Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ki2ga naye ni msanii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hana 800 ila ana 100 hao ni wachache? angekuwa na 500k sawa kasome urudi ebooooh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipaji cha singeli na mipasho[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kidding

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalale bhana kichwa ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kojoa unakueupuka dogo leta fact tukusushie nondo hadi ukimbie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ukiboost maana yake umepata viewers fake?
Wabongo bado washamba sana kwenye hizi issue za mitandao alaf kibaya hamtaki kujifunza..
Jipe elimu kidogo, anzia hata na facebook ads utaelewa kinachoendelea kwenye hizi issue.
Hakuna boosting ndugu YouTube wanalipa pesa hawawez kulipa pesa kwa viewers fake

Rayvanny ametia wimbo mzur ambao unaendana na wakati

Hata uchaguzi wa Jina la wimbo kwa vanny uko makin sasa huyu mmmm

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mlipomchomoa kundini mlisherekea mkijua mmekua washindi bt now anapoteza uelekeo mnakuja na news za kulia lia pambaneni na hali zenu
 
Ye hawezi kufanya boosting!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inahitaji gharama kubwa diamond anaweke mpunga mrefu huko ndo mana na siku hizi huwa naona baadhi ya post zake huko facebook zinakuwa sponsor mana kwamba zimelipiwa ili ziwafikie watu wengi waone hakuna uchawi mwingine wakufanya watu wengj wakangalia video zako
 
Acha kudanganya umma sorry na what do u mean zina billion views youtube
 
Hapa jf watu wanaongea tu bila fact zozote! Kama huyu anasema nyimbo za jb hazijawah fikisha billion views on youtube!! Sorry 3.2 b, what do u mean 2b, baby 2.5b! 2sidanganyane humu kama hufatilii mambo usidanganye umma
 
Tusisahau kukumbushana kila mara zile ni views (clicks) sio idadi ya watu (viewers).
Na hata kwenye subscribers/followers sio idadi ya watu cause mtu mmoja anaweza ku subscribe/follow kwa akaunti feki nyingi tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…