Ndio ushangae sasa wao hawajui kuwa wasukuma na watu wa pwani huwa ni watani sasa watu wanashupaliaa kweli kweliMambo mengine mtu akiongea unaona kabisa anatania.Ila mnavyoyashupalia sasa! Kwan kwenye hotuba yote anayoongea huwa mnaona hayo tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ushangae sasa wao hawajui kuwa wasukuma na watu wa pwani huwa ni watani sasa watu wanashupaliaa kweli kweliMambo mengine mtu akiongea unaona kabisa anatania.Ila mnavyoyashupalia sasa! Kwan kwenye hotuba yote anayoongea huwa mnaona hayo tu?
Itabidi tumuulize Mh
Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere
- Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa
#JFMagufuli
Sio yeyeKwani ni yeye aliyesema mwanamke ni chombo cha starehe???
Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere
- Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa
#JFMagufuli
Wewe ndiyo unaona udhalilishaji, ila kwa kweli huyu mheshimiwa rais ni mtu wa utani sana, kama anavyosemaga anachomekea
Umeona ukisema moja ya sifa ya wasukuma ni UTANI utajisikia kutoa haja kubwa.Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Mwanamke chombo cha starehee.rais hajakosea ni uelewa tu wa watuuKwahiyo hamtaki wanawake wachukuliwe na wasukuma. Ovyooo
Nakuunga mkonoWahenga walisema;
Mwanamke ni chombo cha starehe
TrueWahenga walisema;
Mwanamke ni chombo cha starehe
Mambo mengine mtu akiongea unaona kabisa anatania.Ila mnavyoyashupalia sasa! Kwan kwenye hotuba yote anayoongea huwa mnaona hayo tu?
Mwisho wa siku maamuzi yanabaki kwako kutokana na uzito utakaoichukulia hiyo kauli.Ana shida na wanawake na hilo limejitokeza kwa nguvu kwenye hotuba ya na kuharibu uzuri wa mengine aliyosema. Kumdhalilisha mwanamke ni sawa na kundhalilisha dada yao, mama yako au binti yako. Hatuwezi kuunyamazia udhalilishaji kama huo.
Mkuu Tate Mkuu, asante kuni tag!.Pascal Mayalla, Msukuma Original, na wengine tunaomba mtie neno kama hii kauli ina ukweli.
Japo hii ni kweli ila sio kwa Wasukuma wote.Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Na hili pia alisema?Wahenga walisema;
Mwanamke ni chombo cha starehe
Kinachotoka kinywani kiko kichwanilabda ni watani ila kuna lugha ya kuongea kama kiongozi mifano yake mingi imejikita kwenye ngono