Hivi mbona wasanii wakubwa wa Bongo hawaoi nyumbani

Kwanza kuna ile scandal ya maongezi yake na Mbowe kwa simu hadi nikapata wivu, tatizo analiwa sana na who is who in Tz hadi inaboa...hehehe

Ila huo msambwanda wake....aisei inabidi kuyasahu mengine yote
Wewe haya mambo huyawezi, mwachie fisi 1academ ndo bingwa, sijui cku hz mmemficha wapi
 
Acha hao wasanii waoe ng'ambo, ila wadada wa Tz wataolewa na wasomi wa humu humu Tanzania yetu
 
Wakenya kumbe nanyi hamjambo kwa majungu!!!
 

Ahaaa haaa haaa
Unaishia kula kwa macho tu.
Siyo mbaya hiyo inaitwa MABIKU (Mapenzi Bila Kugusana).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…