Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Acha matusina bado... maniner
Soon utaanza kuokota makopo wewe mwiziHivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Makonda ni Zerobrain tu, alijipa nguvu zisizo na madaraka. Ila ajali ya Mtwara imempa fundisho. Bado kidogo angefutika kwenye uso wa duniaHivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Kwahiyo wewe Mbweha Kila kitu wanachofanya hao viongozi unaona hakina maana?Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Akipiga round mnalalamaHivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Leo umekuwa wa kumfundisha mwenzako adabu, kweli dunia ina mambo.!!Acha matusi
Asipozunguka pia unalalamaHivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Usijitoe ufahamuLeo umekuwa wa kumfundisha mwenzako adabu, kweli dunia ina mambo.!!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Oohoooni,mkuu umechafukwana bado... maniner
Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
PM sijawahi kumwelewa yule Baba.Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Kuna tija gani, anazunguka kusumbua wezi wa 40m huku Kuna ripoti ya CAG yenye upotevu wa mabilioni na hakuna hatua yoyote ya maana imechukuliwa. Au Bado mnaamini watu ni wajinga wa kuamin maigizo ya kitoto?Kwahiyo wewe Mbweha Kila kitu wanachofanya hao viongozi unaona hakina maana?
Uchawa mwingine utawafanya kuwa mashoga Sugu nyie watoto wa kiume.
Chuki zako dhidi ya watawala wa ccm hazitakufaa kitu,labda uhamie Burundi,makonda yupo sana tuMakonda ni Zerobrain tu, alijipa nguvu zisizo na madaraka. Ila ajali ya Mtwara imempa fundisho. Bado kidogo angefutika kwenye uso wa dunia