Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Hivi kweli kuna biashara ya kuingiza faida kuanzia milioni 100 na kuendelea kwa siku/wiki/mwezi?

Mo energy ya Mohamed Enterprises daily anauza chupa million moja.
1,000,000 × 600 = ?????🤔
sasa kwani huyo ni mtu binafsi mkuu, hiyo si kama ishakuwa taasisi sasa?
 
Kuna mmoja nilimpata kutoka humu alikua anata Tv za solar max sema zilikua nyingi kidogo nikwambia twende nikupeleke Kwa mchina moja Kwa moja store kwake tupate bei ya kitonga zaidi ili akienda kuuza apate faida zaidi jamaa tulivofika Kwa wachina alibaki anapasasa macho tu Kwa wingi wa Tv zilizokua store akaniuliza izi Tv si ana weza kuuza miaka miwili nikwambie rudi Tena baada ya miezi sita kama utakuta Kuna Tv ok kariakoo Milioni mia watu wanaigiza vizuri tu watu msipachukulie poa kariakoo watu Wana hela pale paoneni vile vile tu
 
Hakuna biashara inayoingiza faida kwa siku kila siku,kwa wiki kila wiki kwa mwezi kila mwezi.Petrol station inaweza kuingiza milioni mia kama faida k

Umeongea ukweli ndugu,ingekuwa kariakoo kunapatikana hizo pesa kirahisi wakina Manji wangejazana pale pas

Mo energy ya Mohamed Enterprises daily anauza chupa million moja.
1,000,000 × 600 = ?????🤔
Lakini sio faida sasa hapo toa running cost mzee utakuta faida ni 100 au chini ya hapo
 
Kumbuka huwezi kuingiza faida ya milioni 100 kwa muda ulosema kwa mtaji wa milioni mia mbili au hata milioni mia tatu au nne. Kwanza capital, pili aina ya biashara, tatu idadi ya wateja iwe large scale.
Nimeshuhudia kuna watu wanaingiza faida milioni mia tano kwa siku pale Kariakoo. Biashara ya simu za jumla wale ma agent waloingia ubia na viwanda vya simu China. Unakuta wafanyabiashara wote wanachukua mzigo kwake na kila Pisi moja unakuta faida elfu 5 tu na viswaswadu unakuta faida hadi buku tu. Sasa kwa siku anauza katoni nyingi sana za smartphone na viswaswadu brands zote itel, tecno, infinix, samsung n.k Na katoni moja mara nyingi ina simu 60pcs au 40pcs.
Hayo ni mauzo sio faida
 
Tatu mzuka.....hawajamaa nazan wanaingiza kwa sekunde jaribu huku mkuu kwa mtaji wa m20 tu
 
Tatu mzuka.....hawajamaa nazan wanaingiza kwa sekunde jaribu huku mkuu kwa mtaji wa m20 tu
 
Tatu mzuka.....hawajamaa nazan wanaingiza kwa sekunde jaribu huku mkuu kwa mtaji wa m20 tu
 
Milioni 100 kwa mwezi wapo wanao ingiza, mi naona sekta za ufugaji na kilimo ndiyo uhakika.
Nilitoa mchanganuo wa cow mtoa lita 30 kwa siku watu wakabisha.
 
Hakuna anaeingiza faida ya milion 100 ila wapo wanaokuwa na mauzo milion 100 kwa siku kkoo, kuna watu wana pesa nyie, kkoo kuna matajiri wana stoo hata 20 yaani ana floor nzima gorofani kaifanya stoo na anazo hizo stoo kama 20 magorofa tofauti tofauti hapo kkoo.

Au wale wachina wanaouza jumla wale wanaingiza matzo ya zaidi hata milion 100 kwa siku
 
Back
Top Bottom