Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Ndio zipo , Kariakoo watu wanaburuza hyo faida Kwa masaa, inatokana na bidhaa unaozouza , na mtaji ulio nao na coverage ya wateja , kama una coverage mpak nje ya nchi Mzee lazima ugonge tuu
Sahihi kabisa mkuu
 
Sportkula kunasiku anaingiza hiyo faida Hadi Bilion kwa siku japo sio siku zote 😄 niutani lakini
 
Ukiuza milioni Mia kiwa ahesabu faida Ni Kama 10% hivyo kwa MTU mwenye mauzo ya Bilion moja anauhakika wa kutoa Milion 100 faida lakin hapo Kuna VAT na makorokoro mengine kibao
 
Swala ni kwamba,lzm kuwe na uhusiano Kati ya mtaji,faida na risk huwezi niambia una million 5,kwa mwezi ufunge 100m,kitu ambacho hakiwezekani Sasa mtoa mada unasema umechoka kufanya unachokifanya unamtaji wa Bei gani uingize hiyo hela?
 
Nafikiri kuna biashara ambazo unaweza piga hela hio kama mzunguko mkubwa. Mfano Azam na biashara nyinginezo kama hizo.
 
mapato ya jumla 100M kwa saa wapo wwngi sana wanaingiza ila faida ya 100M kwa saa ni watu wachache wanapata sana sana wawekezaji wakubwa ndo wanaweza hiyo unakuta muwekezaji ndan ya saa anafanya biashara ya kuuza bidhaa za jumla kwa zaidi ya mikoa 15+ kwanini asipate hiyo faida
Hilo ni kweli mkuu
 
Wakuu tushirikishane basi hizo biashara au madili ya biashara za kuingizia kiwango hiko cha faida kwa muda tajwa, hivi kweli zipo na kama zipo tushirikishane.

Mambo ya kufanya biashara kwa mazoea ni ya kijinga, miaka nenda rudi unaulizwa unajishuhulisha na nini, mtu anajibu , nafanya biashara, miaka 5, uko pale pale husogei, unafanya tu biashara, embu tushirikishane madili ya biashara zenye mipango ya kupiga kiwango hiko cha pesa kama faida.

Mkuu,, biashara ya milion 100 faida uelewe na mtaji wake utakua kuanzia bilioni!!

Hizo ni za makampuni ya simu na madini au wenye sheli zinazojaza wateja
 
Inaonekana waliochangia weng humu hawajui tofauti ya mauzo na faida.
Tuombe Mungu hii isiwe sample ya umbumbumbu wa kizazi hiki cha allucination!
Hiyo faida zungumzia kampuni za huduma[large tax payers] kama za mawasiliano au wazalishaji kama madini na si kwenye bazaar economy za kariakoo.
Labda kama tunajadiri biashara za sinaloa
Sema unatumia lugha Kali saana kuonesha ww unajua saana but ungeongea kawaida tuu ,,maana limeulizwa swali kama ww hujui au huamini piga chini sasa cha ajabu nini hapo km mtu anaagiza kutoka njee na anauza nguo au vifaa vya umeme Kwa bei ya jumla?!!!
 
Sema unatumia lugha Kali saana kuonesha ww unajua saana but ungeongea kawaida tuu ,,maana limeulizwa swali kama ww hujui au huamini piga chini sasa cha ajabu nini hapo km mtu anaagiza kutoka njee na anauza nguo au vifaa vya umeme Kwa bei ya jumla?!!!
samahan kama nilikukwaza. Jf haiwek kumbkumb nilipost saa ngap, ukute ilikuwa usiku nimeshanyimwa kitu. Lkn ujumbe ndo huo huo.
Neno faida ni la kimahesab zaid kutoa mtaji, matumizi, kodi/tozo na gharama nyingine.
 
Mkuu umenikumbusha RICHMOND. Ile kampuni ya kufua umeme. Milioni 152 kwa siku ilikua inapokea kutoka serikalini tena kwa miaka ile ya 2008.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Facebook inaingiza zaidi ya milioni 9 kwa sekunde Apple wanaingiza zaidi ya milioni 6 kwa sekunde! Inategemea na biashara yako,
 
Back
Top Bottom