Mwiba1
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,122
- 2,445
Kwa biashara gani hiyo mkuu ebu weka na mfano basi tujue maana kariakoo hakuna biashara ya faida ya mil20 kwa sikukiongozi million 100 ndogo sana kwa wafanya biashara watu wanaingiza milioni 500 kwa siku ijekuwa iyo 100.