoma kua na views nyingi msanii ndo anapata mtonyo
Ebu wewe mjuaji tuambie ili ngoma ionekane inamafanikio unaangalia nn au ndo adi ichezwe mawinguni kwe radio yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapozungumziaa viewers YouTube unatakiwa uangaliee idadii ya wasanii wanaokujaa juu sahiviii ...sahiv nyimbo zinatoka NYINGI na nzurii na wasanii ni wengi wazuriii ,,,enzi zile hiphop haifikishi viewers hats 500k lakn sahiv mpka 1.5m .Unajua kwann idadii ya waimbaji kubwaa cha Kwanzaa,na mashabiki sahiv mziki mzuri ..
Nakupa fact kwa diamond nyimbo yake ya mwisho aliyowashirikisha wale jamaa fulan ,haikuwahii kufikaa trending no 1 YouTube na viewer 1m imetafutaa sana ..
Kwahiyooo tatizo sahiv wako wakina Mario wakina kituga wengi wazur kwahiyooo kila msanii ni muda wa kutunga nyimbo nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hauna tofauti na wale wauza chupa za chai akufate PM ya nini. Next time utakuja kutuambia upo makao makuu ya Youtube,tafadhali naomba usitupeleke huko.Tatizo mnajua au sijui ni mnakariri mpaka nyimbo ifikishe viewers 1M ndio kubwa hata breezy sometimes anatoa ngoma zinabuma hazifikishi viewers ambao huwa anafikisha nyimbo nyingine hv unajua kuwa Bieber ndio msaani mwenye subscriber wengi YouTube ana 50M nk.. lakini hana hata nyimbo 1 katika nyimbo 10 ambazo zimeangaliwa sana YouTube 😂😂😂 ukitaka kujua mengi njoo Pm mm ni kama maktaba entertiment naijua vzr na ninaifuatilia coz napenda sana music.