Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka achekelee tu wakati binti kakosa adabu? kumbuka kanda ya ziwa ni eneo la discipline siyo wanaume suruali anzia Tarime mpaka chato shinyanga mpaka Urambo utaambiwa haturembi mwandiko ukizuka unalipuliwa tu na ndiyo maana wale wapumbavu walikuwa wanachezea kwa wanaume suruali yaani , RUFIJI KIBITI NA MKURANGA Kanda ya ziwa umwambie mtu unakwenda kumuua akusubiri labda ana wazimu ukishasema tu hakungoji anakufuata na kukumaliza hukohuko, lakini wanaume wa pwani mhhhhh. taabu tupu.Waulize aliosoma nao UDSM (1984/85-86/87) jinsi alivyomshambulia girl friend wake nusura amuue!
Kwi kwi kwi yaani wale wanaoweza kukuroga kisa mkeo anapika Sana nyama eee?!!!Umeona ukisema moja ya sifa ya wasukuma ni UTANI utajisikia kutoa haja kubwa.
Ndio maana wasukuma wanautani na kabila nyingi, na ukienda kwao utaishi bila shida sio wengine ugali unakutoa roho tu
Duh...!.Waulize aliosoma nao UDSM (1984/85-86/87) jinsi alivyomshambulia girl friend wake nusura amuue!
Acha hasira, waulize kina mama sisi wasukuma kwanza tunajua kuwapenda na pili hata wakituonea tunafurahi nao tu. Wewe huenda ulikumbana na jamaa linajiita Msukuma lakini siyo. Acha wamama walioolewa na wasukuma wafaidi mapenzi.Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Watu wanashindwa kutenganisha maneno ya kweli na utani! Ifahamike kuwa Wasukuma na Wazaramo ni watani wa jadi, hivyo mkulu alikuwa anawatania ndugu zake! Mara nyingi watani zetu huwa tunawatania kwamba ni watoto au wajukuu zetu kwa maana kwamba tulioa mama zao au bibi zao! Ama kweli wapinzani tumeishiwa hoja tumebaki kuangalia mdomo wa mkulu utatamka neno gani! KWISA HABARI YETU!Pascal Mayalla, Msukuma Original, na wengine tunaomba mtie neno kama hii kauli ina ukweli.
Bila kumsahau SHIMBA YA BUYENZEPascal Mayalla, Msukuma Original, na wengine tunaomba mtie neno kama hii kauli ina ukweli.
Mie nilipoolewa alikuja shemeji yangu katoka Ulaya akanipa boxer nimfulie...kisa kwao ziko njema .wakanifanya mke wao!..nikasema my dearest mmebug meeen!Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Ilikua zamani siosasa...washindweWahenga walisema;
Mwanamke ni chombo cha starehe
Na ile ya mkuu wa wilaya na DAS wakagombanie wanaume, HAPO HATUTAKI NINI?Kwahiyo hamtaki wanawake wachukuliwe na wasukuma. Ovyooo
Hana presidential language... Hata kama ni utani si wa hivyo... KWAMBA DAS NA MKUU WA WILAYA WAKAGOMBANIE WANAUME..!!!Wewe ndiyo unaona udhalilishaji, ila kwa kweli huyu mheshimiwa rais ni mtu wa utani sana, kama anavyosemaga anachomekea
Akitaniwa yeye hivyo anavyowatania wenzie, wanaomtania hawatakamatwa? Maana utani ni TWO WAY...Utani tu
Ni shidaaaaKwi kwi kwi yaani wale wanaoweza kukuroga kisa mkeo anapika Sana nyama eee?!!!
Wewe ni chombo cha starehe?Wahenga walisema;
Mwanamke ni chombo cha starehe
Yani umfulie shemeji yako nguo za ndani? That was above and beyond dis respect. Mke wangu afue chupi za mdogo au kaka yangu kisa nini? Aheri mie ndo nifueMie nilipoolewa alikuja shemeji yangu katoka Ulaya akanipa boxer nimfulie...kisa kwao ziko njema .wakanifanya mke wao!..nikasema my dearest mmebug meeen!
Tuko humble sana.Sio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Ndo alikua ananipa Mimi...! Nikawa nahis sio sawa..nikamuask mom akasema weeeee stooop! Misukuma ina dharau sanaYani umfulie shemeji yako nguo za ndani? That was above and beyond dis respect. Mke wangu afue chupi za mdogo au kaka yangu kisa nini? Aheri mie ndo nifue
SijuiAkitaniwa yeye hivyo anavyowatania wenzie, wanaomtania hawatakamatwa? Maana utani ni TWO WAY...
Hao wasukuma washenzi...Mtu anejielewa hawezi fanya hivyo. Japo wasukuma ni watu wa misimamo sana.Ndo alikua ananipa Mimi...! Nikawa nahis sio sawa..nikamuask mom akasema weeeee stooop! Misukuma ina dharau sana