toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Kwahiyo me natumia infinix ππππ, daah watu wakipawa bwana... Unatumia iphone 14 pro max unakaaje uwanja wa ndege mkuu ππππ, sisi huko tunakujaga kudaka flights tu man..Hata huelewek na keyboard zenu za infinix
Hivi mfumo unaotumia ku track hiyo ndege umetengenezwa na nani? Unadhani ingekuwa na madhara ungeipata ilipo?Na leo imepita tena. Kuna kipi kilichojificha.πππ
View attachment 2580832
Mkuu unaongea pumba mbona, ficha ujinga wakoHivi mfumo unaotumia ku track hiyo ndege umetengenezwa na nani? Unadhani ingekuwa na madhara ungeipata ilipo?
Wanaume wa huo mkoa wana machozi ya karibu sana....ndege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutoka
Hiyo ni website ya kimataifa.Hivi mfumo unaotumia ku track hiyo ndege umetengenezwa na nani? Unadhani ingekuwa na madhara ungeipata ilipo?
ZuzuKwahiyo me natumia infinix ππππ, daah watu wakipawa bwana... Unatumia iphone 14 pro max unakaaje uwanja wa ndege mkuu ππππ, sisi huko tunakujaga kudaka flights tu man..
Tufungue kesi mkuuπBinafsi huwa sipendelei kuziona hapa ndege za US Air Mobility Command. Wiki kabla Kamala hajaja nilianza kuona C-17, akaondoka zipo, bado wiki kadhaa zimepita ndege zinakuja na kuondoka. Uwezo wake kubeba tani nyingi sasa hiyo mizigo isiyoisha ndio najiuliza ni ya aina gani.
Kila mwaka observation yangu huwa zinakuja kama mara tatu hivi na ndio zilileta chanjo za COVID-19. Ila mwaka huu zimepitiliza
πππndege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutoka
jamaa apo kasha ingiza kopo la kukojolea usiku.ana ogopa giza[emoji81][emoji81][emoji81]ndege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutoka
Kupita au kutua?Ndani ya wiki imepita Mara 6. Vifaa gani visivyoisha?
Nikiiona nakumbuka jinsi Afghan watu walivyoidandia ikitaka paaBinafsi huwa sipendelei kuziona hapa ndege za US Air Mobility Command. Wiki kabla Kamala hajaja nilianza kuona C-17, akaondoka zipo, bado wiki kadhaa zimepita ndege zinakuja na kuondoka. Uwezo wake kubeba tani nyingi sasa hiyo mizigo isiyoisha ndio najiuliza ni ya aina gani.
Kila mwaka observation yangu huwa zinakuja kama mara tatu hivi na ndio zilileta chanjo za COVID-19. Ila mwaka huu zimepitiliza
Ipo inavinjari muda kabla hajaja makamu rais na baada ya kuondoka bado inapasua anga ia Tz, hao ndio πΊπΈNa leo imepita tena. Kuna kipi kilichojificha.πππ
View attachment 2580832
Gari nyingi zilizokuwa kwenye msafara, chakula vilikuja na hizo ndege.Binafsi huwa sipendelei kuziona hapa ndege za US Air Mobility Command. Wiki kabla Kamala hajaja nilianza kuona C-17, akaondoka zipo, bado wiki kadhaa zimepita ndege zinakuja na kuondoka. Uwezo wake kubeba tani nyingi sasa hiyo mizigo isiyoisha ndio najiuliza ni ya aina gani.
Kila mwaka observation yangu huwa zinakuja kama mara tatu hivi na ndio zilileta chanjo za COVID-19. Ila mwaka huu zimepitiliza
Hata mimi nimestuka kusoma hoja yake huyo mshangaaji.Kweli kabisa we ni wa mkoani na umeandika hii rubish? Aisee kazi ipo hii nchi?... Haujaiona hiyo ndege ndio mana haujui unachosema, kwakweli tuna safari ndefu kama taifa
Ana machozi ya kuchezea.ndege tu unalia!!! vijana wa Dar bwana!!! machozi yamekutoka
π€£πππ wana wa Dar wanazinguajamaa apo kasha ingiza kopo la kukojolea usiku.ana ogopa giza[emoji81][emoji81][emoji81]