Hivi Magufuli ana shida gani na wanawake? Mbona huwatolea mifano mingi ya kudharirisha au unyonge na kuwatoa uthamani?

Hivi Magufuli ana shida gani na wanawake? Mbona huwatolea mifano mingi ya kudharirisha au unyonge na kuwatoa uthamani?

huwa naumia sana kiongozi wa nchi akidhihaki wanawake.
 
Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere

- Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa

#JFMagufuli

If you can not change your superior, try to learn how to cope with him/her! Kila siku umalaya ukichaa na hotuba zake au uache kuzisikiliza au ukubaliane nazo
 
Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere

- Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa

#JFMagufuli

Nduli la kisu-****
 
Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.

Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.

Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Umeona ukisema moja ya sifa ya wasukuma ni UTANI utajisikia kutoa haja kubwa.
Ndio maana wasukuma wanautani na kabila nyingi, na ukienda kwao utaishi bila shida sio wengine ugali unakutoa roho tu
 
Mambo mengine mtu akiongea unaona kabisa anatania.Ila mnavyoyashupalia sasa! Kwan kwenye hotuba yote anayoongea huwa mnaona hayo tu?

Ana shida na wanawake na hilo limejitokeza kwa nguvu kwenye hotuba ya na kuharibu uzuri wa mengine aliyosema. Kumdhalilisha mwanamke ni sawa na kundhalilisha dada yao, mama yako au binti yako. Hatuwezi kuunyamazia udhalilishaji kama huo.
 
Vitu vingine ni utani tu, ila kwa chuki zenu mnavalia njuga na kufanya serious. Magufuli ni mtu wa utani toka yupo Bungeni akiwa mbunge na Waziri, hata ripoti ya wizara Bungeni alikuwa akiwasilisha huku akitumbukiza utani. Nakumbuka moja inayohusu ujenzi wa barabara Iringa, aliwatania wahehe..... Huko kutafuta kosa au mapungufu mnaelekea siko aisee, vingine ni masihara kufurahusha tu. Mshachukua na kufanya mkuki wa kumchomea
 
Ana shida na wanawake na hilo limejitokeza kwa nguvu kwenye hotuba ya na kuharibu uzuri wa mengine aliyosema. Kumdhalilisha mwanamke ni sawa na kundhalilisha dada yao, mama yako au binti yako. Hatuwezi kuunyamazia udhalilishaji kama huo.
Mwisho wa siku maamuzi yanabaki kwako kutokana na uzito utakaoichukulia hiyo kauli.
 
Pascal Mayalla, Msukuma Original, na wengine tunaomba mtie neno kama hii kauli ina ukweli.
Mkuu Tate Mkuu, asante kuni tag!.
Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.

Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.

Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Japo hii ni kweli ila sio kwa Wasukuma wote.
Kitu wengi wasichojua kuhusu wanaume wa Kisukuma ndio tunaoongoza kwa kupenda,yaani love. Ndio tunaongoza kwa idadi ya wanawake. Hivyo tunapenda sana wanawake, tatizo letu ni ushamba tuu wa ku express our love, hata hayo matamshi watu wanaodhani ni ya udhalilishaji, take it from me, it is not, and more surprising, it's the other way around!.

Haya mambo ya uteuzi wa wanawake nimeisha yasema sana humu

Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!
Angalizo kwenye kuifungua hiyo link, kama wewe huna uwezo wa kuona kwa Jicho la tatu na kusoma in between the line, naomba usijisumbue kuifungua hiyo link, utatoka kapa!.

P
 
Back
Top Bottom