Hapo hawajaja wale 'fast track" sijui ni mawakala wao wale ......huwa hawapangi foleni na wakikaa kwenye dirisha sasa ........kipindi cha Kwanza cha mpira kinaisha ......🙌
Madirisha 7,
Wahudumu 2,
Muhudumu 1 kati ya hao 2 ni mjamzito,
Mlinzi ndiyo floor manager,
Branch manager hayupo ana vikao alafu back up wake ndiyo huyo muhudumu mmoja wapo mwenye mimba,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.