Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Nadhani Tanzania bado ni darasa na shule kuu ya kipekee mno ya demokrasia barani Africa. Ni nchi pekee ya wananchi wasiozingatia ukabila, ukanda wala rangi ya mtu kwenye uchaguzi.

Shukrani za kipekee ni kwa Baba wa Taifa Mw.J.K Nyerere kutujengea kama Taifa, utamaduni, mila na desturi hii ya kutokubaguana kulingana na misingi isiyofaa, iliyotuepusha na ubaguzi wa aina zote na kuchochea utu, heshma, haki na usawa kwa binadamu wote...

Kama Taifa, hatuna budi kuitunza na kujivunia tunu hii muhimu sana, iliyokijita ndani ya mioyo ya waTanzania na inayotufanya kijilikana na kufahamika duniani kama kisiwa cha amani.

La muhimu ni AMANI na kwamba kasoro na dosari katika uchaguzi haziepukiki.

Mungu Ibariki Tanzania :whatBlink:
 
nadhani Tanzania bado ni darasa na shule kuu ya kipekee mno ya demokrasia barani Africa. Ni nchi pekee ya wananchi wasiozingatia ukabila, ukanda wala rangi ya mtu kwenye uchaguzi.

Shukrani za kipekee ni kwa Baba wa Taifa Mw.J.K Nyerere kutujengea kama Taifa, utamaduni, mila na desturi hii ya kutokubaguana kulingana na misingi isiyofaa, iliyotuepusha na ubaguzi wa aina zote na kuchochea utu, heshma, haki na usawa kwa binadamu wote...

Kama Taifa,
hatuna budi kuitunza na kujivunia tunu hii muhimu sana, iliyokijita ndani ya mioyo ya waTanzania na inayotufanya kijilikana na kufahamika duniani kama kisiwa cha mani...

La muhimu ni AMANI na kwamba kasoro na dosari katika uchaguzi haziepukiki..

Mungu Ibariki Tanzania :whatBlink:
Amani bila haki ni kujidanganya..tunataka katiba mpya
 
Mi nadhani Cha kujifunza ni kuwa jamii iliyo elimika haidanganyiki kirahisi hapa kwetu watu wamenyimwa elimu ndio maana wamegeuka chawa wakupigia kelele watawala
Ni vile TU hawasemi ila wa SA wengi wanataka DA irudi haraka madarakani sema ni vile wanavutavuta upepo kidogo
 
Amani bila haki ni kujidanganya..tunataka katiba mpya
ni vizuri kujipanga hasa na kua na consistency katika kupigania mambo muhimu, vinginevyo ikiwa leo unadai hile kesho jingine, utafika umechoka sana 🐒
 
nadhani Tanzania bado ni darasa na shule kuu ya kipekee mno ya demokrasia barani Africa. Ni nchi pekee ya wananchi wasiozingatia ukabila, ukanda wala rangi ya mtu kwenye uchaguzi.

Shukrani za kipekee ni kwa Baba wa Taifa Mw.J.K Nyerere kutujengea kama Taifa, utamaduni, mila na desturi hii ya kutokubaguana kulingana na misingi isiyofaa, iliyotuepusha na ubaguzi wa aina zote na kuchochea utu, heshma, haki na usawa kwa binadamu wote...

Kama Taifa,
hatuna budi kuitunza na kujivunia tunu hii muhimu sana, iliyokijita ndani ya mioyo ya waTanzania na inayotufanya kijilikana na kufahamika duniani kama kisiwa cha mani...

La muhimu ni AMANI na kwamba kasoro na dosari katika uchaguzi haziepukiki..

Mungu Ibariki Tanzania :whatBlink:
Hii ndiyo sisi wagogo tunaita defensive mechanism ya kijinga.CCM is a dead body.Shtuka wewe!
 
Imekuuma ANC kugaragazwa.
Waafrica kusini wanapiga kura kwa issues sio kwa kufuata chama hata kama kimeacha kubeba agenda za wananchi.

Pili hicho unachoita ukabila kunaleta uwakilishi wa haki kwa kufuata proportionality kila kundi katika jamii linakuwa limewakilishwa katika serikali au bungeni kwa uwiano.
 
Mi nadhani Cha kujifunza ni kuwa jamii iliyo elimika haidanganyiki kirahisi hapa kwetu watu wamenyimwa elimu ndio maana wamegeuka chawa wakupigia kelele watawala
Ni vile TU hawasemi ila wa SA wengi wanataka DA irudi haraka madarakani sema ni vile wanavutavuta upepo kidogo
uko sahihi ila ungwana ni zero...

inafaa ifanyike bidii ya ushawishi na kubadili mindset za wengi kua upande wako, kuliko kubeza anachoamini mwingine kwenye chama au taasisi yake....

mi naona, hii ya sijui habari nyumbu au sijui chawa ni useless kabisa, haisaidii wala kubadili kitu. Lazima kuwepo na content za maana za kumshawishi na kuvutia wengi 🐒

kwamba uungwe mkono wasababu ya uhodari wa kumuita mwingine chawa au nyumbu au kabila lako?🐒
 
Amani na Haki ni Chupa na kifuniko. Unategemea Amani idumu hutendi Haki? Basi Haki imeshindikana punguzia Waliokupa mamlaka (wananchi) mizigo mfano Kodi, Afya nafuu, Fursa sawa kiuchumi, (Na Ajira kama wakati wa JK. Yeye aliweza vipi?)
 
Back
Top Bottom