Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hata hao wezi wa 40M ni geresha tu hakuna anachofanya zaidi ya makeleleKuna tija gani, anazunguka kusumbua wezi wa 40m huku Kuna ripoti ya CAG yenye upotevu wa mabilioni na hakuna hatua yoyote ya maana imechukuliwa. Au Bado mnaamini watu ni wajinga wa kuamin maigizo ya kitoto?
Binya kende zako wezi wasiibe tena vp kamanda mchovu kesho ya kujitoa Chadema haijafika?Hivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Kabisa, yaani nimemdharau kishenzi. Anazunguka kupiga kelele Ili kuhadaa wananchi kuwa anafanya kazi, kumbe usanii mtupu.Hata hao wezi wa 40M ni geresha tu hakuna anachofanya zaidi ya makelele
Chadema hawa hawa walionyamaza kwenye BandariHivi hawa CCM walishatuona maboya?
Leo hii PM Majaliwa amegeuka kuwa kamanada wa Takukuru Tanzania nzima.
Kila wilaya ina ofisi za Takukuru na wachunguzi kibao. PM Majaaliwa halijui hili? Pesa anazotumia kuzunguka si zingejenga shule kibao?
Huyu Makonda mwenye mikwara mbuzi majukwwani mbona hajaokoa jahazi la watanzania kuibiwa?
Bora siku moja Chadema ikamate dola.
Umeanza kunikubali kuwa nasema kweliKabisa, yaani nimemdharau kishenzi. Anazunguka kupiga kelele Ili kuhadaa wananchi kuwa anafanya kazi, kumbe usanii mtupu.
Na wewe ni fisadi tu uliiba hela za Chadema na ukataka kuuza gari la Chadema.Umeanza kunikubali kuwa nasema kweli
PumbavuNa wewe ni fisadi tu uliiba hela za Chadema na ukataka kuuza gari la Chadema.
Ukweli gani unasema ww πUmeanza kunikubali kuwa nasema kweli
Ndio nini?πUkweli gani unasema ww π