Ahsante mkuu, nilikuwa nafikir ni specific content, mm ni Youtuber na youtube ina ela mno, lakin sio Kazi ndogo,inaitaj uwekezejaj wa muda, nguvu na ela, Kazi yangu ni Youtube,nalipa kodi nakula navaa sina shughuli nyingine zaidi ya Youtube na Blogging, uyo anaesem Online we specifi ni online gan anayosema maana online kuna Vijiwe vingi sana, kama aliingia kijiwe cha wanywa kahawa ambao wanastory za uongo lazima aseme online hamna ela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ujumla wake kufanya Youtube inaitwa Vlogging kwa maana ya kutengeneza videos na kuweka YouTube
Wengi wanaosema online hakuna pesa ni wale wanaotegemea kupata pesa kwa kubofya tu na kushare scams mtandaoni.Ahsante mkuu, nilikuwa nafikir ni specific content, mm ni Youtuber na youtube ina ela mno, lakin sio Kazi ndogo,inaitaj uwekezejaj wa muda, nguvu na ela, Kazi yangu ni Youtube,nalipa kodi nakula navaa sina shughuli nyingine zaidi ya Youtube na Blogging, uyo anaesem Online we specifi ni online gan anayosema maana online kuna Vijiwe vingi sana, kama aliingia kijiwe cha wanywa kahawa ambao wanastory za uongo lazima aseme online hamna ela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kazi kama kazi zingineWengi wanaosema online hakuna pesa ni wale wanaotegemea kupata pesa kwa kubofya tu na kushare scams mtandaoni.
Siyo kila kazi au business inayofanyika online lazima kila mtu aiweze/aifanye. Kila mtu afanye anachoona anaweza. Kuna options nyingi sana za kufanya na kupata fedha online tatizo tutataka kuforce kufanya mambo ambayo siyo interest/hobby/profession yetu kisa tu umesikia kuna hela. Na hii siyo tu kwenye online business hata mtaani wengi biashara wanafanya kwa kuiga au kukurupuka kisa kasikia hiyo biashra inalipa (matikiti maji, kuku, nguruwe, mayai ya kwale etc). Hakuna hela rahisi kuipata online au mtaani ni lazima ufanye kazi kwa kujituma kama zilivyokazi nyingine.Wengi wanaosema online hakuna pesa ni wale wanaotegemea kupata pesa kwa kubofya tu na kushare scams mtandaoni.
Video Blogging. Badala ya kuandika makala kuhusu kitu fulani unatengeneza makala fupi ya videoNaombeniUafanuzi nini maana Ya Vloging
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ofisini pana raha yake bana hata kama unalipwa laki 7 tu take home! Hio pesa kuitafutia mtaani ukiwa huna hata sh.10 mfukoni jasho la maana litakutoka nusu ya kufa[emoji23][emoji23]ndio maana hata wanasiasa na viongozi wanapambana watoto wao wapachikwe katika hio mifumo ya ofisini!
Mkuu fanya unaloweza kama wewe huwezi jambo wapo wanaoweza. Huwa sipendi watu wanao generalize mambo kwa sababu tu yeye kashindwa basi ana assume dunia nzima hakuna anayeweza. Kila jambo hapa duniani liwe zuri au baya wapo wanaweza kulifanya na wakafaidika na pia wapo wasioweza. Tafuta unachoweza kufanya kama online business zimekushinda waachie wanaoweza wapambane.Habari wakuu
Maisha kwa sasa yanaenda kasi sana, Sisi vijana katika harakati za kutafuta pesa tunakutana na changamoto nyingi sana ,sasa kuna hii njia inaitwa "kupiga hela online ,ukiwa na simu yako na bando " Mimi nimeshafanya uchunguzi sana online businesses wanazosema ni zipi hizo au ni hizi ...
Cryptocurrency (sarafu za kidigitali)..
Forex ..
Betting ..
Nyingine ni network marketing ,huku utakutana na website zinatokea na kucollapse watu wanapigwa hela ,ila kutwa status kupost eti wanapiga hela eg ,pamafund ,smarthela ,global alliance ,qnet ,forever living ....
Kuna mengine mengi yanaibuka na kutoweka kwa kweli mpaka nabaki mdomo wazi na watu wanaweka hela huko ,wanapigwa ,ila ni full kujipa moyo et wanapiga hela ,wanasema wanapiga hela wakiwa wamelala kitandani ....
Hawa watu wa online wanawaona wauza mihogo ,machinga ,wauza migahawa ,wauza matunda ,chips ,washona viatu ,wapiga debe ,....hao wote wanawaona kama hawana akili ya kutafuta hela ,ila wao ndio wanajua hahaaaaaa....
Kusema kweli kama online business watu wanazosema ndio hizo hapo juu ,sina budi kusema kuwa ,watu wanaofanya hayo mavitu ni wavivu wa kufikili na "HAWATAKUJA KUFANIKIWA MPAKA MWISHO WA DUNIA"...
Yaani wanapigwa pesa mpaka akili ziwakae sawa, ..
Hakuna pesa za bure online, Fanya kazi kwa bidii, jitume, ndio njia ya kupata pesa ..
Forex ingekuwa biashara, serikali ingechukua $100,000 ikawaintrade na kutengeneza pesa ,...
Sarafu za kidigital zingekuwaa deal, hakuna tajiri ambaye angepoteza pesa kufungua kiwanda ,kulipa wafanya kazi, kodi, aridhi, na mabilion ya pesa wakati angeweza kununua hizo sarafu ..
Mh Raisi naamini atashauriwa vizur kuhusu hizo sarafu ..
Vijana tokeni nje, mkafanye kazi, ardhi ipo, mashamba yapo, mbegu zipo, hizo smart phone zinawadanganya, hakuna pesa utaingiza umelala kitandani ....
Uzi tayari
Online hakuna hela wewe ,mbona unataka kutuaminisha kuwa watu wanapiga helaa sanaaMkuu fanya unaloweza kama wewe huwezi jambo wapo wanaoweza. Huwa sipendi watu wanao generalize mambo kwa sababu tu yeye kashindwa basi ana assume dunia nzima hakuna anayeweza. Kila jambo hapa duniani liwe zuri au baya wapo wanaweza kulifanya na wakafaidika na pia wapo wasioweza. Tafuta unachoweza kufanya kama online business zimekushinda waachie wanaoweza wapambane.
Kwa hiyo wewe unajaji business kwa kusikia tu kwa watu wengine? Ndio maana biashara nyingi zinafail kwa sababu hazina msingi mzuri. Watu wanaanzisha biashara kwa hearsay za watu wengine siyo kwamba wafanya research/survey wakajua kwamba kweli hiki kitu kina faida. Kwa mentality za namna hii kamwe kupigwa kutaendelea tu iwe online au manualine.Yaaah kama ni hizi ,basi hela ipo ....
But mimi nafuatilia rafiki zangu wote kutwa status wanajimwambafi wanafanya online business ....
Fuatilia sasa uone ,utasikia forex,smart hela ,pamafund ....
Daa unabaki unashangaa ....
Kwani wewe kuna mtu amekulazimisha kuamini kwamba online kuna Hela? Fanya unaloweza mkuu usitake kuwaamulia watu wengine waishi vipi hapa mjini afterall kila mtu anabeba msalaba wake.Online hakuna hela wewe ,mbona unataka kutuaminisha kuwa watu wanapiga helaa sanaa
Kinachowatafuna wengi leo n Lack of InformationYouTube nayo watu walidharau leo hii wakiwaona wakina milard ayo walipofikia wanajutia.
Hizo affiliate pia utashangaa baadaye ndo watu wanashtuka then itakuwa too late.
Bitcoin humu JF ilianza kuongelewa ikiwa hata haijafika dollar 100 leo hii ipo dollar 36000. Utasikia ni scam or utapeli.
Wanawadharau wanaofanya forex kwa kuwa wao walipata hasara wanadhani watu wote wanapata hasara.
Wanataka Kila mtu alime vitunguu, afungue Banda la chipsi, aendeshe boda nk. Dunia inakuwa lazima kuwe na diversites.
Wenzetu unakuta dogo wa miaka 7 anaingiza milions kwa kucheza games YouTube. Mtu akiingia kwenye mtandao anaingiza pesa tu. Huku bongo asilimia nyingi tunatumia mitandao kuangalia udaku insta.
Unakuta mtu ni daktari, lawyer, engineer lakini Ana channel yake YouTube anafanya vlogging kama part time or anacreate educational contents. Wengine wanaimba wanafanya covers za nyimbo na wanapata extra income. Wengine wanapromote bidhaa mbalimbali instagram. Wanatumia mitandao productively.
Huku sisi tunafatilia udaku tu, habari za kina uwoya unakuta mtu amefollow wasanii tu home page nzima wakati huo wasanii wanatumia page zao kuingiza pesa, kujitangaza, wanafanya matangazo wanaingiza pesa. Wewe unabaki kusema hakuna pesa online.
Taja online busines tofauti na nilizotaja hapo juu ....
Mkuu tafadhari naomba unitajia hizo online business tofauti na hayo makundi nimeyoweka hapo juuu ...
Online kuna pesa sehemu tofauti tofauti sana. Asilimia 95 ya pesa nilizowahi kupata mimi basi nilizitoa online.
Online kuna category mbali za kufanya
Kuna kutoa huduma
Kuna kuuza bidhaa.
Unasema huamini online kuna pesa na wakati kila siku unamwona Diamond anajisifu kufikisha viewers milion 1?
Hizo ulizotaja kuna watu wametajilika hapo.
Mfano hiyo ya Sarafu za kidigitali
Mwaka 2018 ilikuwa kama laki 3(Bitcoin 1) hivi ya kibongo.
Kuna watu walikuwa nazo kama 4 hivi.
2021 Bitcoin imefikia Usd 47,000+ zaidi ya milion 120Tsh.
Kwenye kelele za sijui tunapiga hela online ni tabia tu ya wabongo.
Yaani kama alipata laki moja basi inakuwa story ya miaka miwili kwamba tunapiga hela na mbwembwe kama hizo.
Siku wakipoteza kwenye hizo mambo zao hawasemi kwamba hii bizz za online kuna lisk ya kupoteza pia.
Kwahiyo kelele zinazokuwa zaidi ni hizi za tunapiga hela achaa.
Pesa online zipo nyingi. Cha msingi elewe zipo sehemu gani?
Kwa kufanya nini?
Nipe mchongo unauza niniMimi nauza bizaa ebay na forex trade maisha yana kwenda
Hiyo kauli yako ya mwisho inaonyesha bado upo gizani.....pole sanaNilikutana na mshikaji mmoja kazini akaniletea hizi stori. Ati Kaka yake anafanya onlone forex. Kwamba nikimpa milioni 3, nitakuwa napewa faida ya laki 5 kila mwezi na nitakapoamua kuchukua mtaji wangu nitapewa muda wowote. Akaongeza kwa kusema hata Mke wake kaacha kazi maana anaingiza karibu mil 1 kila mwezi so kaona vikazi vya lako tatu anajichosha tu.
Nikamwangalia mtu mwenyewe anayenishawishi na hali yake ya maisha nikampotezea. Baada ya miezi kama mitatu akanijia nimuuzie gari yangu ati kaipenda. Tukakubaliana bei. Aisee kumbe jamaa tapeli tu hana iasue ya maana mjini. Pesa iliyobaki kwenye mayzo ya gari 1.5M alinizungusha mwaka mzima.
Hizo online bussness ni kazi za wavivu.
Inawezekana kweli maana kwa mazingira niliyopo sioni watu smart wana dili na mambo hayo.Hiyo kauli yako ya mwisho inaonyesha bado upo gizani.....pole sana