Athuman Mintangah
Member
- May 29, 2021
- 79
- 133
Na leo imepita tena. Kuna kipi kilichojificha.ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutokaNa leo imepita tena. Kuna kipi kilichojificha.ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
View attachment 2580832
Kweli kabisa we ni wa mkoani na umeandika hii rubish? Aisee kazi ipo hii nchi?... Haujaiona hiyo ndege ndio mana haujui unachosema, kwakweli tuna safari ndefu kama taifandege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutoka
umeelewa nilichozungumza ? mimi nazungumzia hizo emoji sio mada iliyoletwa hapaKweli kabisa we ni wa mkoani na umeandika hii rubish? Aisee kazi ipo hii nchi?... Haujaiona hiyo ndege ndio mana haujui unachosema, kwakweli tuna safari ndefu kama taifa
umeelewa nilichozungumza ? mimi nazungumzia hizo emoji sio mada iliyoletwa hapa
ndio Taifa tuna safari ndefu Mkuu, kama umeshindwa kuelewa nazungumzia kitu gani
ni vyema tugawane tu majukumu Mkuu , hakuna namnaEmoji ni kitu kidogo sana kwenye hiyo topic hapo... Me huwa nadeal na major issues... Hivyo vitu vya kulia sijui emoji nimewaachia ninyi tumegawana majukumu mkuu,...
Actually nipo kipawa. Au mkoan kuna kipawaKweli kabisa we ni wa mkoani na umeandika hii rubish? Aisee kazi ipo hii nchi?... Haujaiona hiyo ndege ndio mana haujui unachosema, kwakweli tuna safari ndefu kama taifa
Rud kasome tena ulichoandika, yan as if hiyo ni ndege tu, ndege yenyewe umeiona?. Umendika ndege tu? Hiyo ndege unayoiita ndege tu umeiona? Unajua imekuja kufanya nini? Sio ndege ya abiria wana nini... Yan wewe umeona kulia ni rahis sana sababu ni ndege tu right? Ebu jaribu kutafakari kidogo mkuu... Kwanini umesema ndege tu? Umeiona ndege physically?umeelewa nilichozungumza ? mimi nazungumzia hizo emoji sio mada iliyoletwa hapa
ndio Taifa tuna safari ndefu Mkuu, kama umeshindwa kuelewa nazungumzia kitu gani
Ndani ya wiki imepita Mara 6. Vifaa gani visivyoisha?Inaleta bidhaa, vifaa vya Ubalozi wa Marekani.
TAA walishatolea ufafanuzi kuwa ni kawaida hiyo ndege huja kila mwaka
Mkuu, nakupuuzaRud kasome tena ulichoandika, yan as if hiyo ni ndege tu, ndege yenyewe umeiona?. Umendika ndege tu? Hiyo ndege unayoiita ndege tu umeiona? Unajua imekuja kufanya nini? Sio ndege ya abiria wana nini... Yan wewe umeona kulia ni rahis sana sababu ni ndege tu right? Ebu jaribu kutafakari kidogo mkuu... Kwanini umesema ndege tu? Umeiona ndege physically?
Ile ndege ilikuwa hapo mbele hata juz nimepita hapo na gari ile ndio ndege tu mkuu?... Wakurya wanasemaje pande za kipawa na kitunda huko mkuu?Actually nipo kipawa. Au mkoan kuna kipawa
Ilipeleka ujumbe kwa mkubwa fella na wanaeAjabu ni kwamba huwa inazungukazunguka tu angani, kuna siku niliiona nkajiuliza ndege gani hii haina muelekeo as if imepotea, maana nilijua inaenda kutua pale JNIA ghafla ikakunja kama inaelekea mbagala.
Sasa mkuu what is that bigass plane doing hapa kwetu? Imeleta nini, inachukua nini?... Si tunatakiwa kujua au?Mkuu, nakupuuza
Hata huelewek na keyboard zenu za infinixIle ndege ilikuwa hapo mbele hata juz nimepita hapo na gari ile ndio ndege tu mkuu?... Wakurya wanasemaje pande za kipawa na kitunda huko mkuu?
Binafsi huwa sipendelei kuziona hapa ndege za US Air Mobility Command. Wiki kabla Kamala hajaja nilianza kuona C-17, akaondoka zipo, bado wiki kadhaa zimepita ndege zinakuja na kuondoka. Uwezo wake kubeba tani nyingi sasa hiyo mizigo isiyoisha ndio najiuliza ni ya aina gani.Inaleta bidhaa, vifaa vya Ubalozi wa Marekani.
TAA walishatolea ufafanuzi kuwa ni kawaida hiyo ndege huja kila mwaka