Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

Kuajiriwa tena kwenye hii mifumo rasmi kuna raha yake, hata ukilipwa laki 6 unakuta unaamani ya moyo. Lakini ujasiliamali unahitaji roho ngumu. Unaweza kuta biashara inatengeneza faida kwa miaka mitatu mfululizo lakini boss anakonda wafanyakazi wananenepa, Biashara inarisk kibao nazote zinamuelekea boss.
Hahahah kwenye ujasiliamali wewe mmiliki ndio mbeba dhamana biashara ikikata inakukata wewe wafanyakazi wanaendelea kumenya tu 😂😂😂
 
Ni website flan unajiunga ,unapata hela kupitia njia hizi

Kuview video zao

Kuunganisha wenzako

Kujibu baadhi ya short quiz wanazokupa

Mengine mimi sijafuatilia koz niliona ni kupoteza muda ..

Kujoin ni 16 k View attachment 1821913
Kuna mwana naona anapost post toka jana nikagusa ikaja form ya kujaza nika cancel maana hata sikuwa naelewa inahusiana na nini
 
Ila yote kwa yote hakuna online business ambayo inamwaga pesa kama forex haipo na haito kuja kuwepo. Na kupoteza pesa napo ni hivyo hivyo.
Winning chance ya kuwin kwenye forex ni kubwa kuliko kwenye betting maana yenyewe kuna buy and sell mean p=0.5
Tukija kwenye betting anaeweka gemu mmoja tu kwenye mkeka hapo kuna 3 outcome win loss,draw.
Soo hata mkeka wako uwe na gemu mmoja bado anae trade forex anachance kubwa ya kushinda kuliko aliebet
 
Mkuu network marketing nyingi ni utapeli, hasa hizi scam website za Wakenya sijui smarthela, Eazycash, Premium n.k mi hizo mtu akinitumia link nafuta.

Shughuli za online kama Freelancer zinalipa, mfano site kama Fiverr, Upwork, PeoplePerHour, Guru, Freelancer .com n.k mi mwenyewe nilisoma thread humu kuhusu Freelancer, nikajifunze skills tofauti sahivi natengeneza mkwanja kidogo nikiwa Gheto bado Nipo chuo, alafu uzuri wa Freelancer Kuna baadhi ya kazi ukifanya vizuri buyer anakuwa ananunua Service kwako tu, sometime anakupa mkataba wa kudumu, mfano Kuna kazi fulani ya Facebook client nilifanya kazi yake kwa consideration ya $30 lakini kaniongezea dollar 10 bure pia amenunua service yangu tena, watu wa Fiverr nadhan mnanielewa hapa.

Kikubwa jifunze skills tofauti tofauti, mfano Mimi nasoma sheria hapa chuo hila Fiverr, nafanya Tech related gig & Digital Marketing japo sijasomea hivyo vitu.
 
Hela online zipo kibao ila unahitaji mda kujifunza ujuzi minimum 3 years

Mm nauza kuku
Nauza mafuta ya alizeti

Mwisho kabisa nauza na kununua hisa za makampuni ya USA huku ndo nimeweka hela yangu yote 80%.

Msingi mubwa wa mafanikio ni be optimistic.
"I never met successful pessimistic person"-Bill O'Neil.

" I would rather be wrong and optimistic ,than be right pessimistic "-Elon Musk.
Nileeteeeen optimistic
Nileeteeeen optimistic
Nileeteeeen optimistic
IMG_20210610_152206.jpg
 
Kama unamtaji wa kutosha ama una mategemeo ya kupata ajira hivi karibuni chagua kazi. Ila kama huna kitu usichague cha kufanya fanya kitu chochote cha halali ambacho kinatoa pesa.
Mtu huna cha kupoteza, huna pesa why unaogopa?? Mimi hiyo hiyo forex na betting ndio nilikuwa nafanya wakati sina mtaji maana ndio sehemu za kupata au kupoteza pesa fasta fasta. Hizo sijui Apwork mpaka utafute kazi mtu akupe sio leo wala kesho.

Siwezi sema ni bahati ilianguka upande wangu nikapata mtaji hapana maana nilikuwa natumia akili na pesa niliwekeza ndio nikapata kitu. OOh mwingine atasema forex ni gambling yeah nikama gambling lakini sina kitu nifanye nini kama tuu kazi ya 150k unazunguka dar nzima hupati na unadegree ufanye nini.

Kwenye hizi kazi za kawaida napo nipagumu sana labda uwe na ujuzi mfano ufundi simu au tajiri akupe chombo uendeshe ,hata ukondakta uliouandika hapo kupata sio rahisi mpaka uwe na connection tena kali na dereva bila hivyo utaambulia manyoya

Mimi nina store ya nafaka kila kwenye kilo moja ya mchele faida ina range 200-300 ili uone faida lazima uuze kilo nyingi nyingi sana nahapo kodi ya fremu,tra tfda ,halmashauri,umeme ,zima moto ,mlinzi vyote vitoke humo . Bado kodi ya mimi niliko panga + usafiri ukipiga mahesabu unajikuta unafanyia tumbo.

Hao wanaopenda kukaa ofisini na kusubiri mishahara sio wajinga asee. Nikaona bora niongeze wigo wa biashara nilime mazao mfano maharage mimi mwenyewe niwe nakuja kuyauza, juzi tu hapa ndio nimetoka kuvuna msimu wa pili mfululizo naambulia hasara.

View attachment 1821683
Life is so sucking,,,but let us dont give up
 
Hela mtandaon zpo,,,ila kuzipata ndo kisanga. Kuna jamaa yangu ana Subaru namba DSM kanunua kwa hela za blogging. Hela za mtandaoni sio za kirahisi rahisi wazee!!!!

Mtandaoni kuna pesa, BUT
Mtandaoni hakuna pesa rahisi.
 
Freelancing kama
Fiverr, upwork,
YouTube channel>>/monetization/adsense .
Affiliate marketing.
Hizo hapo juu ni realistic

Forex uwe tapeli -ujfanye wewe ni instructor unawafundisha watu
Unaanda vijisemina, online courses etc.
Betting- 90% starehe- sio biashara - sio ajira.
 
Kama unamtaji wa kutosha ama una mategemeo ya kupata ajira hivi karibuni chagua kazi. Ila kama huna kitu usichague cha kufanya fanya kitu chochote cha halali ambacho kinatoa pesa.
Mtu huna cha kupoteza, huna pesa why unaogopa?? Mimi hiyo hiyo forex na betting ndio nilikuwa nafanya wakati sina mtaji maana ndio sehemu za kupata au kupoteza pesa fasta fasta. Hizo sijui Apwork mpaka utafute kazi mtu akupe sio leo wala kesho.

Siwezi sema ni bahati ilianguka upande wangu nikapata mtaji hapana maana nilikuwa natumia akili na pesa niliwekeza ndio nikapata kitu. OOh mwingine atasema forex ni gambling yeah nikama gambling lakini sina kitu nifanye nini kama tuu kazi ya 150k unazunguka dar nzima hupati na unadegree ufanye nini.

Kwenye hizi kazi za kawaida napo nipagumu sana labda uwe na ujuzi mfano ufundi simu au tajiri akupe chombo uendeshe ,hata ukondakta uliouandika hapo kupata sio rahisi mpaka uwe na connection tena kali na dereva bila hivyo utaambulia manyoya

Mimi nina store ya nafaka kila kwenye kilo moja ya mchele faida ina range 200-300 ili uone faida lazima uuze kilo nyingi nyingi sana nahapo kodi ya fremu,tra tfda ,halmashauri,umeme ,zima moto ,mlinzi vyote vitoke humo . Bado kodi ya mimi niliko panga + usafiri ukipiga mahesabu unajikuta unafanyia tumbo.

Hao wanaopenda kukaa ofisini na kusubiri mishahara sio wajinga asee. Nikaona bora niongeze wigo wa biashara nilime mazao mfano maharage mimi mwenyewe niwe nakuja kuyauza, juzi tu hapa ndio nimetoka kuvuna msimu wa pili mfululizo naambulia hasara.

View attachment 1821683
Unayoyasema ni kweli mkuu, kila jambk na changamoto zake lukuki.

Endelea kupambana, mafanjkio yapo mbele!!
 
Online pesa ipo ila Tz hatuna misingi ya kuwezesha hilo.

Mfano uandishi wa makala kwa webistes mbalimbali malipo yanaanzia dola 50 mpaka 1000 kutegemea na hadhi ya website na viwango walivyoweka vya makala utakayowawasilishia.

Webistes nyingine zinakulipa wakiikubali kazi yako. Zinakulipa kama kazi yako itakua miongoni mwa top articles za wiki na wanakulipa tena kama hiyo article itakua featured kwenye story.

Lakini ili wakubali makala yako sharti la kwanza ni lazima akaunti yako ya malipo iwe ya paypal kinyume na hapo hawapokei kazi.

Halafu Tz ndiyo bado hatuna mpango wa kuiwezesha paypal.
Wazee pale BOT wanaiona paypal kama scam flanj hivi sijui kwanini Tz tunakuwa nyuma kwenye fursa internationally?
 
Na mtazamo tofauti kidogo na wewe,binafsi na deal na fx pamoja na index.
Kama vile biashara nyingine zilivyo LOSS ni kitu cha kawaida ila kikubwa unahitaji kuinvest kwenye knowledge sana ili kuminimize loss na kuongeza profit.
Sio kitu ya kujifunza usiku mmoja kesho uamke kama ref wayne it takes time and a lot of effort.
Mkuu muache unahangaika Nini. Ameamua kudandia gari mbele ama jump the gun.
Hajafanya his due diligence akajiridhisha.
Nashukuru umeongea vizuri mie nimekuelewa vizuri Sana. Na ulivyoongea unaamanisha kweli Ila yeye hawezi kuelewa.
Maisha ni kuchagua Mana pia tunatofautiana.some see big picture some see details,some are lateral thinker so while others are linear thinker
 
Ofisini pana raha yake bana hata kama unalipwa laki 7 tu take home! Hio pesa kuitafutia mtaani ukiwa huna hata sh.10 mfukoni jasho la maana litakutoka nusu ya kufa😂😂ndio maana hata wanasiasa na viongozi wanapambana watoto wao wapachikwe katika hio mifumo ya ofisini!
Mtaani kumake hela kihalali si mchezo,mchezo!!
 
Back
Top Bottom