Hivi mama yake Diamond anajua kiingereza?

John tu kizungu cha ugoko lakini anasomesha namba bila tatizo. Bongo kizungu wanaongea Wahaya tu, tena wakilewa
Uko vizuri kwenye research methodology yaani ukilewa hata kichina kinakuja.
 
John tu kizungu cha ugoko lakini anasomesha namba bila tatizo. Bongo kizungu wanaongea Wahaya tu, tena wakilewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pagan pambaf wewe nimecheka sanaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ndio maana nikimisi jf siku inakuwa ndefu
 
Ofcourse people used to die in the in the in the in the in zee in de moniee in the Rake
 
hebu acha ujinga wako kumjadili mtu yoyote anaeitwa , yaani umekosa vya kuandika hadi unamtusi hivyo huyo mama
 
John tu kizungu cha ugoko lakini anasomesha namba bila tatizo. Bongo kizungu wanaongea Wahaya tu, tena wakilewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…