Nimesoma comments na nimejifunza kitu kwamba:-
1. Watu hawaamini kwamba kuna biashara zenye pesa kulingana na circle yao ya kimaskini ilio wazunguka.
2. Hawaamini kubet ni biashara. Waakangakie takwimu za Ile kamari ya kurusha kindege kwa dakika ima make shingapi.
3. Matajiri ngozi nyeusi hujificha mno kiasi kwamba huwezi amini mfano Sawaya,Msigwa wa Super Feo.
4. Tembeleeni makaa ya mawe Njombe na Songea huko muone kua Kuna watu wanapesa mpaka hawajui wazifanyie nini.
5. Tunakosa exposure biashara ni mtaji.
Sent from my Infinix X688B using
JamiiForums mobile app