Hivi Makonda amepotelea wapi? Mbona PM Kassimu anahaha kupambana na mafisadi dagaa kila kukicha?

Hivi Makonda amepotelea wapi? Mbona PM Kassimu anahaha kupambana na mafisadi dagaa kila kukicha?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Soon utaanza kuokota makopo wewe mwizi
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Makonda ni Zerobrain tu, alijipa nguvu zisizo na madaraka. Ila ajali ya Mtwara imempa fundisho. Bado kidogo angefutika kwenye uso wa dunia
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Kwahiyo wewe Mbweha Kila kitu wanachofanya hao viongozi unaona hakina maana?

Uchawa mwingine utawafanya kuwa mashoga Sugu nyie watoto wa kiume.
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Akipiga round mnalalama

Asipopiga mnalalama
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Asipozunguka pia unalalama
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1764868538194448385?t=jrABqMUpPdAAen02PVId5A&s=19
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
PM sijawahi kumwelewa yule Baba.

Ni mzugaji tu
 
Kwahiyo wewe Mbweha Kila kitu wanachofanya hao viongozi unaona hakina maana?

Uchawa mwingine utawafanya kuwa mashoga Sugu nyie watoto wa kiume.
Kuna tija gani, anazunguka kusumbua wezi wa 40m huku Kuna ripoti ya CAG yenye upotevu wa mabilioni na hakuna hatua yoyote ya maana imechukuliwa. Au Bado mnaamini watu ni wajinga wa kuamin maigizo ya kitoto?
 
Makonda ni Zerobrain tu, alijipa nguvu zisizo na madaraka. Ila ajali ya Mtwara imempa fundisho. Bado kidogo angefutika kwenye uso wa dunia
Chuki zako dhidi ya watawala wa ccm hazitakufaa kitu,labda uhamie Burundi,makonda yupo sana tu
 
Back
Top Bottom