Hivi Makonda ndio wakuishi kama digidigi kweli?

Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi

Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
Anasoma hapa ESAMi nadhani anaongeza elimu anasumbua sana huku njiro
 
Huyu Mganga Wetu Mushana leo na ww umeanza mambo ya uchawa kwa ajili ya nn chief,Pambana kutafta wateja ishi maisha yako mambo ya Makonda haya kuhusu chief!
 
kama wewe unajua alipo si umpeleke mahakamani ukapate hilo donge nono lililoahidiwa !!? au wewe huna shida na hela !!??
Kubenea mwenyewe kachoka tu hata milion 2 hana si bora baba kigan aendelee tu kula bata🤣🤣😂😂😂
 


Tulifurahi pamoja, tutalia pamoja.

Paulo Makonda kawa mkimbizi kwenye nchi yake mwenyewe! Kawa mkimbizi wa hiari.
 
Bata haliliwi gizani,angeonekana tu,kwa aina ya maisha aliyoyachagua si ajabu sasa hana makazi maalum na hakuna system inayoweza kurisk kumlinda mtu pasi na sababu za msingi!angekuwa anakula bata popote duniani angeonekana kwani bata huliwa hadharani
 
Analilia wapi hilo Bata?? Kumbuka aliwahi tamka hadharani kwamba hakuna binadamu hapa bongo anayekula bata kama yeye, tena hii aliitamka publicly, Leo ale bata mafichoni?? Pia jinai haifutiki ujue?
 
Bata haliliwi gizani,angeonekana tu,kwa aina ya maisha aliyoyachagua si ajabu sasa hana makazi maalum na hakuna system inayoweza kurisk kumlinda mtu pasi na sababu za msingi!angekuwa anakula bata popote duniani angeonekana kwani bata huliwa hadharani
Ngoja watetezi wake waje
 
Mawazo ya kidwanzi sana haya..
 
Shoga mwenzake yupo jela sasa hivi anapangiwa mda wa kulala.
 

Attachments

  • VID-20220214-WA0044.mp4
    1.6 MB
Makonda haishi kama digidigi, makonda yupo sana tu. Huo ujinga wenu mliomezeshwa na kubenea mnajipotezea tu muda. Ni bora muutumie kumuokoa gaidi

Makonda anakula zake maisha na Range yake A town hana papara. Nyie endeleeni kujilisha ujinga
vipi yule mke wako mzuri ndo kakupa taarifa?
 
Hamna kesi hapo. Na Bashite sema ni kilza hii kesi Kubenea mzee wa shanga anaweza mlipa Bashite. Ulishasikia wapi DPP na DCI wakashtakiwa tena na mtu kama Kubenea. Mimi ningekuwa Bashite ningeshapeleka mawakili muda.
 
Hamna kesi hapo. Na Bashite sema ni kilza hii kesi Kubenea mzee wa shanga anaweza mlipa Bashite. Ulishasikia wapi DPP na DCI wakashtakiwa tena na mtu kama Kubenea. Mimi ningekuwa Bashite ningeshapeleka mawakili muda.
Kwani DPP na DCI wako juu ya sheria?
 
Wakati si milele...!
Ukiijua universe utaishi kwa raha na amani tele.
"Utafuteni kwanza uzima wa milele mengine yote mtaongezewa" Hii bible verse Ina maana kubwa Sana. Lakini wazee wa kilingeni ndio uwapotosha watu type hio hadi wanatenda upumbavu.
 
Ukiijua universe utaishi kwa raha na amani tele.
"Utafuteni kwanza uzima wa milele mengine yote mtaongezewa" Hii bible verse Ina maana kubwa Sana. Lakini wazee wa kilingeni ndio uwapotosha watu type hio hadi wanatenda upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…