Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Kumbuka huwezi kuingiza faida ya milioni 100 kwa muda ulosema kwa mtaji wa milioni mia mbili au hata milioni mia tatu au nne. Kwanza capital, pili aina ya biashara, tatu idadi ya wateja iwe large scale.
Nimeshuhudia kuna watu wanaingiza faida milioni mia tano kwa siku pale Kariakoo. Biashara ya simu za jumla wale ma agent waloingia ubia na viwanda vya simu China. Unakuta wafanyabiashara wote wanachukua mzigo kwake na kila Pisi moja unakuta faida elfu 5 tu na viswaswadu unakuta faida hadi buku tu. Sasa kwa siku anauza katoni nyingi sana za smartphone na viswaswadu brands zote itel, tecno, infinix, samsung n.k Na katoni moja mara nyingi ina simu 60pcs au 40pcs.
Wakati unashuhudia wewe ulikuwa kama nani hapo mbona mnaleta visasili wakuu? Unaijua FAIDA YA MILIONI 100 KWA SIKU? . Huyu mtu kaingiza kiasi Gani siku hiyo mpaka atoe makorokoro yooote kuanzia mtaji,malipo Kwa wafanyakazi nk. Alaf mkononi mwake ibake MILIONI 100 kama FAIDA
 
Halafu inakuwaje watu wanakuja kufirisika? Kuna jamaa yangu hapa SHY alikuwa akikaribia kufunga ofisi sasa apeleke pesa benki anajaza sandarusi kwa kukanyaga na miguu! Leo hii eti yuko kwenye mawe! Inasababishwa na nini?

Mbinu ya kuzilinda zibaki kuwepo huwa ni ileile uliuoyumia kuzipata, alishindwa.
 
Nendeni kwa mama wenga pale buguruni..uone Semi ngapi zinazopakia nondo,bati na cement kila siku kupeleka huko mikoani.

Watu kama kina Mo na Bakhresa hiyo pesa ni ndogo kuingiza kwa siku.

Waingizaji wa mbolea nchini na bidhaa mbalimbali za pembejeonnao wanakunja mkwanja mrefu sana .
Bora wewe mkuu umeongelea ngazi ya kiwanda sio kiduka wala kistoo kariakoo
 
Silent anaweza ingiza kupitia loose cargo ila hapati faida hiyo kwa siku.
Kwa wiki yawezekana kabisa.

Kina MO, Azam wanaingiza hiyo faida kwa siku
Dar ina watu takribani milion 8 na Bakheresa anamudu kuwauzia watu milion pekee jijini Dar zile Energy zake tu.

Fanya hesabu kila pieces mona apate faida ya 150 tu. Math 150×1,000,000/=150,000,000/= anapata faida kwenye item moja tu.

Kuna watu milion 100 ni kama elfu kumi tu. Na ndio maana anaweza kutoa Billion za kudhamini ligi na asiwaze.

Milion Mia per day kuna wazawa kibao wanakunja kirahisi tena kwwnyw item moja tu.
 
Kuna muda nilikuwa Zanzibar na mzigo wa nguo wa milion 50 natafuta mteja wa kumuuzia wote kwa jumla. Nilikaa nao Zanzibar ule mzigo zaidi ya wiki tatu... then nikaamua ngoja niupeleke kariakoo.


Huwezi amini nilikutana na jamaa akaona sample akaupenda hata hakwenda Bank jamaa alizama Shop akatoka na milion 50 kwemye begi. Aisee nilishangaa Sanaa kuna watu wana pesa pale Kariakoo nyie.

Na net profit ya 100 kwa siku kuna watu wanaikunja vizuri tu, tena watu wa kawaida akina Mo na Bakheresa hao ndio balaa.
 
Yani unamaanisha karikaoo Kuna biashara ya kuingiza faida ya milioni Mia kwa siku? Au masaa? Faida peke yake? Huu uongo utakussidia nini mkuu?

Labda Kama unaongelea mtu Kama Silent ocean ana uhakika wa kupiga hiyo hela kwa siku,ila siyo zile biashara za nguo,urembo na vyombo.
hujakaa na kujua biashara kkoo ndio maana unabisha, ingawa biashara sasa hv imepoa sana hamna wateja kama zaman ila ilikua kuna watu wanaleta kontena hata 10 unakuta anatuma sample kwa wateja wiki kabla mzigo haujaingia sokoni yaani ukiwa bado bandarin na unakuta kontena 5 zimeshauzwa kabla hata hazijaingia sokoni na wateja wameshalipia benk mzigo ukishuka tu watu ni kubeba order zao walizolipia na risiti zao,
n.b ila sio kwa sasa baada ya soko kuharibika
 
mapato ya jumla 100M kwa saa wapo wwngi sana wanaingiza ila faida ya 100M kwa saa ni watu wachache wanapata sana sana wawekezaji wakubwa ndo wanaweza hiyo unakuta muwekezaji ndan ya saa anafanya biashara ya kuuza bidhaa za jumla kwa zaidi ya mikoa 15+ kwanini asipate hiyo faida
 
Kaluakoo nikawaida xana maana unakuta mtu anasambaza mizigo mikubwa mikoani na unakuta anawateja 50 mteja wakwanza huko alipo nimuuzaji wa jumla ambae anaweza mchangia mzigo wa milioni 50 mpaka 100 kwa siku mzigo ukitua nje ya hapo. Mtu anafremu mikoani anapangisha ana magari ya kukodisha kwahiyo kuna watu wanaingiza hiyo pesa kwa siku wapo wanaingiza kwa miki kwa mwezi ndo usiseme biashara zina siri
 
kiongozi million 100 ndogo sana kwa wafanya biashara watu wanaingiza milioni 500 kwa siku ijekuwa iyo 100.
Mil 500 kwa siku? Nani huyo?
Mil 500 kwa siku, kwa mwezi ni bil 15, kwa mwaka ni bil 180
Ingekua kweli basi Tanzania tungekuwa na mabilionea wengi sana. Mo mwenyewe kwa mwaka hafikishi hiyo pesa
 
Nimesoma comments na nimejifunza kitu kwamba:-
1. Watu hawaamini kwamba kuna biashara zenye pesa kulingana na circle yao ya kimaskini ilio wazunguka.

2. Hawaamini kubet ni biashara. Waakangakie takwimu za Ile kamari ya kurusha kindege kwa dakika ima make shingapi.

3. Matajiri ngozi nyeusi hujificha mno kiasi kwamba huwezi amini mfano Sawaya,Msigwa wa Super Feo.

4. Tembeleeni makaa ya mawe Njombe na Songea huko muone kua Kuna watu wanapesa mpaka hawajui wazifanyie nini.

5. Tunakosa exposure biashara ni mtaji.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma comments na nimejifunza kitu kwamba:-
1. Watu hawaamini kwamba kuna biashara zenye pesa kulingana na circle yao ya kimaskini ilio wazunguka.

2. Hawaamini kubet ni biashara. Waakangakie takwimu za Ile kamari ya kurusha kindege kwa dakika ima make shingapi.

3. Matajiri ngozi nyeusi hujificha mno kiasi kwamba huwezi amini mfano Sawaya,Msigwa wa Super Feo.

4. Tembeleeni makaa ya mawe Njombe na Songea huko muone kua Kuna watu wanapesa mpaka hawajui wazifanyie nini.

5. Tunakosa exposure biashara ni mtaji.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hayo yote hakuna asiyejua. Kinachobishaniwa ni kiwango
 
Nimesoma comments na nimejifunza kitu kwamba:-
1. Watu hawaamini kwamba kuna biashara zenye pesa kulingana na circle yao ya kimaskini ilio wazunguka.

2. Hawaamini kubet ni biashara. Waakangakie takwimu za Ile kamari ya kurusha kindege kwa dakika ima make shingapi.

3. Matajiri ngozi nyeusi hujificha mno kiasi kwamba huwezi amini mfano Sawaya,Msigwa wa Super Feo.

4. Tembeleeni makaa ya mawe Njombe na Songea huko muone kua Kuna watu wanapesa mpaka hawajui wazifanyie nini.

5. Tunakosa exposure biashara ni mtaji.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kindege ile ni uongo yaani amna wa kuweka laki pale sijui laki mbili utapigwa mno...
 
Nauza Tshirt nzuri wakuuu za dukani reja reja 14k mzigo mzuri thsert nzuri nauza mapazia pia na vifaa vya ndani kwa bei nafuuu kwa uaminifu usisite kunitafuta
InShot_20230610_015150503.jpg
InShot_20230610_015242008.jpg
InShot_20230610_015216796.jpg
 
Hujui biashara kijana wewe so unajua faida iliyopo kwenye semi ya nondo wew..tufautisha mauzo na faida...hakuna kitu kinachoitwa faida ya siku. Mwenzio faida anaihesabu pale mzigo unapoisha anatoa import taxes ambazo ni kama pasu kwa pasu na faida bado gharama za uendeshaji wa biashara na mishahara. Kinachobaki sio haba kwa kapuku kama wewe ila ni kilio kwa tajiri. Biashara haiko kama unavyodhani na usione semi zinapakia mizigo mingi hapo hailipiwi cash ni mwendo wa mali kauli sasa unapozungumzia faida ya mil100 kwa siku nakuona kichaa. Hizo ni faida za viwanda.
Nimefurahi sana nchi hii bado Kuna vijana wenye akili sana.

Hizi story za vijiweni za faida kwa siku sijui wanaokota wapi... fikiria hapo bado mali hujakopesha, hujaibiwa, hujalipa monthly expenses na bado gharama nyingine ambazo hukutarajia, mtu analeta Habari za faida ya siku... jamani😂
 
Back
Top Bottom