Hivi Makonda amepotelea wapi? Mbona PM Kassimu anahaha kupambana na mafisadi dagaa kila kukicha?

Hivi Makonda amepotelea wapi? Mbona PM Kassimu anahaha kupambana na mafisadi dagaa kila kukicha?

Kuna tija gani, anazunguka kusumbua wezi wa 40m huku Kuna ripoti ya CAG yenye upotevu wa mabilioni na hakuna hatua yoyote ya maana imechukuliwa. Au Bado mnaamini watu ni wajinga wa kuamin maigizo ya kitoto?
Hata hao wezi wa 40M ni geresha tu hakuna anachofanya zaidi ya makelele
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Binya kende zako wezi wasiibe tena vp kamanda mchovu kesho ya kujitoa Chadema haijafika?
 
Hata hao wezi wa 40M ni geresha tu hakuna anachofanya zaidi ya makelele
Kabisa, yaani nimemdharau kishenzi. Anazunguka kupiga kelele Ili kuhadaa wananchi kuwa anafanya kazi, kumbe usanii mtupu.
 
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?

Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.

Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?

Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?

Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Chadema hawa hawa walionyamaza kwenye Bandari
 
Eti ww umeiba na umefanya matumizi mabaya lazima tukuhamishe haiwezekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaaan mwizi anahamishwa kupelekwa sehem nyingine akapige hela tena[emoji1544]Utasikia na mikwara mbuzi takukuru mchunguzeni huyu mtu?!!!mda kidogo tu unasikia jamaa amehamia mkoa mwingine ama wilaya nyingine anapiga makodi ya wapuuzi sisi.
 
Back
Top Bottom