Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Katiba inawalinda so wanafanya wapendavyo maana hawatashitakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi lipi lenye uthubutu wa kufanya hivyo? Hukuona mkuu wao aliyepita alivyojipendekeza kwa mteuzi mpya hadi kutaka kutamka ya sirini huku akigusia kuhusu "kimemo" kwenye kadamnasi?Ni jeshi tu ndilo litatukomboa kutoka katika mikono ya hawa mashetani
Wapo kwenye Mbuga gani kwa sasa?HAWA WATU NI WANYAMA
Labda anazungumzia Jeshi la Wokovu au lile Jeshi la Wanawake maana kashazoea kusikia wakisema 'Wanawake Jeshi Kubwa'Jeshi lipi lenye uthubutu wa kufanya hivyo? Hukuona mkuu wao aliyepita alivyojipendekeza kwa mteuzi mpya hadi kutaka kutamka ya sirini huku akigusia kuhusu "kimemo"?
Wanajeshi wanapewa ubaloz sahau hilooo....plus RCs and DCsNi jeshi tu ndilo litatukomboa kutoka katika mikono ya hawa mashetani
Jeshi lipo karamuni na mfalmeNi jeshi tu ndilo litatukomboa kutoka katika mikono ya hawa mashetani
Makamanda wanatembea na ilani za chama mikononi. Wakistaafu wapeteuzi kwenye Bodi, ubalozi na kwenye mashirika.Ni jeshi tu ndilo litatukomboa kutoka katika mikono ya hawa mashetani
Jeshi lipo bize kukusanya magwanda wakati rasilimali za nchi zinaibiwa. JWTZ wajifunze kwa kijana Ibrahim kule magharibi ya Afrika.Ni jeshi tu ndilo litatukomboa kutoka katika mikono ya hawa mashetani
Yeah nimekosea?Hizo figures kwenye USD sidhani kama ni sahihi, au ulimaanisha 500M USD?
Ni familia ya manyani hioVilio Loliondo ni mwendelezo wa kulinda maslahi ya familia ya Mwinyi.!mwaka 1992 Mwinyi mkubwa aliuza Loliondo kwa Waarabu kupitia kampuni ya OBC.Mrithi wa hisa ni Rais wa sasa wa Zanzibar Hussein Mwinyi.Kaendeleza ya baba ndio maana kauza bandari ya Malindi na kupewa his...
Kwa hiyo wajeda hupozwa kwa teuzi tu na wakapoa ?Wanajeshi wanapewa ubaloz sahau hilooo....plus RCs and DCs
MUULIZE STOWAYWapo kwenye Mbuga gani kwa sasa?
Na mtoto ana kipande chake huko cha kilomita za mraba elfu 60.Vilio Loliondo ni mwendelezo wa kulinda maslahi ya familia ya Mwinyi.!mwaka 1992 Mwinyi mkubwa aliuza Loliondo kwa Waarabu kupitia kampuni ya OBC.Mrithi wa hisa ni Rais wa sasa wa Zanzibar Hussein Mwinyi.Kaendeleza ya baba ndio maana kauza bandari ya Malindi na kupewa hisa
NB:
Wamarekani wana kitu kinaitwa classified information yaani taarifa fulani kwa watu fulani kwa kipindi fulani.. Hawana kitu kinaitwa TOP SECRET! Kwakuwa binadamu hawakuumbwa kutunza siri na hakuna siri ya watu zaidi ya mmoja
Kwahiyo kwa wamarekani ikipita kipindi fulani jambo fulani ambalo kwa wakati wake lilijulikana kwa wachache huachiwa lijulikane kwa jamii ili kulifisha mazima!
Hayati rais mstaafu Benjamin W. Mkapa aliiga staili hii ya Wamarekani kwenye kitabu cha historia ya maisha yake pale alipokiri CCM kuiba USD 500 million kwa ajili ya uchaguzi mkuu nadhani wa 2005!
Suala la kuuzwa kwa Loliondo bado linaiandama familia ya rais mstaafu mzee Ally Hasani Mwinyi ambapo biashara hiyo ilifanyika wakati akiwa rais na iligharimu roho za watu akiwepo mwandishi wa habari mmoja maarufu
Ukimya wa hii familia juu ya hili jambo utazidisha minong'ono mingi zaidi.. Ni wakati wa kuvunja ukimya sasa.. Ili jamii ijue ninini kwa hakika kilitokea na mambo yaishe!View attachment 2731687