cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hahaaaa dah Mimi Hadi niliugua aisee, ule mkoa hapana watu wanawacheka wagogo bure lile jua limeharibu akili zao na hizi Niku kame ndo haswa[emoji3][emoji3][emoji3] na bahati mbaya uwe unafanya kazi za "site" zaidi ya zile za ofisini!...utasimulia[emoji3]