Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

Yaani hizo sio mishe za kusema mtu anaweza kujiajiri huko ,...

Online businesss iko overrated yaan ukifuatilia kiundani ,hakuna lolote ....

Tuendelee kulima tu
Freelancing ( kutoa huduma ), Youtube ( Vlogging ), blogging, Affiliate marketing na flipping ndio kazi ambazo unaweza kufanya mtandaoni.

Ila unahitaji muda, juhudi na uvumilivu sana kupata mafanikio.

Hizo siyo gambling. Ni kazi kama kazi nyingine tena zenye ushindani mkubwa na hivyo unahitaji kujituma na kuwekeza hasa.

Mtu akikupa kazi ya kuandika ebook ya page 150 let's kwa 1,000 USD hiyo siyo kazi rahisi hata kidogo, utakaa kwenye computer mpaka tako liwe kama la dereva wa roli🤣
 
Online pesa ipo ila Tz hatuna misingi ya kuwezesha hilo.

Mfano uandishi wa makala kwa webistes mbalimbali malipo yanaanzia dola 50 mpaka 1000 kutegemea na hadhi ya website na viwango walivyoweka vya makala utakayowawasilishia.

Webistes nyingine zinakulipa wakiikubali kazi yako. Zinakulipa kama kazi yako itakua miongoni mwa top articles za wiki na wanakulipa tena kama hiyo article itakua featured kwenye story.

Lakini ili wakubali makala yako sharti la kwanza ni lazima akaunti yako ya malipo iwe ya paypal kinyume na hapo hawapokei kazi.

Halafu Tz ndiyo bado hatuna mpango wa kuiwezesha paypal.
 
Online pesa ipo ila Tz hatuna misingi ya kuwezesha hilo.

Mfano uandisho wa makala kwa webistes mbalimbali malipo yanaanzia dola 50 mpaka 1000 kutegemea na hadhi ya website na viwango walivyoweka vya makala utakayowawasilishia.

Webistes nyingine zinakulipa wakiikubali kazi yako. Zinakulipa kama kazi yako itakua miongoni mwa top articles za wiki na wanakulipa tena kama hiyo article itakua featured kwenye story.

Lakini ili wakubali makala yako sharti la kwanza ni lazima akaunti yako ya malipo iwe ya paypal kinyume na hapo hawapokei kazi.

Halafu Tz ndiyo bado hatuna mpango wa kuiwezesha paypal.
Challenges bado ni nyingi na kibaya zaidi kuna mentality kwamba mitandaoni kuna pesa rahisi kitu ambacho siyo kweli na hivyo kuibuka kwa wimbi la matapeli.

Hata kwenye ecosystem ya online hustlers wa Tanzania bado kuna ubinafsi mwingi sana huku walio wengi wakiwa bado wanajitafuta.

Angalia Millard Ayo, ni mtu mwenye mafanikio makubwa sana kupitia YouTube.

Sasa sisi tunaigana sana, ubunifu hakuna. Contents zile zile.

Angalia hata Kenya hapo, wapo mpaka Travel Youtubers na wanajenga majumba kupitia Youtube wakati sisi bado tunatafuta views kwa kuzusha taarifa za vifo na kuhoji wasanii.
 
Challenges bado ni nyingi na kibaya zaidi kuna mentality kwamba mitandaoni kuna pesa rahisi kitu ambacho siyo kweli na hivyo kuibuka kwa wimbi la matapeli.

Hata kwenye ecosystem ya online hustlers wa Tanzania bado kuna ubinafsi mwingi sana huku walio wengi wakiwa bado wanajitafuta.

Angalia Millard Ayo, ni mtu mwenye mafanikio makubwa sana kupitia YouTube.

Sasa sisi tunaigana sana, ubunifu hakuna. Contents zile zile.

Angalia hata Kenya hapo, wapo mpaka Travel Youtubers na wanajenga majumba kupitia Youtube wakati sisi bado tunatafuta views kwa kuzusha taarifa za vifo na kuhoji wasanii.
Upo sahihi.

Naamini shida ya Tz ni viongozi wetu kuwa outdated na bunge kumezwa na wabunge wanaojua mipasho kuliko kubuni mbinu za kuwezesha vijana kunufaika na mitandao.

Wazia bungeni alishawahi kuwepo Sugu na Profesa, ni wasanii, so unaassume kwavile wanaupload vitu youtube basi wanajua changamoto za Youtube kwa Tz ila hawajawahi raise concerns.
Sasa hivi yupo Tale na FA ila na wao kwa hapa tulipofikia Tale kashajionyesha yeye ni mtu wa mipasho FA haonekani kama atakuja wasilisha such a topic.

Tz tupo nyuma.
 
Upo sahihi.

Naamini shida ya Tz ni viongozi wetu kuwa outdated na bunge kumezwa na wabunge wanaojua mipasho kuliko kubuni mbinu za kuwezesha vijana kunufaika na mitandao.

Wazia bungeni alishawahi kuwepo Sugu na Profesa, ni wasanii, so unaassume kwavile wanaupload vitu youtube basi wanajua changamoto za Youtube kwa Tz ila hawajawahi raise concerns.
Sasa hivi yupo Tale na FA ila na wao kwa hapa tulipofikia Tale kashajionyesha yeye ni mtu wa mipasho FA haonekani kama atakuja wasilisha such a topic.

Tz tupo nyuma.
Vijana wanatakiwa kusimama wenyewe kupush agenda zao.

Sasa hivi kila mtu anaangalia maslahi yake.

Kama vijana tena wasomi kabisa hawajitambui usitegemee hata wanasiasa wakawaheshimu.

Sasa hivi serikali inaheshimu bodaboda, machinga, mama ntilie na wasanii kuliko "graduates" kwasababu graduates hawana effects.

Hawajui wanachotaka.

Kama vijana wangekuwa na agenda za pamoja, ingekuwa rahisi tu kusikilizwa. Tatizo hawana agenda, wanawekwa nyuma ya agenda zenye maslahi ya watu wengine
 
Vijana wanatakiwa kusimama wenyewe kupush agenda zao.

Sasa hivi kila mtu anaangalia maslahi yake.

Kama vijana tena wasomi kabisa hawajitambui usitegemee hata wanasiasa wakawaheshimu.
Mzee hujakutana na mhitimu wa degree hata hajui kutumia kompyuta? Mtu wa hivyo ukimwambia maswala ya paypal hawezi elewa zilianzishwa petition nyingi online za kuishtua serikali iruhusu paypal lakini watia saini walikua wa kuhesabu.

Sasa hivi unakutana na screenshot ya watu zaidi ya 1000 wametia saini Diamond aende BET na zaidi ya 1000 wengine wametia saini aisende BET nina hakika miongoni mwao kuna wahitimu.
 
Kama unamtaji wa kutosha ama una mategemeo ya kupata ajira hivi karibuni chagua kazi. Ila kama huna kitu usichague cha kufanya fanya kitu chochote cha halali ambacho kinatoa pesa.

Mtu huna cha kupoteza, huna pesa why unaogopa?? Mimi hiyo hiyo forex na betting ndio nilikuwa nafanya wakati sina mtaji maana ndio sehemu za kupata au kupoteza pesa fasta fasta. Hizo sijui Apwork mpaka utafute kazi mtu akupe sio leo wala kesho.

Siwezi sema ni bahati ilianguka upande wangu nikapata mtaji hapana maana nilikuwa natumia akili na pesa niliwekeza ndio nikapata kitu. OOh mwingine atasema forex ni gambling yeah nikama gambling lakini sina kitu nifanye nini kama tuu kazi ya 150k unazunguka dar nzima hupati na unadegree ufanye nini.

Kwenye hizi kazi za kawaida napo nipagumu sana labda uwe na ujuzi mfano ufundi simu au tajiri akupe chombo uendeshe ,hata ukondakta uliouandika hapo kupata sio rahisi mpaka uwe na connection tena kali na dereva bila hivyo utaambulia manyoya

Mimi nina store ya nafaka kila kwenye kilo moja ya mchele faida ina range 200-300 ili uone faida lazima uuze kilo nyingi nyingi sana nahapo kodi ya fremu,tra tfda ,halmashauri,umeme ,zima moto ,mlinzi vyote vitoke humo . Bado kodi ya mimi niliko panga + usafiri ukipiga mahesabu unajikuta unafanyia tumbo.

Hao wanaopenda kukaa ofisini na kusubiri mishahara sio wajinga asee. Nikaona bora niongeze wigo wa biashara nilime mazao mfano maharage mimi mwenyewe niwe nakuja kuyauza, juzi tu hapa ndio nimetoka kuvuna msimu wa pili mfululizo naambulia hasara.

20210617_095651.jpg
 
mbona umejeneralize sana kamanda, mimi ni mmoja wa hao waliojenga kwa 'freelancing', sisemi kwamba ni njia 'rahisi' ya 'kupiga pesa' ila ndio nimejenga na nilianza rasmi 2017

ps: sio jumba kama la Bakhresa
Tatizi vijana wengi wakisikia online business wanajua ni mtelemko ..

Kuandika article na kufanya "freelancing " sio kazi wanazopendelea kufanya online ...
 
Kama unamtaji wa kutosha ama una mategemeo ya kupata ajira hivi karibuni chagua kazi. Ila kama huna kitu usichague cha kufanya fanya kitu chochote cha halali ambacho kinatoa pesa.
Mtu huna cha kupoteza, huna pesa why unaogopa?? Mimi hiyo hiyo forex na betting ndio nilikuwa nafanya wakati sina mtaji maana ndio sehemu za kupata au kupoteza pesa fasta fasta. Hizo sijui Apwork mpaka utafute kazi mtu akupe sio leo wala kesho.

Siwezi sema ni bahati ilianguka upande wangu nikapata mtaji hapana maana nilikuwa natumia akili na pesa niliwekeza ndio nikapata kitu. OOh mwingine atasema forex ni gambling yeah nikama gambling lakini sina kitu nifanye nini kama tuu kazi ya 150k unazunguka dar nzima hupati na unadegree ufanye nini.

Kwenye hizi kazi za kawaida napo nipagumu sana labda uwe na ujuzi mfano ufundi simu au tajiri akupe chombo uendeshe ,hata ukondakta uliouandika hapo kupata sio rahisi mpaka uwe na connection tena kali na dereva bila hivyo utaambulia manyoya

Mimi nina store ya nafaka kila kwenye kilo moja ya mchele faida ina range 200-300 ili uone faida lazima uuze kilo nyingi nyingi sana nahapo kodi ya fremu,tra tfda ,halmashauri,umeme ,zima moto ,mlinzi vyote vitoke humo . Bado kodi ya mimi niliko panga + usafiri ukipiga mahesabu unajikuta unafanyia tumbo.

Hao wanaopenda kukaa ofisini na kusubiri mishahara sio wajinga asee. Nikaona bora niongeze wigo wa biashara nilime mazao mfano maharage mimi mwenyewe niwe nakuja kuyauza, juzi tu hapa ndio nimetoka kuvuna msimu wa pili mfululizo naambulia hasara.

View attachment 1821683
Hongera mkuu, hakika una moyo wa kupambana ..
 
Back
Top Bottom