Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Nina uhakika 90% wewe unatokea kilimanjaro au ArushaHONGERA SANA Utakuwa ni mtu wa kipekee sana, lazima una akili kubwa pia
Ni watu wachache sana wanagundua hilo, ni kweli michezo kwa ujumla ina faida nyingi sana
hasa kwa wale wadau husika mmoja kwa moja , mchezaji, waajiriwa wa tasisi za michezo,
mapato ya kodi, kiuchumi kama advertisements, washabiki kama burudani na kutumika kisiasa kuwapumbaza vijana n.k
Lakini ebu tuangalie upande wa pili:
1. Ulevi mbaya sana unagharimu pesa na muda hasa muda wa kazi /uzalishaji watu wanabishana kuhusu mpira na hapati pato lolote.
2. Ukanda wa pwani tanga ,Dar, Moro n.k watoto wa kiume wanashindwa kabisa ku concentrate masomo madarasani kisa ushabiki na mpira kila mtoto ana ndoto ya kuwa mchezaji bora, hii ni moja ya sbb wasichna kuongoza madarasani kuliko wavulana mtoto anakariri wachezaji ulaya yote darasani ZERO, na ukiangalia ajira zitokanazo na mpira ni 0.0002%ya ajira zote kwa ujumla
3. Mpira -USHABIKI ni chanzo cha umaskini , uzembe , mjini mageneni wapo watu kazi yao ni mdomo tu ushabiki wa mpira tena kibaya zaidi timu za ulaya, wazee hata wamama na watoto wanachinda njaa magengeni lakini maneno hayakaki mdomoni KAZI ZERO
4. Ushabiki wa mpira usio na tija ni janga la JAMII hasa pwani ni ulevi sawa kabisa na VIROBA, BANGI , GONGO na kwa kuutumia kisiasa kwa kuwalewesha jamii hasa vijana
5. Kwa TZ ushabiki huu wa mpira umeshamiri sana kwenye jamii ambayo ipo nyuma kielimu.
MWISHO NAOMBA RADHI KWA WALE WOTE NITAKAOWAKWAZA SIJASEMA TUSISHABIKIE MPIRA KBS HAPANA "KUNYWA ILA USIWE MLEVI"
Tabia zenu za majivuno huwa hazijifichagi hata mara moja