Hivi mashabiki wa mpira huwa mnashabikia nini haswa?

Nina uhakika 90% wewe unatokea kilimanjaro au Arusha

Tabia zenu za majivuno huwa hazijifichagi hata mara moja
 
Nina uhakika 90% wewe unatokea kilimanjaro au Arusha

Tabia zenu za majivuno huwa hazijifichagi hata mara moja
Shukran sana kwani sisi binadamu hatukamiliki, nitashukuru tena zaidi kama utanionyesha kosa langu au kunikosoa ili nisije kulirudia tena kwa mwingine

Bahati mbaya mm sio wa maeneo hayo uliyoyataja kabisa, naomba kujua kiashilia kinachoonyesha MAJIVUNO au DHARAU, Samahani tena kama nitakukwaza.
 

Mkuu katika wachangiaji wote wewe ndio nimekuelewa zaidi. Mimi binafsi ushabiki wa mpira umenishinda kabisa. Nafikiri watu walioanzisha hii michezo akili zao ni sawa na za wale walioanzisha dini.. Yaani mtu unapumbazwa akili kiasi kwamba timu iko ulaya huko lakini ikifungwa wewe huku unakosa raha mpaka kushindwa kula na kununa siku nzima..! Wengine mpaka wanajiua kisa ushabiki wakati hakuna hata senti tano unayolipwa kwa kushabikia mpira. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba ukimuambia mtu mimi sishabikii huo upumbavu anaanza kukushangaa na kukuona wewe ndio wa ajabu!
 
timu asiyoipenda kufungwa na timu yake kupata magoli mengi kuliko pinzani Mimi naona ni ishara ya roho mbaya ndio maana sipendi kuangalia Wala kushabikia soka
 
timu asiyoipenda kufungwa na timu yake kupata magoli mengi kuliko pinzani Mimi naona ni ishara ya roho mbaya ndio maana sipendi kuangalia Wala kushabikia soka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mashabiki wa mpira ni wa ajabu sana.
 
Kuna mchungaji fulani alisema kucheza mpira ni dhambi kwa sababu mchezaji anapopiga chenga huwa anadanganya mchezaji mwenzake kuwa anapita kulia kumbe anapita kushoto kwa hiyo wanaoangalia watenda dhambi nao wanatenda dhambi indirectly
 
Kuna mchungaji fulani alisema kucheza mpira ni dhambi kwa sababu mchezaji anapopiga chenga huwa anadanganya mchezaji mwenzake kuwa anapita kulia kumbe anapita kushoto kwa hiyo wanaoangalia watenda dhambi nao wanatenda dhambi indirectly
Aisee
 
Kuna mchungaji fulani alisema kucheza mpira ni dhambi kwa sababu mchezaji anapopiga chenga huwa anadanganya mchezaji mwenzake kuwa anapita kulia kumbe anapita kushoto kwa hiyo wanaoangalia watenda dhambi nao wanatenda dhambi indirectly
Kwa Hali hii messi naona Hana ndoto kabsaa za kuingia mbinguni kashajikatia tamaa zake
 
Acha wanaume tupende mpira we endelea kupenda mitindo na chipsi yai.
 
Well said. ....Nimeicopy as it is, nitaenda kuipest sehemu fulani.
 
Pana siku humu ulianzisha uzi kuulizia taarab flan kuwa nani anao huo wimbo au nani kapiga sasa hayo mahaba ulonayo penye tasnia hiyo jua wenzio tuna mahaba hayo hayo na soka au kabumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…