felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Nimetafakari sana maisha yangu.ukipitia huu uzi unaweza piga ngumi ukutani kwa hasira, maana unakunja 600k kwa mwezi kabla ya makato
mwengine anakunja 100m kwa saa, dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetafakari sana maisha yangu.ukipitia huu uzi unaweza piga ngumi ukutani kwa hasira, maana unakunja 600k kwa mwezi kabla ya makato
mwengine anakunja 100m kwa saa, dah
Ukisema mil 100 kwa siku faida unazungumzia bilioni 2 na zaidi kwa mwezi? bilioni 24 kwa mwaka? faida tu? basi hio biashara ni mauzo ya bilioni 1 kwenda mbele au bilioni 200 kwa mwaka? zipo arusha?huku arusha kuna wauzaji na suppliers wakubwa wa spare za magari, kupiga 100m kwa siku au siku kadhaa kwao kawaida mno....
sio kweliDah ya kweli haya mkuu?
kuna kampuni naijua ni kubwa tu ambayo inauza mafuta ,wao wanauza bil 2 per day na wana depot kuraisi ,sasa kariakoo wapi na wapi?😂😂😂Imebidi nicheke mkuu nilivyoona hio M100 kwa saa tena kuuza nguo kariakoo.
Dah...Mafuta haya ya kula ama yapi mkuukuna kampuni naijua ni kubwa tu ambayo inauza mafuta ,wao wanauza bil 2 per day na wana depot kuraisi ,sasa kariakoo wapi na wapi?
Petrol na dieselDah...Mafuta haya ya kula ama yapi mkuu
BakhresaMwenyewe nimeshangaa sana, mwingine anasema eti kwa saa, wastani wa milioni 100 kwa saa (net profit)
Yaani huyo mtu anatakiwa awe anauza milioni 800 hadi bilioni ndani ya hilo lisaa ndio abakiwe na net profit ya million 100
Huyo sawa.Bakhresa
Ni sheli ama ni nini mkuuPetrol na diesel
Kwa wenye 100 hadi 500 wao wanaweza kuingia sekta gani kiuwekezaji na pesa ikawalipaUsiwe mchuuzi ,uwe na kiwanda au biashara kubwa ambayo mtaji wake sasa si chini ya bilioni hata 10-100