New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Uhakika hiiDawa za kulevya.
Ila kwa wale Majefe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika hiiDawa za kulevya.
Sahihi kabisa mkuuNdio zipo , Kariakoo watu wanaburuza hyo faida Kwa masaa, inatokana na bidhaa unaozouza , na mtaji ulio nao na coverage ya wateja , kama una coverage mpak nje ya nchi Mzee lazima ugonge tuu
Hilo ni kweli mkuumapato ya jumla 100M kwa saa wapo wwngi sana wanaingiza ila faida ya 100M kwa saa ni watu wachache wanapata sana sana wawekezaji wakubwa ndo wanaweza hiyo unakuta muwekezaji ndan ya saa anafanya biashara ya kuuza bidhaa za jumla kwa zaidi ya mikoa 15+ kwanini asipate hiyo faida
Wakuu tushirikishane basi hizo biashara au madili ya biashara za kuingizia kiwango hiko cha faida kwa muda tajwa, hivi kweli zipo na kama zipo tushirikishane.
Mambo ya kufanya biashara kwa mazoea ni ya kijinga, miaka nenda rudi unaulizwa unajishuhulisha na nini, mtu anajibu , nafanya biashara, miaka 5, uko pale pale husogei, unafanya tu biashara, embu tushirikishane madili ya biashara zenye mipango ya kupiga kiwango hiko cha pesa kama faida.
Kwanini usiingie ndani sana,,
Kwanini usiingie ndani sana,,
Mkuu,, biashara ya milion 100 faida uelewe na mtaji wake utakua kuanzia bilioni!!
Hizo ni za makampuni ya simu na madini au wenye sheli zinazojaza wateja
Sema unatumia lugha Kali saana kuonesha ww unajua saana but ungeongea kawaida tuu ,,maana limeulizwa swali kama ww hujui au huamini piga chini sasa cha ajabu nini hapo km mtu anaagiza kutoka njee na anauza nguo au vifaa vya umeme Kwa bei ya jumla?!!!Inaonekana waliochangia weng humu hawajui tofauti ya mauzo na faida.
Tuombe Mungu hii isiwe sample ya umbumbumbu wa kizazi hiki cha allucination!
Hiyo faida zungumzia kampuni za huduma[large tax payers] kama za mawasiliano au wazalishaji kama madini na si kwenye bazaar economy za kariakoo.
Labda kama tunajadiri biashara za sinaloa
samahan kama nilikukwaza. Jf haiwek kumbkumb nilipost saa ngap, ukute ilikuwa usiku nimeshanyimwa kitu. Lkn ujumbe ndo huo huo.Sema unatumia lugha Kali saana kuonesha ww unajua saana but ungeongea kawaida tuu ,,maana limeulizwa swali kama ww hujui au huamini piga chini sasa cha ajabu nini hapo km mtu anaagiza kutoka njee na anauza nguo au vifaa vya umeme Kwa bei ya jumla?!!!