Mkuu, mimi naseema hiviiii 'OGOPA MSUKUMA ALIYEKULIA USUKUMANI KISHA AKAJA MJINI AKAWIN MAISHA' huyo mwanamke ni neema ya Mungu tu ihusike.Nakubaliana na wewe Mkuu,Mimi ni Mjita na kuna baadhi ya mambo sikubaliani nayo Mpaka sasa..
Mfano Dada yangu naweza kumtuma maji na akinipatia inatakiwa apige goti mpaka nimalize kunywa haha.
Mimi hii hapana.
Wasukuma,Wajita,Wakerewe..nk. Hasa Waliokulia Vivijini ndiyo wanye hizo tabia.
Hapana Magufuli sio mtu wa utani isipokuwa analazimisha tu! Kama huamini hili read from his face akiwa anafanya huo utani na akiwa normal the difference is the same.Magufuli ni mtu wa utani
Yego jaji anu wanyamula bheNakubaliana na wewe Mkuu,Mimi ni Mjita na kuna baadhi ya mambo sikubaliani nayo Mpaka sasa..
Mfano Dada yangu naweza kumtuma maji na akinipatia inatakiwa apige goti mpaka nimalize kunywa haha.
Mimi hii hapana.
Wasukuma,Wajita,Wakerewe..nk. Hasa Waliokulia Vivijini ndiyo wanye hizo tabia.
Magufuli anapenda kututania wazaramo wakati yeye hataki kutaniwa.Akitaniwa yeye hivyo anavyowatania wenzie, wanaomtania hawatakamatwa? Maana utani ni TWO WAY...
Sisi Wasukuma ndivyo tulivyo kwa hilo namteteamaguduli anadharau na kutweza wamawake.
Haha Yego Kutiki go,anye ntachimenya haha ,Jendeyo?Yego jaji anu wanyamula bhe
Ahsanteh sana kwa kutambua hilo mkuu wanguUnayeniita nina akili ndogo nimeamua nisijibu ulozungumza ili heshima kati yetu iendelee kuwepo na kwa JamiiForums kwa ujumla.
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
mkuu upo sahihi 100% ...ninaishi karbu na rafki yangu mmoja wa kisukuma aisee ...mke wake thamani hana kabisa kwa mume wakeSio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Thibitisha, kwa kuweka ushahidiSio yeye, ni kabila lake. Wanaume wa kisukuma wanaona wanawake hawastahili heshima.
Tena ogopa mwanaume awe na kitu kinachompa jeuri, kama pesa au madaraka.
Unaweza usiniamini ila waulize wanawake walioolewa na wasukuma wanaishije ndani ya ndoa, au uliza wanawake wa kisukuma huko kwao wanachukuliwajwe.
Ni njakisi wasuHaha Yego Kutiki go,anye ntachimenya haha ,Jendeyo?
Hujambo mremboKwahiyo hamtaki wanawake wachukuliwe na wasukuma. Ovyooo