Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Biashara ya mawe ya matani mfano copper,mchanga wa chuma,nk hio mia ni ndogo utapata zaidi ya hio.
 
Yeah, kuna jamaa yangu miaka ya 2010 alikua anauza hadi milioni 500 kwa siku tena wilayani,, ila haikua faida, bali mapato ghafi
Kwa mapato ghafi sawa!!watu wanachanga kati ya mapato ghafi na faida ghafi
 
Zipo biashara nyingi sana zinazoweza kukuingizia kiasi hicho cha faida au hata zaidi. Fahamu tu kuwa biashara nyingi zenye mzunguko mkubwa faida yake huwa asilimia ndogo kwa hiyo zinahitaji mtaji mkubwa.

Fanya hivi, ili upate millioni 100 kwa siku kutoka riba za fixed account benki utahitaji uweke kiasi gani? Kima hicho cha uwekezaji kigawe mara tatu, jawabu lake ndio kiasi cha uwiano cha mtaji utakaohitaji kwa biashara itakayoingizia million 100 kwa siku.
 
Inaonekana waliochangia weng humu hawajui tofauti ya mauzo na faida.
Tuombe Mungu hii isiwe sample ya umbumbumbu wa kizazi hiki cha allucination!
Hiyo faida zungumzia kampuni za huduma[large tax payers] kama za mawasiliano au wazalishaji kama madini na si kwenye bazaar economy za kariakoo.
Labda kama tunajadiri biashara za sinaloa
 
😂😂😂😂Wapo wale wamama wanatokea iringa wakinga kama sijakosea tunashinda nao kariakoo kiukweli wanauza sana lakini si KWA M100 KWA masaa tena nguo, mkuu spare ni biashara nzuri sana na KWA faida uliyotaja naweza kukubaliana nawe ILA japo mtaji nao unabid uwe mkubwa mkubwa, ILA hili la nguo 😂😂😂 BADO nalitafakari
Kupata faida (net profit ) ya million 100 kwa siku, hapo ni lazima mauzo yako yawe milioni 600 hadi bilioni moja kwa siku

So kuna muuza nguo/spare anauza wastani wa milioni 800 kila siku? Ukizingatia competition ya Kariakoo?

Kumbuka hapa tunazungumzia net profit sio, gross profit
Yaani ushatoa mishahara, kodi ya serikali, kodi ya pango na overhead nyingine
 
Inaonekana waliochangia weng humu hawajui tofauti ya mauzo na faida.
Tuombe Mungu hii isiwe sample ya umbumbumbu wa kizazi hiki cha allucination!
Hiyo faida zungumzia kampuni za huduma[large tax payers] kama za mawasiliano au wazalishaji kama madini na si kwenye bazaar economy za kariakoo.
Labda kama tunajadiri biashara za sinaloa
Mwenyewe nimeshangaa sana, mwingine anasema eti kwa saa, wastani wa milioni 100 kwa saa (net profit)

Yaani huyo mtu anatakiwa awe anauza milioni 800 hadi bilioni ndani ya hilo lisaa ndio abakiwe na net profit ya million 100
 
Nina rafiki yangu alikuwa anafanya kazi Aboud bus service,alisema hivi

Walikuwa na mabasi 20 yote yalikuwa yanafanya rout za dar Moro kila siku na basi moja hufanya rout tatu kwa siku kabla ya torch kuanza.

Mabasi mengi yanalipa au kuingiza fedha nyingi kupitia mizigo wanayobeba kwenye buti,hats Kama basi likiondoka bila ya abiria lakini wao hasara hawapati.Hivyo kwa pesa uliyoizungumza watu wanaingiza kwa siku mpaka wiki

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kwa Abood inawezekana ila sio kwa siku, ni kampuni kubwa, hata makampuni kama Vodacom, ila sio maduka ya Kariakoo uingize wastani wa FAIDA ya milioni 100 kwa siku
 
Nendeni kwa mama wenga pale buguruni..uone Semi ngapi zinazopakia nondo,bati na cement kila siku kupeleka huko mikoani.

Watu kama kina Mo na Bakhresa hiyo pesa ni ndogo kuingiza kwa siku.

Waingizaji wa mbolea nchini na bidhaa mbalimbali za pembejeonnao wanakunja mkwanja mrefu sana .
 
Kupata faida (net profit ) ya million 100 kwa siku, hapo ni lazima mauzo yako yawe milioni 600 hadi bilioni moja kwa siku

So kuna muuza nguo/spare anauza wastani wa milioni 800 kila siku? Ukizingatia competition ya Kariakoo?

Kumbuka hapa tunazungumzia net profit sio, gross profit
Yaani ushatoa mishahara, kodi ya serikali, kodi ya pango na overhead nyingine
Sahihi kabisa mkuu, Ndo mana nikamwambia KWA hilo BADO haliniingii akilini.
 
Hizo biashara zipo ila ni wa chache sana sio hao mnao fikiria kkoo, mtu mwenye mtaji wa1.2bn ana weza kutegeneza hizo pesa kila baada ya siku 3 au 4.

Neenda Thailand anapakia container ya 40ft jeans za watoto na wavulana na gauni za wasichana kulijaza ni $120,000 ambao ni 260m shiping cost $4000, TRA clearance mwaka 2013 roughly 130m jumla, 390m unaleta 40fts nne mbili zina fika mbili ziko njiani kila 40ft unaiuza wanye maduka kakoo 415m bila kuifungua, kila moja faida ni 25m×4= 100k, hi biashara ipo na wajuzi wanazifanya tajiri hafunguwi duka kakoo hapana ni kumiliki yard na godowns.

Mkuuu kama 1.2bn unao njoo nikupe number za wenye viwanda vya nguoThailand, China usiende utakufa na pressure wanafanya duplication.
Ukiwa na chini ya hyo vipi mkuu
 
Hizo biashara zipo ila ni wa chache sana sio hao mnao fikiria kkoo, mtu mwenye mtaji wa1.2bn ana weza kutegeneza hizo pesa kila baada ya siku 3 au 4.

Neenda Thailand anapakia container ya 40ft jeans za watoto na wavulana na gauni za wasichana kulijaza ni $120,000 ambao ni 260m shiping cost $4000, TRA clearance mwaka 2013 roughly 130m jumla, 390m unaleta 40fts nne mbili zina fika mbili ziko njiani kila 40ft unaiuza wanye maduka kakoo 415m bila kuifungua, kila moja faida ni 25m×4= 100k, hi biashara ipo na wajuzi wanazifanya tajiri hafunguwi duka kakoo hapana ni kumiliki yard na godowns.

Mkuuu kama 1.2bn unao njoo nikupe number za wenye viwanda vya nguoThailand, China usiende utakufa na pressure wanafanya duplication.
Kwa hiyo hapo huo mchakato wote kufanya kwa siku moja?
 
Back
Top Bottom