Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Boss sector zinatofautiana. kwanz anabidi ujue kuna Mjasili amali, Mfanya biashara Na Muwekezaji... zote ni biashara lakini zinatofautiana Capital.

At least ili upate uhakika wa faida.weka scale 1:10 yani. mtaji 10,000 Faida 1000/=

Mtu anaepata faida ya million 100 kwa kwa mwezi ovios kaweka mpunga wa maana .
 
😂😂😂😂Wapo wale wamama wanatokea iringa wakinga kama sijakosea tunashinda nao kariakoo kiukweli wanauza sana lakini si KWA M100 KWA masaa tena nguo, mkuu spare ni biashara nzuri sana na KWA faida uliyotaja naweza kukubaliana nawe ILA japo mtaji nao unabid uwe mkubwa mkubwa, ILA hili la nguo 😂😂😂 BADO nalitafakari
saivi hamna wazo la biashara utapata ambalo halijawahi gundulika.....😂 biashara zimekua na ushindani mkubwa hasa hii miji mikubwa, unaiplan biashara unaona utatoboa, ukija kufanya sasa....😂
 
B
Yale maduka mazuri ya kkoo yanawachanganya sana naona. Wafanyabiashara wa kkoo pale wana siri nzito moyoni kwa jinsi wanavyopigwa na maisha, faida inakatwa kwa asilimia kubwa na kodi ya pango, plus mzigo unaeza usiishe ndani ya muda uliotegemea maana maduka mengi alaf wanunuzi wachache sikuhz
Mkuu asante sana, yaani kuna watu wakishasikia kariakoo huwa wanajua lazima huyo mtu anapata mafaida makubwa, kuna underground zina frame zipo wazi, kuna aunt yangu kafunga bei ya kodi, hawajaja TRA, sijui leseni, manispaa, at least hawa retail wananunua wanakuja kuuza sehemu zingine wana kwepa sana haya mambo ya kodi, biashara ipo lakini KWA hiyo M100 Ni stori za vijiweni wanahadithiana
 
Acha uongo wewe. Unaijua milioni 100 au unaisikia tu? Halafu unaijua milioni 100 kama faida? Kungekuwa na mabilionea wengi sana hapa Tanzania. Ina maana kwa mwaka faida ni bilioni 29 kitu ambacho hata makampuni makubwa ni ngumu sana kufikisha. Faida kwenye Jeans moja kwa bei ya jumla inachezea Tsh 2000 hadi 3000. Sasa jiulize auze jeans ngapi hadi hiyo 3000 iwe milioni 100 kwa siku.
upo sawa ila watu wanaoingiza wapo na wanajulikan ni wakimya ila sjp daily kama kawaida ni kwamba hawa ni wale wanaleta containers ambazo kama ni order tayar na wengi hawana maduka haya ya kuning'iniza ni watu wa warehouse kama wanavyoita chimbo.

Kwa pesa sio constantly kwa siku ila inaweza kutoka hata mara 10 kwa mwezi ikiwa na exceptionally ya risk mbalimbali hapa kariakoo kuna wana washapoteza containers kibao na wakala hasara na kufuatilia mambi ya bima means washatoka nje ya mchezo wa kupiga hela kwa kawaida.


Hawa jamaa wengi ni madon na wana wateja wakubwa mzigo unagizwa ukiwa na watu kamili ukifika basi tayar wanapewa ..Kingine wapo madon wanaagiza wakati container hii inaingia kesho kuna nyingine ipo njiani .

Ila sio kila Don anaagiza china hapo juu nimeeleza wanaoagiza ila hapa bongo kuna sehemu wanaprint fulana kibao feki feki ndo dili zao hao pia wanapiga dili na wapo kweny risk ndogo sana na hawako subjected kweny gharama za usafirishaji na ni wakwepa kodi wakubwa..




Kwa constantly kila siku 100 siwezi kujua maana biashara ina risk zake labda mwenye profits ya mil 200 kama target anaweza kupoteza sana kwa siku ndo akapiga mil 100.
 
upo sawa ila watu wanaoingiza wapo na wanajulikan ni wakimya ila sjp daily kama kawaida ni kwamba hawa ni wale wanaleta containers ambazo kama ni order tayar na wengi hawana maduka haya ya kuning'iniza ni watu wa warehouse kama wanavyoita chimbo.

Kwa pesa sio constantly kwa siku ila inaweza kutoka hata mara 10 kwa mwezi ikiwa na exceptionally ya risk mbalimbali hapa kariakoo kuna wana washapoteza containers kibao na wakala hasara na kufuatilia mambi ya bima means washatoka nje ya mchezo wa kupiga hela kwa kawaida.


Hawa jamaa wengi ni madon na wana wateja wakubwa mzigo unagiziwa ukiwa na watu kamili ukifika basi tayar wanapewa ..Kingine wapo madon wanaagiza wakati container hii inaingia kesho kuna nyingine ipo njiani .

Ila sio kila Don anaagiza chini hapo juu nimeeleza wanaoagiza ila hapa bongo kuna sehemu wanaprint fulana kibao feki feki ndo dili zao hao pia wanapiga dili na wapo kweny risk ndogo sana na hawako subjected kweny gharama za usafirishaji na ni wakwepa kodi wakubwa..




Kwa constantly kila siku 100 siwezi kujua maana biashara ina risk zake labda mwenye profits ya mil 200 kama target anaweza kupoteza sana kwa siku ndo akapiga mil 100.
Nakubaliana na wewe 100% kwamba wapo wanoaingiza faida hiyo ila sio wengi na sio kila siku. Faida ya milioni 100 kwa siku angalau mauzo yawe kama 500m kwa siku.
 
Nakubaliana na wewe 100% kwamba wapo wanoaingiza faida hiyo ila sio wengi na sio kila siku. Faida ya milioni 100 kwa siku angalau mauzo yawe kama 500m kwa siku.
kuna mchina tulikuwa tunamfanyia clearing ya mizigo yake hapa Dar port(TZDL) ukiangalia customs value ni pesa ndefu na hakauki ofisi mkiwa mnatoa hii kuna nyingine zipo njiani yaani balaa wanashika pesa ana anakuja rafu..


Uuzaji wa kariakoo kuna wana level ila wale wa juu kwa kweli wanashika pesa ndefu ni kwamba ule mzunguko wa pesa kwa siku kuna watu wapo juu kama upliners😂😂hawa kila mzigo wanatia mkono na wanamaliza order kabisa wanabaki wauzaji wa mwisho.
 
kuna mchina tulikuwa tunamfanyia clearing ya mizigo yake hapa Dar port(TZDL) ukiangalia customs value ni pesa ndefu na hakauki ofisi mkiwa mnatoa hii kuna nyingine zipo njiani yaani balaa wanashika pesa ana anakuja rafu..


Uuzaji wa kariakoo kuna wana level ila wale wa juu kwa kweli wanashika pesa ndefu ni kwamba ule mzunguko wa pesa kwa siku kuna watu wapo juu kama upliners😂😂hawa kila mzigo wanatia mkono na wanamaliza order kabisa wanabaki wauzaji wa mwisho.
Kariakoo kuna wababe. Kwa hizi nchi zetu ukitoa wababe wa Kariakoo hadi kuwakuta wababe wengine ni South Africa.
 
Yule mfanyabiashara aliyekuwa anaingiza 7m kwa dakika unamkumbuka?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wale wamama wanatokea iringa wakinga kama sijakosea tunashinda nao kariakoo kiukweli wanauza sana lakini si KWA M100 KWA masaa tena nguo, mkuu spare ni biashara nzuri sana na KWA faida uliyotaja naweza kukubaliana nawe ILA japo mtaji nao unabid uwe mkubwa mkubwa, ILA hili la nguo [emoji23][emoji23][emoji23] BADO nalitafakari
Hao wanayoiongelea kkoo wanaiongelea kwa hisia na maneno ya kuambiwa,ila kiuhalisia wako mbali na ukweli.

Biashara za kariakoo Zina Siri nyingi sana.
 
Back
Top Bottom