Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Ili upate 100M lzm uwe na mtaji wekezwa ktk biashara usiopungua tzs 1B. Hivyo, 100M ni 10% ya 1B

Hata Tshs 1 Bil huwezi pata net profit ya 100 mil per day.. It is impossible..!! In a month, you can manage net profit of tshs 100 mil for 1 bil investment..!!
 
Ujue unaweza kaa mwezi bila kuuza engine hata 1?
Na sio wauza engine wote wanapata milioni 100 hapo naongelea wauza engine ambao wametengeneza wateja wengi,clients wa kununua kwa jumla mara kwa mara,makampuni.
Kama huna regular customers ni kweli unaweza kukaa mwezi usiuze hata moja same applied to any business hata hiyo ya kuuza suruali za elfu 20 kama hujatengeneza wateja wa kutosha pia unaweza kwenda wiki nzima usiuze suruali hata 1 ukawa unachoma nauli tu.
 
Hata Tshs 1 Bil huwezi pata net profit ya 100 mil per day.. It is impossible..!! In a month, you can manage net profit of tshs 100 mil for 1 bil investment..!!
You are correct.
Kuna baadhi ya makampuni wamewekeza bilioni kadhaa za mtaji na bado hawapati milioni 100 kwa siku.
 
Silent anaweza ingiza kupitia loose cargo ila hapati faida hiyo kwa siku.
Kwa wiki yawezekana kabisa.

Kina MO, Azam wanaingiza hiyo faida kwa siku
Umeongea ukweli ndugu,ingekuwa kariakoo kunapatikana hizo pesa kirahisi wakina Manji wangejazana pale pasingetosha aisee.
 
Umeongea ukweli ndugu,ingekuwa kariakoo kunapatikana hizo pesa kirahisi wakina Manji wangejazana pale pasingetosha aisee.
Kina MO, Azam, Azania, Murzah, Watercom, Hill, Jambo, Kamaka, Goodone, Goodwill

Hawa wote wanaweza ingiza sababu wao huuza mauzo makubwa zaidi ya 5bil kwa siku
Na faida zao zinahesabiwa kwa kila bidhaa
Mfano MO kwa anatengeneza zaidi ya Tani 1500 za Sabuni kwa wiki sawa na miche milioni 3 akisema faida iwe 50 kwa kila mche 1 tayari ana 150mil

Na masoko yake mengi ni nje ya nchi
 
Kina MO, Azam, Azania, Murzah, Watercom, Hill, Jambo, Kamaka, Goodone, Goodwill

Hawa wote wanaweza ingiza sababu wao huuza mauzo makubwa zaidi ya 5bil kwa siku
Na faida zao zinahesabiwa kwa kila bidhaa
Mfano MO kwa anatengeneza zaidi ya Tani 1500 za Sabuni kwa wiki sawa na miche milioni 3 akisema faida iwe 50 kwa kila mche 1 tayari ana 150mil

Na masoko yake mengi ni nje ya nchi
yes kwa sababu wanauza in bulk kwa wholesalers na Agents sio pisi mojamoja kwa mtu mmoja mmoja.
 
yes kwa sababu wanauza in bulk kwa wholesalers na Agents sio pisi mojamoja kwa mtu mmoja mmoja.
Au zile soda zao wale faida ni ndogo ila wanauwezo wa kuuza chupa zaidi ya 100,000 kwa siku ambazo hata akiweka 50 anapata faida ya 5mil kwa siku.
Na hapa ndo hawa ngozi nyeupe wanatushindia, wao huwaza kuuza wingi
 
Au zile soda zao wale faida ni ndogo ila wanauwezo wa kuuza chupa zaidi ya 100,000 kwa siku ambazo hata akiweka 50 anapata faida ya 5mil kwa siku.
Na hapa ndo hawa ngozi nyeupe wanatushindia, wao huwaza kuuza wingi
yes wanafocus na vitu vinavyowahusu jamii yote kwa ujumla.
Kwa mfano sasa hivi wanawaza kuingia kwenye biashara ya mambo ya mitandao ys simu wamepiga hesabu zao wamegundua simu sasa imekuwa ni moja ya hitaji muhimu,kila mtu anatumia simu na lazima airtime/internet bundles zitumike
 
Wewe unaamini story za jiwe?
Stori zake nyingi zilikuwa za uongo ila hii ilikuwa sahihi..

Huyo Yusufali alikamatwa, akakaa ndani 3 years, akakiri kuiba na akanunua uhuru wake Kwa DPP kupitia Plea Bargaining!
 
Stori zake nyingi zilikuwa za uongo ila hii ilikuwa sahihi..

Huyo Yusufali alikamatwa, akakaa ndani 3 years, akakiri kuiba na akanunua uhuru wake Kwa DPP kupitia Plea Bargaining!
Una amini kabisa?
 
Nina rafiki yangu alikuwa anafanya kazi Aboud bus service,alisema hivi

Walikuwa na mabasi 20 yote yalikuwa yanafanya rout za dar Moro kila siku na basi moja hufanya rout tatu kwa siku kabla ya torch kuanza.

Mabasi mengi yanalipa au kuingiza fedha nyingi kupitia mizigo wanayobeba kwenye buti,hats Kama basi likiondoka bila ya abiria lakini wao hasara hawapati.Hivyo kwa pesa uliyoizungumza watu wanaingiza kwa siku mpaka wiki

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Basi moja linauzwa milioni 400 kwa makadirio ya chini,piga hesabu hizo basi 20 aliteketeza bilioni ngapi?Ni karibia bilioni 10 mtaji wake kwa hiyo akipata faida ya milioni 100 kwa wiki si ajabu
 
Hahaaaa!!!hoja tuliyokuwa tunaipinga wengi ni ya hao wanaosema eti pesa hiyo wafanyabiashara wa kariakoo wanaipata!!!
Kariako kuna watu wanazungusha zaidi ya million 500 kwa siku.

Kumbuka, "kuzungusha" siyo faida.

Usiidharau Katiakoo, Kariakoo ni soko kubwa Afrika Mashariki na Kati.

Wafanya biashara wakubwa pia wapo Kariakoo, mfano GSM, Bakhressa, hao pamoja na wengibe wengi wasiotajika, ni Kariakoo.

Kariakoo ndiyo kitovu cha Biashara ya Tanzania.
 
Kariako kuna watu wanazungusha zaidi ya million 500 kwa siku.

Kumbuka, "kuzungusha" siyo faida.

Usiidharau Katiakoo, Kariakoo ni soko kubwa Afrika Mashariki na Kati.

Wafanya biashara wakubwa pia wapo Kariakoo, mfano GSM, Bakhressa, hao pamoja na wengibe wengi wasiotajika, ni Kariakoo.

Kariakoo ndiyo kitovu cha Biashara ya Tanzania.
ukiwataja hao ni taasisi sio mtu mmoja, jamaa kauliza yeye kama yeye anaweza kufanya ishu gani aingize huo mpunga?
 
Back
Top Bottom