Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Hivi ni kweli timu ya taifa ya mpira wa kikapu(basketball) ya walemavu jezi zao zimeandikwa na maker pen hamuoni mnaaibisha taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TFF? Daah vilaza hawajaisha aiseeHatari sana TFF wako bize na Yanga
Kwani TFF wanahusika na mpira wa kikapu ?Hatari sana TFF wako bize na Yanga
Mistaken mkuu i mean Baraza la michezo taifaTFF? Daah vilaza hawajaisha aisee
Mistaken mkuu i mean Baraza la michezo taifa
Kwani TFF wanahusika na mpira wa kikapu ?
Kwani ukikubali tu ya kwamba ulikurupuka/ ulipuyanga/ ulichochoa! Utapungukiwa nini mkurugenzi!!!Mistaken mkuu i mean Baraza la michezo taifa
Hahaha nimekubali mkuu 🙂🙂Kwani ukikubali tu ya kwamba ulikurupuka/ ulipuyanga/ ulichochoa! Utapungukiwa nini mkurugenzi!!!
Umeonae TFF na Basketball wapi na wapi.TFF? Daah vilaza hawajaisha aisee